Political Timing: 2015 Mbowe alimlia timing Dr Slaa Kwa kumleta Lowassa this time Yeye ndio kaliwa timing analia " imekuwa ghafla mno"

Political Timing: 2015 Mbowe alimlia timing Dr Slaa Kwa kumleta Lowassa this time Yeye ndio kaliwa timing analia " imekuwa ghafla mno"

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa

Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega

Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"

Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu

CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂
 
Halafu inashangaza kwenye utafiti wangu mdogo nilioufanya kwa kuwahoji baadhi ya Makamanda; wengi wanamuunga mkono Mh. Tundu Lissu, na sababu kuu walizozitoa ni hizi hapa;
1. Mh. Mbowe amekitendea chama chetu mambo mengi makubwa, ila ifikie wakati apumzike sasa ili na wengine nao waendeleze pale alipoishia.
2. Chama kinahitaji mabadiliko ya uongozi ili kuondoa ile dhana potofu inayotumiwa na wapinzani wetu, ya kukihusisha chama chetu na ukoo fulani, kabila fulani, saccos ya mtu fupani, ukanda fulani, nk.

Hizi ni sababu kuu mbili ambazo makamanda wengi wanazitoa. Ila kwa kupitia nguvu ya pesa na ushawishi; lolote linaweza kutokea.
 
Mbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa

Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega

Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"

Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu

CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂
Ukweli kabanwa
 
Halafu inashangaza kwenye utafiti wangu mdogo nilioufanya kwa kuwahoji baadhi ya Makamanda; wengi wanamuunga mkono Mh. Tundu Lissu, na sababu kuu walizozitoa ni hizi hapa;
1. Mh. Mbowe amekitendea chama chetu mambo mengi makubwa, ila ifikie wakati apumzike sasa ili na wengine nao waendeleze pale alipoishia.
2. Chama kinahitaji mabadiliko ya uongozi ili kuondoa ile dhana potofu inayotumiwa na wapinzani wetu, ya kukihusisha chama chetu na ukoo fulani, kabila fulani, saccos ya mtu fupani, ukanda fulani, nk.

Hizi ni sababu kuu mbili ambazo makamanda wengi wanazitoa. Ila kwa kupitia nguvu ya pesa na ushawishi; lolote linaweza kutokea.
Sure Mbowe apumzike
 
Na.wasipoangalia mbowe.atakuja.kumuachia.chama.James.mbowe.
Hapo ndipo.watu.wanakosana na wachaga kwa ubinafsi.

Chama kinaenda kumfia mbowe akingangania uenyekiti. Bonge la.ushindi kwa ccm. Na ndio.maana watu.wanahitaji mabadiliko ya katiba kuwe na.independent candidates
 
Na.wasipoangalia mbowe.atakuja.kumuachia.chama.James.mbowe.
Hapo ndipo.watu.wanakosana na wachaga kwa ubinafsi.

Chama kinaenda kumfia mbowe akingangania uenyekiti. Bonge la.ushindi kwa ccm. Na ndio.maana watu.wanahitaji mabadiliko ya katiba kuwe na.independent candidates
Acha ukabila kuna wachaga wengi sn wanamtaka Lisu, hata Anania Nkya anamtaka Lisu + Lema
 
Mbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa

Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega

Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"

Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu

CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂
usikute chadema wamefanya iv Kwa makusudi afu sisi tunacheza Ngoma bila kujua aina gani ya wimbo!? maana wamefanikiwa kushika head lines Kwa siku kadhaa iv mfululizo sio mtandaoni,vijiweni,magazetini, radio n.k! hyo ndio tafsiri ya chama kukomaa!?
 
Mbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa

Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega

Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"

Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu

CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂
Kijana, unajua maana ya kuliwa wewe? Umri wako bado nigekujuza.
asa ni hivi CDM haifi na jamaa yenu anarudi TLP chama kilichomkuza Na taarifa ni kwanba kashaanza kuongea na uongozi uliopo ili waipokee sunami toka CDM.

Kifupi, bora hata Dr. alitumia akili walau kidogo wakati anachukua zile hela za kuimaliza CDM
 
Chama cha majizi ya kura mko busy na uchaguzi wa Chadema wakati chama chenu hamna makamu mwenyekiti mwezi wa 6 sasa.

Chama chenu hakina demokrasia ni zidumu fikra za mwenyekiti na fomu ni moja.

Mlisema Mbowe ni Mugabe sasa mtulie muone demokrasia inaendaje .
 
Kijana, unajua maana ya kuliwa wewe? Umri wako bado nigekujuza.
asa ni hivi CDM haifi na jamaa yenu anarudi TLP chama kilichomkuza Na taarifa ni kwanba kashaanza kuongea na uongozi uliopo ili waipokee sunami toka CDM.

Kifupi, bora hata Dr. alitumia akili walau kidogo wakati anachukua zile hela za kuimaliza CDM
Tundu Lisu hajakuzwa TLP 😂😂😂

Dogo Chadema umeikutua pale nyumbani Kwa Bob Makani jirani na Kwa akina mrangi ova 😄😄
 
Back
Top Bottom