Poll: Muammar Gaddafi Vs Nelson Mandela? Nani Shujaa/mwamba Wa Afrika?

Muammar Gaddafi vs Nelson Mandela? Nani shujaa/mwamba wa Afrika?


  • Total voters
    244
In peace? Wow! Or maybe you meant pieces! So Idi Amin is your hero too?

Don't be a kid.
That's my vote with a few facts I mentioned with relation to Gaddafi.
I didn't prevent you stating your opinion.

I voted for Gaddafi, and I know he is a hero of age.

I have been in Libya with Gaddafi as a President and later in Libya without Gaddafi. I know what I wrote.

May , Gaddafi's Soul Rest In Peace.
 
Joka kuu una kitu kingine!!!!!!!!!! Jeshi gani la Gadaffi lililo ua majeshi yetu??? Mbona unakuwa mpotoshaji, majeshi yake yote yalitekwa kabla hayajafika uwanja Wa vita na ndio ilisababisha mpk akawa ni mmoja wa marafiki wakubwa wa Baba wa Taifa.
 
Hawezi zaidi ya udini
Babati, inaonyesha huo udini unaousema umekujaa moyoni!!!!!!!! Na kama sivyo basi elimu yako imeishia hapo hapo Babati haijawahi hata kupanda Punda hadi Dareda!!!!!!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji16]
 
Babati, inaonyesha huo udini unaousema umekujaa moyoni!!!!!!!! Na kama sivyo basi elimu yako imeishia hapo hapo Babati haijawahi hata kupanda Punda hadi Dares!!!!!!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji16]
Umeandika mwenyewe au umeandikiwa?
 
Umemaliza kiongoz
 
Kweli jamaa alikuwa shujaa
Mistakes happen hta kma alibaka or not tumpime kwenye uongozu wake alivyopambana dhidi ya ukolono mamboleo hayo mambo ya kubakana sioni yana impact kwenye siasa za bara la Africa
 
Umesimuliwa hiyo.
Gaddafi tumeona live,ninayo video,nipe namba WhatsApo uone Mlibya akimpiga kijiti
Nadhani unafikiri kwa kutumia masaburi, kamuulize kiongozi wako mkuu papa atakwambia yesu aliuawa vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…