In peace? Wow! Or maybe you meant pieces! So Idi Amin is your hero too?
Hawezi zaidi ya udiniAkikujibu ni tag
Mkuu usije sema Gaddaf hajafanya chochote, ulichosoma/kusikia kuhusu yeye kizuri/kibaya ndo alichofanya.ghadaf kafny nn mpk afananishwe na madiba?
Babati, inaonyesha huo udini unaousema umekujaa moyoni!!!!!!!! Na kama sivyo basi elimu yako imeishia hapo hapo Babati haijawahi hata kupanda Punda hadi Dareda!!!!!!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji16]Hawezi zaidi ya udini
Umeandika mwenyewe au umeandikiwa?Babati, inaonyesha huo udini unaousema umekujaa moyoni!!!!!!!! Na kama sivyo basi elimu yako imeishia hapo hapo Babati haijawahi hata kupanda Punda hadi Dares!!!!!!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji16]
Umemaliza kiongozGhadafi alikuwa anti imperialist na marafiki zake wakubwa walikuwa Fidel Castro, Chavez,morales na ndio maana Omar all bashir anamchukia sana gadaffi hata kifo cha Gadafi ,Al bashir alifurahi sababu gadaffi alikuwa ana destabilize Sudan kwa kuwafadhili akina Garang akidai Bashir ni imperialist japo alikuwa na motive zingine kuona Sudan ingekuwa super power.Mpaka s.Sudan inapata Uhuru ni kwasababu ya kazi kubwa ya Gadaffi
Ishu ya Uganda Gaddafi aliona Tanzania ni imperialist ina occupy sehemu isiyo yake japo alikengueka na kuomba msamaha baadae
Ila ukizungumzia liberation Gaddafi katoa pesa nyingi kumsaidia Mandela na marafiki zake wa karibu mno walikuwa Chavez, Castro anti imperialist wenzake wenye muono sawa na pindi Mkutano was UN ukifanyika Gaddafi alikuwa anaenda pamoja na Chavez NY .na Chavez kwenye moja ya hutuba zake alikuwa ana mchambua Gaddafi na liberation na mipango yao ya kuunganisha afrika kama ilivyo s.America
Wote ni mashujaa wa Africa ,
Gaddafi kapigania South ,kapigania Uhuru wa s.Sudan nk .
Mandela kakaa sana jela japo ni inspirational ila gadaffi ,samora ,nyerere walipigania ya wa Africa wote
Mistakes happen hta kma alibaka or not tumpime kwenye uongozu wake alivyopambana dhidi ya ukolono mamboleo hayo mambo ya kubakana sioni yana impact kwenye siasa za bara la AfricaKweli jamaa alikuwa shujaa
Nilitaka kusema ni MZIGO. Sa nikagundua hata mzigo nao ni hasara!Ina uhusiano gani na mada?we ni hasara kwa familia yako
Muwe mnakunywa Maji ya kutosha kwa siku, mf ndoo nzima!sijaona shujaa kama Lowassa
Acha dharau unajua yesu aliuawa vipi?Kidume kinauwawa kama Kibaka
Muulize yesu aliuawa vipi, akikujibu nistueHata akina Lumumba ,Sankara waliuawa kizembe
Umesimuliwa hiyo.Acha dharau unajua yesu aliuawa vipi?
Haiwezekani anakuolea mke halafu mnamfanya hivyo.
Hivi mmesahau nyerere alikuwa upande upi biafra war?In peace? Wow! Or maybe you meant pieces! So Idi Amin is your hero too?
Nadhani unafikiri kwa kutumia masaburi, kamuulize kiongozi wako mkuu papa atakwambia yesu aliuawa vipiUmesimuliwa hiyo.
Gaddafi tumeona live,ninayo video,nipe namba WhatsApo uone Mlibya akimpiga kijiti