Gadafi kama alianza michakato ya kupigania Sub-Saharan African countries ni kuanzia miaka ya 90 ,maana gadafi toka mwanzo wazo lake kuu ilikuwa kuunganisha nchi za kiarabu kuwa state moja ( Pan-arab state),kwa hiyo alipigania sana hiyo kitu yake hadi lakini ikashindikana baada ya nchi nyingi za kiarabu za Africa kupenda zaidi muungano wa Afrika ambao ulianzishwa zamani (OAU) kuliko muungano ambao gadafi aliutaka, na baada ya Gadafi kupata misuko suko kibao kutoka UN/USA/UK kumuwekea economic sanctions miaka 92 baada ya ndege ya Scotland kuanguka na kuua abiria wengi na ikajulikana raia wawili wa Libya kuhusika katika tukio hilo la ugaidi , hapo nchi nyingi za Africa walipiinga vikali kuwekewa vikwazo gadafi, na baadae miaka 97 gadafi ndo akabadili gear angani akaachana na issue za kupigania Pan -arab state akaanza uhusiano kamili na PAN-African state na akatemebelea south Africa hapo mandela alishatoka gerezani mida kibao, na watu walishafight sana kupigania uhuru wa kwa nchi za kusini mwa African kina nyerere na Kaunda ,Nigeria etc, baada ya gadafi kuanza miaka hiyo ya 97, basi akaja na wazo la kuunda Union of African sates la kuweka nchi za Africa sasa kuwa kitu kimoja kisiasa na kiulinzi, ambalo wazo hilo lilikuwepo toka Enzi za kina nkwame nkurumah, ingawaje kwa kipindi cha gadafi kuungia lilipata msukumo mkubwa zaidi, na wakafanikisha kuanziasha AU kwa replace OAU, ndo maana ukiangalia waanzilishi wa AU basi gadafi yupo, lakini gadafi kuja kwake ni baada ya mission zake kukwama na amekuja akakuta Sub-Saharan countries zote zimeshajikomboa. Mimi sitaki kusema Gadafi na Mandela nani zaidi, uzaidi huu utakuwa kwa kipindi kipi? kama ni kipindi ya miaka ya 97 -2011 basi gadafi shujaa, lakini kama ni kuanzia 1950----1990 basi kuna wengi mashujaa zaidi ya gadafi hata mandela akiwemo.