Poll: Muammar Gaddafi Vs Nelson Mandela? Nani Shujaa/mwamba Wa Afrika?

Poll: Muammar Gaddafi Vs Nelson Mandela? Nani Shujaa/mwamba Wa Afrika?

Muammar Gaddafi vs Nelson Mandela? Nani shujaa/mwamba wa Afrika?


  • Total voters
    244
..waTz hatupaswi kumsifia mtu aliyetoa roho za askari wetu ktk vita vya Uganda.

..Ndiyo maana vijana wa kiTz mnadharaulika kwasababu mnakurupuka kujadili mambo mazito lakini hamsomi.

Heshima Mkuu, JokaKuu .

Hapo kwenye red ndipo mzizi wa tatizo lilipo, tukifaulu katika hili basi mengine yoote yatakuwa rahisi mno.

Tuna-fail kwasababu ya kupuuzia na kukosa maarifa.Hatusomi, hatuwafuati wanaohusika na matukio halisi, hatutafiti nk.Mtu wa hivi lazima awe mshabiki, mnazi, maamuma nk.

Vijana wanaishi kwenye tetesi, fununu halafu wanaita elimu, so sad.

The greatest knowledge is a collection of books.No research no right to speak.If you dont have enough information about something in discussion dont comment anything about that.
 
Tatizo gaddafi alikuwa mdini sana ingawa alifanya mengi mazuri ila Mandela ni kama tundu lissu
 
..Gadaffi huyu aliyeua askari wetu wakati wa vita vya Uganda?!

..vijana wa siku hizi hebu someni kidogo.

..manaake mnaaibisha kwa kuanzisha thread kama hizi.
Alieuwa askari ni Nyerere, ndio aliyetumwa na waengreza apigane na General Idi Amini (Mungu amrehemu) kama wewe unaclaim umesoma bas umedanganywa.
 
Mandela hakuisaidia Africa labda tu kuwasamehe waliomfungia jela kumpa promo na propaganda nyingi but ghadafi alikuwa jembe sana
 
Vicheche wawili unaongea kuhusu msituni ni bora msituni kuliko ambush na mateso waliyapata wakina Biko,Mandela na wengineo mpaka sasa mtu kuuawa Afrika kusini imeonekana jambo la kawaida kwa sababu kaburu alikua anaua Raia wengi sana wakifanya maandamano Mandela ameteswa sana sio kama unadhani alikaa jela tuu kazi ngumu mateso juu wamekaa Roben Island jela ni kisiwa kuna baridi ya hatari ni ukanda wa bahari ya baridi ya benguela...wakahamishiwa pollsmor mpaka kesho ndio jela yenye ulinzi mkali SA na ilitengenezwa kwa makusudi ya kufunga wanasiasa...Kulikua kuna maeneo ya wazungu tuu mtu mweusi ukionekana huko unakula risasi hata kupita bara bara ya rami na gari lako ni risasi tuu...Cape town palade kuna dark room kwa ajili ya kutesa watu weusi ukatili walionao weusi sasa hivi ni mbegu iliyopandwa na kaburu miaka hiyo...
 
Vicheche wawili unaongea kuhusu msituni ni bora msituni kuliko ambush na mateso waliyapata wakina Biko,Mandela na wengineo mpaka sasa mtu kuuawa Afrika kusini imeonekana jambo la kawaida kwa sababu kaburu alikua anaua Raia wengi sana wakifanya maandamano Mandela ameteswa sana sio kama unadhani alikaa jela tuu kazi ngumu mateso juu wamekaa Roben Island jela ni kisiwa kuna baridi ya hatari ni ukanda wa bahari ya baridi ya benguela...wakahamishiwa pollsmor mpaka kesho ndio jela yenye ulinzi mkali SA na ilitengenezwa kwa makusudi ya kufunga wanasiasa...Kulikua kuna maeneo ya wazungu tuu mtu mweusi ukionekana huko unakula risasi hata kupita bara bara ya rami na gari lako ni risasi tuu...Cape town palade kuna dark room kwa ajili ya kutesa watu weusi ukatili walionao weusi sasa hivi ni mbegu iliyopandwa na kaburu miaka hiyo...
 
Vicheche wawili unaongea kuhusu msituni ni bora msituni kuliko ambush na mateso waliyapata wakina Biko,Mandela na wengineo mpaka sasa mtu kuuawa Afrika kusini imeonekana jambo la kawaida kwa sababu kaburu alikua anaua Raia wengi sana wakifanya maandamano Mandela ameteswa sana sio kama unadhani alikaa jela tuu kazi ngumu mateso juu wamekaa Roben Island jela ni kisiwa kuna baridi ya hatari ni ukanda wa bahari ya baridi ya benguela...wakahamishiwa pollsmor mpaka kesho ndio jela yenye ulinzi mkali SA na ilitengenezwa kwa makusudi ya kufunga wanasiasa...Kulikua kuna maeneo ya wazungu tuu mtu mweusi ukionekana huko unakula risasi hata kupita bara bara ya rami na gari lako ni risasi tuu...Cape town palade kuna dark room kwa ajili ya kutesa watu weusi ukatili walionao weusi sasa hivi ni mbegu iliyopandwa na kaburu miaka hiyo...
 
Vicheche wawili unaongea kuhusu msituni ni bora msituni kuliko ambush na mateso waliyapata wakina Biko,Mandela na wengineo mpaka sasa mtu kuuawa Afrika kusini imeonekana jambo la kawaida kwa sababu kaburu alikua anaua Raia wengi sana wakifanya maandamano Mandela ameteswa sana sio kama unadhani alikaa jela tuu kazi ngumu mateso juu wamekaa Roben Island jela ni kisiwa kuna baridi ya hatari ni ukanda wa bahari ya baridi ya benguela...wakahamishiwa pollsmor mpaka kesho ndio jela yenye ulinzi mkali SA na ilitengenezwa kwa makusudi ya kufunga wanasiasa...Kulikua kuna maeneo ya wazungu tuu mtu mweusi ukionekana huko unakula risasi hata kupita bara bara ya rami na gari lako ni risasi tuu...Cape town palade kuna dark room kwa ajili ya kutesa watu weusi ukatili walionao weusi sasa hivi ni mbegu iliyopandwa na kaburu miaka hiyo...
 
Mkuu acha tukupe elimu kama unataka kuelimika. Madiba hakuwa rafiki wa wazungu hata siku moja. Ulaya na USA yote ilikuwa pamoja na makaburu. Madiba kaondolewa ktk list ya magaidi ya USA wakati wa Obama au Bush. Sasa unapata wapi habar kuwa vyombo vya 'mangaribi' vinampamba madiba?
A wapi kila jambo lina sababu yake huwezi niambia unawaacha watu kama akina sankara au nyerere na gaddaf mwenyewe unamsifia madiba.

Wazungu wanamsifu kwa sababu aliwasamehe na hakupenda kuingilia maslahi yao kama inavyofahamika kwa waafrika wengi ni lazima angewatoa wazungu tuu lakini hakufanya hivo na ndo ponea yao.

Embu tujiulize south kaanza mdachi, kaja mwingizereza kuanzia miaka 1600 hadi 1994 utamtoaje huyo mtu? Kuna mulatoes wangap wamezaliwa hapo? Huyo mzungu utamrudisha ulaya akakae kwa nani? .. labda akaanzishe makaz mapya. okay vp hao mulatoes?? ni lazima msahama ungetoka tuu.

Mambo aliyofanya madiba ni ya kawaida sana.
Pongeza wanaume waliopinga ukoloni mambo leo bwana.
Gaddaf alihakikisha hakuna unyonyaji wowote za wazungu na kufuta kila kampuni lililokua linadhumu mali za walibya. Na hakuruhusu uwekezaji wowote usio na tija kwa walibya .... hali hii iliwakera sana wazungu wakaona wamuundie zenge kwamba ni muuaji, fisadi na mlafi wa madaraka. Mambo kama hayo washafanyiwa akina fidel castro, mandela mwnyewe n.k

Kwa akil timamu unaona tuu hizi ni propaganda za wazungu mwishowe waafriwa wanakua brainwashed totally.

Poor africans! Hizo ahadi wanazoahidiwa na wazungu wanazipata?
 
Vita ya Uganda watu wengi hawataki kujisomea, wanataka wasimuliwe vijiweni na watu wanaomchukia mwalimu. Facts:
  1. Mgogoro kati ya Nyerere na Iddi Amini haukuanza 1978, bali miaka ya mwanzon mwa 1970. Nyerere angekuwa mpenda vita angepambana na Iddi Amini kabla hajajiimalisha ili amuweke 'rafiki yake Obote'.
  2. Baada ya vita, Nyerere hakumpa madaraka Obote, bali Yusuf Lule. Dhana kwamba alienda vitani kwa ajili ya Obote inatoka wapi?
  3. Nyerere hakuanzisha vita. Iddi Amini ndo alikuwa wa kwanza kushambulia Tanzania. Akapiga Kagera na Mwanza. Bado Nyerere hakurukia vita au ku-retaliate. Aliomba nchi za OAU (sasa AU) zilaani kitendo kile. Hakuungwa mkono. Ina maana Nyerere aliitafuta Diplomasia, lakini hakupata muafaka.
  4. Iddi Amini hakupendwa na wananchi wake, kulikuwa na kikundi cha waasi kilichoongozwa na Mseveni na kilichopigana bega kwa bega na majeshi yetu. Hapa napinga dhana kuwa Idd Amini alikuwa mtu mwema aliyeonewa na Mwalimu.
Kwa uungwana, niseme kuwa Tanzania 'iliwahost' waasi wa Uganda waliokuwa wanaongozwa na Mseveni. Walikuwa wanafanya mashambulizi Uganda na kukimbilia Tanzania. Hii ndio sababu kubwa ya mgogoro kati ya Iddi Amin na Nyerere. Binafsi sishangai Nyerere kuwaruhusu 'waasi' kina Mseven na Besigye kufanya harakati zao kutoka Tanzania.

Idd Amin alikuwa ameleta mchezo mchafu wa mapinduzi Afrika Mashariki. Ikumbukwe jaribio la uasi la 1964 lilifanyika Uganda, Tanzania na Kenya pia. Hivyo utawala wa kijeshi wa Idd Amini ulikuwa lazima uchukiwe na Nyerere. Mpambana na mkoloni mweupe, hawezi kumuonea aibu mkoloni mweusi ambaye ni Idd Amin!
Mkuu OAU kwani msumbiji na angola hawakuwepo? Nachojua mimi tz ilipata majeshi kibao hizo nchi.
 
Vita ya Uganda watu wengi hawataki kujisomea, wanataka wasimuliwe vijiweni na watu wanaomchukia mwalimu. Facts:
  1. Mgogoro kati ya Nyerere na Iddi Amini haukuanza 1978, bali miaka ya mwanzon mwa 1970. Nyerere angekuwa mpenda vita angepambana na Iddi Amini kabla hajajiimalisha ili amuweke 'rafiki yake Obote'.
  2. Baada ya vita, Nyerere hakumpa madaraka Obote, bali Yusuf Lule. Dhana kwamba alienda vitani kwa ajili ya Obote inatoka wapi?
  3. Nyerere hakuanzisha vita. Iddi Amini ndo alikuwa wa kwanza kushambulia Tanzania. Akapiga Kagera na Mwanza. Bado Nyerere hakurukia vita au ku-retaliate. Aliomba nchi za OAU (sasa AU) zilaani kitendo kile. Hakuungwa mkono. Ina maana Nyerere aliitafuta Diplomasia, lakini hakupata muafaka.
  4. Iddi Amini hakupendwa na wananchi wake, kulikuwa na kikundi cha waasi kilichoongozwa na Mseveni na kilichopigana bega kwa bega na majeshi yetu. Hapa napinga dhana kuwa Idd Amini alikuwa mtu mwema aliyeonewa na Mwalimu.
Kwa uungwana, niseme kuwa Tanzania 'iliwahost' waasi wa Uganda waliokuwa wanaongozwa na Mseveni. Walikuwa wanafanya mashambulizi Uganda na kukimbilia Tanzania. Hii ndio sababu kubwa ya mgogoro kati ya Iddi Amin na Nyerere. Binafsi sishangai Nyerere kuwaruhusu 'waasi' kina Mseven na Besigye kufanya harakati zao kutoka Tanzania.

Idd Amin alikuwa ameleta mchezo mchafu wa mapinduzi Afrika Mashariki. Ikumbukwe jaribio la uasi la 1964 lilifanyika Uganda, Tanzania na Kenya pia. Hivyo utawala wa kijeshi wa Idd Amini ulikuwa lazima uchukiwe na Nyerere. Mpambana na mkoloni mweupe, hawezi kumuonea aibu mkoloni mweusi ambaye ni Idd Amin!

Uungwana wa kuhost waasi?
 
Nampenda Mandela...
Na Mandela alimkubali sana Gadafi.
 
Hata Mandela mwenyewe alikiri kuwa Ghadafi ni(alikuwa) jembe hapa Afrika. Msikilize anavymjibu huyu mwandishi.

Asante mkuu.
By the way Mandela was my best friend even if he don't know me at all
 
..waTz hatupaswi kumsifia mtu aliyetoa roho za askari wetu ktk vita vya Uganda.

..Ndiyo maana vijana wa kiTz mnadharaulika kwasababu mnakurupuka kujadili mambo mazito lakini hamsomi.
You've to chose among two devils. Because that's what both men were. I cant believe some Africans believe Gadaffi gave a f*ck about the interests of black Africa.
Mandela naye is pure bullshit. He licked white mans asses and left blacks dirt poor!
 
Back
Top Bottom