permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Libya siyo waafrica ila wanaishi Africa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Libya siyo waafrica ila wanaishi Africa
Alisimama kwa ajili ya Waafrika wapi? Labda kujenga misikitiHapo hakuna ubishi. Muamar Gaddafi ni mwamba wa Africa. Hakuna mwenye uwezo wa kufikia viwango vyake. Alisimama kwa ajili ya waafrica
Apo kweli ndo maana hadi leo wazungu wanampromote sana madiba ila watu kama Nyerere, samora, nkurumah, lumumba na sankara siwasikiagi kwenye media za mbele ila gadaf wanamchafua tuu wa watu.Na ule msamaha si baada ya kusukwa huko gerezani..!!!! Toka lini mzungu akampenda mwafrika kama hana maslahi?
Basi afananishwe na mwandama kadinali polycup pengo, au Askofu Moses Kulola or whateverAmani, upendo, busara, hekima na maarifa.
..Gadaffi huyu aliyeua askari wetu wakati wa vita vya Uganda?!
..vijana wa siku hizi hebu someni kidogo.
..manaake mnaaibisha kwa kuanzisha thread kama hizi.
Umefafanua vizuri apo alichokifanya ni kuikabizi s.a kwa wazungu sio kuwasamehe wazungu kama inavojulikanaAtakayekupinga ana MAPEPO makali sana, na ni mtu ambae ni MZITO SANA KICHWANI. Ukitaja Mchango wa Afrika utamtaja Hayat Nyerere, ubaya ni kwamba hakuna kumbukumbu zake muhimu.
Madiba ni nothing kwa Afrika ila kwa wazungu ni shujaa, jamaa aliamua kuikabidhi SA kwa wazungu baada ya kutoka jela.
KweliHata Lowassa anavyo.
S.A ilkua stable kichumi before hata uhuru coz wajanja walkua wameshatimba pale.Akili yako ni ya Kibashite, Mandela kaongoza miaka 5 tu tena ambapo nchi ndiyo imepata uhuru pekee, Gadaffi miaka 42, S.A na Libya wapi penye maendeleo? Note mchango wa amani, busara, hekima na maarifa ni mkubwa kuliko mchango wa fedha.
Afu atafakari maisha ya mwafrika enzi za madiba S.A na Libya enzi za GadafHakukuwa na haja ya kunitusi,matusi hayatafanya hoja yako kuwa yenye nguvu.
Kati ya SA na Libya ni nchi gani ilikuwa na huduma za kijamii zenye hadhi ya juu??
Ni kiongozi gani kati ya Mandera na Gaddafi ameisaidia zaidi Africa??
Ukijibu maswali haya utakuwa umejibu swali la mleta hoja. Mleta hoja hakuuliza nani ana busara au hekima zaidi kati ya viongozi aliowataja wala hakuuliza mchango wao kwa nchi zao binafsi bali kwa Africa.
Nikusihi ujenge hoja sio matusi.
FactMuammar Ghadaffi was more better, than POLITICAL LEADERS...
Hicho ndicho kilichomuharibia cv. Ila Jamaa yupo makini sana..Gadaffi huyu aliyeua askari wetu wakati wa vita vya Uganda?!
..vijana wa siku hizi hebu someni kidogo.
..manaake mnaaibisha kwa kuanzisha thread kama hizi.
Brother una akili sana aiseeee na hongera kwa utulivu wakoHakukuwa na haja ya kunitusi,matusi hayatafanya hoja yako kuwa yenye nguvu.
Kati ya SA na Libya ni nchi gani ilikuwa na huduma za kijamii zenye hadhi ya juu??
Ni kiongozi gani kati ya Mandera na Gaddafi ameisaidia zaidi Africa??
Ukijibu maswali haya utakuwa umejibu swali la mleta hoja. Mleta hoja hakuuliza nani ana busara au hekima zaidi kati ya viongozi aliowataja wala hakuuliza mchango wao kwa nchi zao binafsi bali kwa Africa.
Nikusihi ujenge hoja sio matusi.
Hapo sawa mkuuBasi afananishwe na mwandama kadinali polycup pengo, au Askofu Moses Kulola or whatever
Sawa dingiS.A ilkua stable kichumi before hata uhuru coz wajanja walkua wameshatimba pale.
Hili jina lako la Nkosazana ni la ki South Africa..Sawubona,ukahle?Noted
Ni kipi hasa alichofanya kwa Africa au Dunia?Madiba ni baba wa ulimwengu.
Ukiwa CCM huwezi kukiona mpaka ufukuzwe kama Sophia Simba.Ni kipi hasa alichofanya kwa Africa au Dunia?
Kiongozi yoyote ambaye akiondoka madarakani nchi inachafuka, ni kiongozi wa ovyo! Ni wale "one man leadership", hawaachi legacy! Gaddafi, Magufuli, Amin, Mugabe, Bashir, Museveni and likes!