komanyahenry
JF-Expert Member
- Sep 15, 2017
- 903
- 1,361
Kwan Mandela kafanya kitu gani cha maana kwa nchi za africaMadiba yuko juu..
Gaddafi aliifanyia nn Afrika zaidi ya kujilimbikizia mali,utawala,madaraka mpaka kufa kifo cha aibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan Mandela kafanya kitu gani cha maana kwa nchi za africaMadiba yuko juu..
Gaddafi aliifanyia nn Afrika zaidi ya kujilimbikizia mali,utawala,madaraka mpaka kufa kifo cha aibu
Heshima anayopewa Mandela sidhani kama alistahili, naweza sema nyerere alistahili kupewa heshima hiyo maana alitumia resources nyingi sana za tanzania kwa ajili ya ukombozi wa nchi nyingi za africa na hiyo SA yenyewe ikiwemoUsimfananishe Gadaffi na vitu vya kijinga
Mkuu nimependa uchambuzi wakoGhadafi alikuwa anti imperialist na marafiki zake wakubwa walikuwa Fidel Castro, Chavez,morales na ndio maana Omar all bashir anamchukia sana gadaffi hata kifo cha Gadafi ,Al bashir alifurahi sababu gadaffi alikuwa ana destabilize Sudan kwa kuwafadhili akina Garang akidai Bashir ni imperialist japo alikuwa na motive zingine kuona Sudan ingekuwa super power.Mpaka s.Sudan inapata Uhuru ni kwasababu ya kazi kubwa ya Gadaffi
Ishu ya Uganda Gaddafi aliona Tanzania ni imperialist ina occupy sehemu isiyo yake japo alikengueka na kuomba msamaha baadae
Ila ukizungumzia liberation Gaddafi katoa pesa nyingi kumsaidia Mandela na marafiki zake wa karibu mno walikuwa Chavez, Castro anti imperialist wenzake wenye muono sawa na pindi Mkutano was UN ukifanyika Gaddafi alikuwa anaenda pamoja na Chavez NY .na Chavez kwenye moja ya hutuba zake alikuwa ana mchambua Gaddafi na liberation na mipango yao ya kuunganisha afrika kama ilivyo s.America
Wote ni mashujaa wa Africa ,
Gaddafi kapigania South ,kapigania Uhuru wa s.Sudan nk .
Mandela kakaa sana jela japo ni inspirational ila gadaffi ,samora ,nyerere walipigania ya wa Africa wote
![]()
Kati ya hao uliowataja nitamchagua Gaddafi. Ikiwa utataka nimtaje aliye na mchango mkubwa kwa Africa wote ntamtaja namba moja Nyerere na namba mbili Lumumba.
Mandera hana la maana kwa Africa zaidi ya kukaa jela.
Hasa kumsaidia Idd Amin na kujenga misikiti, nikumbushe kama kuna lingine alilolifanyaMaarufu zaidi ni Mandela
Kuisaidia zaidi Afrika ni Ghadafi
Kuikomboa Afrika ipi?Mandela nasikia wazungu walimnyongonyesha kwa kumuonesha gerezani kila aliyekuwa nae bega kwa bega kuwa amewafuata wazungu walimfanyia hivyo mpaka anatoka alikuwa anaona hakuna mtu wa kuitetea afrika ,
alipopata madaraka akaamua kuwashirikisha hao hao wazungu bila kinyongo.
gadafi alitumia sehemu ya utajiru wake kuikomboa afrika(alijaribu lkn hakuweza)
Tupe ushahidiHuyu jamaa alikuwa ni mbaguzi wa kidini wa kiwango cha juu, na alikuwa anatumia mali zake kushawishi na kuwahonga baadhi ya viongozi ili kuibadilisha Afrika kuwa ya dini moja. Huo umoja wa Afrika aliokuwa anazungumzia ni Tofauti na ile ya NKURUMAH na NYERERE yeye alikuwa kwenye mrengo wa kidini , ndio sababu kuu ya kumpa sapoti NDULI wakati wa vita ya kagera akiamini kuwa bongo ndio ilikuwa kikwazo kwa baadhi ya sera zake mbovu
Kwanini?Gaddafi
Muamar gadafi....huyo Mandela "ushujaa" wake ni kukaa jela mengine aliyoyafanya ni ya kawaida sana, tena yalifanywa na wapigania Uhuru wenzie
Naunga mkono hojaKwanini?
Ngoja waje kukujibughadaf kafny nn mpk afananishwe na madiba?
Ninaomba tusimuongelee mwalimu Nyerere kwa maana yeye nafasi yake kwa Afrika haina mpinzani.👊🏽👊🏽👊🏽