Poll: Muammar Gaddafi Vs Nelson Mandela? Nani Shujaa/mwamba Wa Afrika?

Muammar Gaddafi vs Nelson Mandela? Nani shujaa/mwamba wa Afrika?


  • Total voters
    244
Mkuu nimependa uchambuzi wako
 
Mandela hakuisaidia Afrika bali alisaidiwa na Afrika. Walioisaidia Afrika wapo akina Nyerere kwa hamasa (solidarity) na Ghadafi kifedha.

Mandela ana umaarufu uliokuzwa na wazungu kwa uamuzi wake wa kuwaachia wazungu ardhi waliyokuwa wameipora na kuwaacha waafrika wenzake wakiteseka.

Lakini kwa kuwa bado tunaishi katika hangover ya anti-apartheid iliyoyokea huko SA, tunamwabudu Mandela zaidi ya waliopambana kwa fedha na damu kumkomboa Mandela.

Kwa hiyo Ghadafi na Mandela hawapaswi kulinganishwa kwani hawatalingana kamwe. Mmoja alitafuniwa na waliokuwa wapambanaji huko nje, mwingine alipindua nchi akiwa na miaka 30 akaijenga ikafikia viwango vya ulaya kimiundombinu. Ghadafi alibugi kipengele kimoja tu cha haki za binadamu.
 
Nyerere alifanya makubwa sana kuliko hao wawili sema tu hakupewa promo.najua mtabisha sana ila someni tena historia mtajua kwanini tulikuwa masikini sana.mtagundua ni misaaada tuliyowapa wenzetu na juhudi za kuunga jangea la sahara kuwa nchi moja ndio limechangia
 
Mtasema huyu Bora yule sio bora kipimo hicho kinapimwa ndani ya nchi zao nini wamefanya na uhusiano wa kimataifa.. Afrika kusini ishajitia dosari kwa kubagua waafrika wenzao Tena kufikia hatua ya kuwauwa!! Nawachukia wao na hata mashujaa wao!
 
Kukaa jela ndo awe mwamba!? Acha kumlinganisha Gadaffi na vitu vya ajabu
 
Shujaa wa Africa ni Tata Nyarusare! Wa Kamunyonge Bi-afra.jirani na Green Bar.
 
Na kuvaa jezi ya Bafana Bafana ktk African Cup of Nations 1996
Kati ya hao uliowataja nitamchagua Gaddafi. Ikiwa utataka nimtaje aliye na mchango mkubwa kwa Africa wote ntamtaja namba moja Nyerere na namba mbili Lumumba.

Mandera hana la maana kwa Africa zaidi ya kukaa jela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuikomboa Afrika ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupe ushahidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…