Na ule msamaha si baada ya kusukwa huko gerezani..!!!! Toka lini mzungu akampenda mwafrika kama hana maslahi?Gaddafi alijitahidi sana kusaidia Africa, sema ndio hivyo baadae wakubwa waliona ni kikwazo kwa maslai yao! Mandela alipata zaidi umaarufu hasa kwa msamaha wake kwa makaburu licha ya kuwekwa jela kwa miaka kibao! Kwangu mimi Gaddafi ni zaidi ya Mandela