Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hakuna zaidi ya Libyamadiba na gaddafi???
madiba amekaa sana gerezani unajua gaddafi amesaidia uhuru nchi ngap africa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna zaidi ya Libyamadiba na gaddafi???
madiba amekaa sana gerezani unajua gaddafi amesaidia uhuru nchi ngap africa??
Mandela hakuna alichofanya zaidi ya kukaa jela na kuja kutoa uhuru feki, ambao unaleta problems bondeni hadi leo hiighadaf kafny nn mpk afananishwe na madiba?
Said like a professionalGhadafi alikuwa anti imperialist na marafiki zake wakubwa walikuwa Fidel Castro, Chavez,morales na ndio maana Omar all bashir anamchukia sana gadaffi hata kifo cha Gadafi ,Al bashir alifurahi sababu gadaffi alikuwa ana destabilize Sudan kwa kuwafadhili akina Garang akidai Bashir ni imperialist japo alikuwa na motive zingine kuona Sudan ingekuwa super power.Mpaka s.Sudan inapata Uhuru ni kwasababu ya kazi kubwa ya Gadaffi
Ishu ya Uganda Gaddafi aliona Tanzania ni imperialist ina occupy sehemu isiyo yake japo alikengueka na kuomba msamaha baadae
Ila ukizungumzia liberation Gaddafi katoa pesa nyingi kumsaidia Mandela na marafiki zake wa karibu mno walikuwa Chavez, Castro anti imperialist wenzake wenye muono sawa na pindi Mkutano was UN ukifanyika Gaddafi alikuwa anaenda pamoja na Chavez NY .na Chavez kwenye moja ya hutuba zake alikuwa ana mchambua Gaddafi na liberation na mipango yao ya kuunganisha afrika kama ilivyo s.America
Wote ni mashujaa wa Africa ,
Gaddafi kapigania South ,kapigania Uhuru wa s.Sudan nk .
Mandela kakaa sana jela japo ni inspirational ila gadaffi ,samora ,nyerere walipigania ya wa Africa wote
![]()
Nadhani wengi hawamjui vizuri huyu Ghadaffi mkuu. Si mtu mzuri kama wamfikiriavyo...Gadaffi huyu aliyeua askari wetu wakati wa vita vya Uganda?!
..vijana wa siku hizi hebu someni kidogo.
..manaake mnaaibisha kwa kuanzisha thread kama hizi.
Anachukiwa na wazungu sababu ya udikteta, mauaji ya watu wasio na hatia na kukosa diplomasia. Marekani na Ulaya hawapendi hayo mambo kabisa.Jibu ni rahisi tu
Anayechukiwa na wazungu ndo shujaa wa Africa
Gadaffi ni hero. Mandela mbona ni mchumba tu kwa Gadaffi?Huwezi mlinganisha Mandela na vitu vya ajabu. Mfssss
Huo u shujaa ni wa nchi yake tunazungumzia mwamba wa africa ni nani hivi ww mandela unaweza hata kumfananisha na nyerereMkuu naumia sana mnapolinganisha MANDELA na mwanasiasa yeyote duniani. Mtu kafungwa 27, lakini kasamehe waliomfunga! Kakaa madarakani muhula 1tu!! MANDELA hana mpinzani duniani.