Polls: JF Man Of The Year 2011

Polls: JF Man Of The Year 2011

Je, Ni Nani Unampigia Kura Kuwa "JF Man Of The Year 2011"?

  • BAK - Bubu Ataka Kusema

    Votes: 19 29.7%
  • Aspirin

    Votes: 29 45.3%
  • EMT

    Votes: 16 25.0%

  • Total voters
    64
  • Poll closed .
Orayt...

Mie naitwa Asprin a.k.a Babu yaani ODM wa wajukuu.

Unakaribishwa katika familia yangu. Facebook unatumia ID gani?



Well nishakaribia Asante. Nimeona ni bora nitenganishe FB na JF. Mambo yote tutamaliza hapa.
 
Kwa sababu kuna ujumbe nilikua natuma kwa kupitia kura yangu
ila naona message not delivered...:lol:
wewe je?



Mimi sijapiga. Hapo sijakuelewa kabisa, labda ukitaja huo ujumbe nitaelewa.
 
Mimi sijapiga. Hapo sijakuelewa kabisa, labda ukitaja huo ujumbe nitaelewa.
Kweli hujaelewa? Kumbe ulikua umefichama kiasi hicho?
Mbona mi nilidhani uko wazi? kumbe ndio maana hajaelewa
 
Well nishakaribia Asante. Nimeona ni bora nitenganishe FB na JF. Mambo yote tutamaliza hapa.
Punguza uchoyo kidogo bana. Hupendi kufahamiana na ODM? Hutaki ukaguzi?
 
Kweli hujaelewa? Kumbe ulikua umefichama kiasi hicho?
Mbona mi nilidhani uko wazi? kumbe ndio maana hajaelewa


Assumptions are termites - Ndio maana nikaomba kueleweshwa
 
Mi sijui huwa nna nini...

Tangu nizaliwe sijawahi kumpigia mtu kura afu akashinda zaidi ya mwaka juzi kura yangu kwa Halima Mdee ilipovunja rekodi

Tangu nizaliwe sijawahi kupigiwa kura nikashinda zaidi ya mwaka huu hapa JF chini ya kampeni meneja wangu Kongosho asali ya ODM, mratibu wa uchaguzi Fellow tablet klorokwini na them my darling wajukuuz :A S-coffee:i love you all 😛oa. (Hivi bado kura zinaendelea kupigwa???)

Nachoweza kusema kwa kifupi sana ni kuwa NAWASHUKURUNI wote mlionikampenia na wote mlionipigia kura na mliowapigia washkaji zangu BAK na EMT.

Am happy but I think I don't deserve this.

Baada ya kusema hayo, napenda kuwahakikishieni kuwa ODM anawapendeni wote. Karibuni kaunta ya juu kwa Tusker Malt baridi kwenye glasi ya moto.

nakuja sasa hivi ngoja nidake bodaboda
 
Punguza uchoyo kidogo bana. Hupendi kufahamiana na ODM? Hutaki ukaguzi?



Ukaguzi naweza kubali ikiwa tu mimi ndio mkaguzi na sikagui mtu. Mbona sijakunyima lolote waniita mchoyo?
 
Muadd akitaka vingine mwambie njoo baadae....
Hapo tayari ameruhusu a complete stranger kujua anakohishi,
rafiki zako, key events za maisha, what you like and dislike
How you look like na mengineyo
My Anti told me not to talk to strangers
Nadhani ina aply sana katika facebooc.
Don't add anyone if you don't know him enough to give him your details
Atuachie sisi ndio ushare details na bau yetu!
 
Assumptions are termites - Ndio maana nikaomba kueleweshwa

Ukiona sikusema toka mwanzo si maana yake nimeshindwa?
Halafuuuuuuu, Mbona umenibana sana wewe dada? Ulijiunga lini?
Mbona huna kamba mguuni??? (just joking)
 
Ukaguzi naweza kubali ikiwa tu mimi ndio mkaguzi na sikagui mtu. Mbona sijakunyima lolote waniita mchoyo?
Umeninyim ID yako ya Facebook siyo uchoyo huo? Basi nipe namba yako ya simu nikudipu.
 
Ukiona sikusema toka mwanzo si maana yake nimeshindwa?
Halafuuuuuuu, Mbona umenibana sana wewe dada? Ulijiunga lini?
Mbona huna kamba mguuni??? (just joking)



Assumption yangu ilikua a "crush" am I rite?

Mimi mwenyewe umenibamba. Care join me for a JD?
 
Ukikosa mtu wa kukuelewsha au ukiona wanakuzingua nitafute kwa PM sawa eh?

Yule ambae ananichanganya ndie hasa anastahili kunielewesha, nikija kwako utanipa kazi ya kuanza kukuelewesha nini hasa unatakiwa kunielewesha.

Umeninyim ID yako ya Facebook siyo uchoyo huo? Basi nipe namba yako ya simu nikudipu.

ID yangu ya fb ya nini kwako? nikikupa itasaidia nini labda? Simu yangu haina haja, anapokea secretary na kama sio ki kazi you can not get thru.
 
Hapo tayari ameruhusu a complete stranger kujua anakohishi,
rafiki zako, key events za maisha, what you like and dislike
How you look like na mengineyo
My Anti told me not to talk to strangers
Nadhani ina aply sana katika facebooc.
Don't add anyone if you don't know him enough to give him your details
Atuachie sisi ndio ushare details na bau yetu!

Naomba nikupe ushauri wa bure dada yangu, Facebook haina maana yoyote kama marafiki zako ni wale wale mnaokutana sokoni, vyuoni na makazini na makanisani pamoja na misikitini, facebook itakuwa na tija zaidi kwako kama utakuwa unameet na new people everyday, na hapa simaanishi wawe watanzania hapana, unaweza ukaomba friend request na watu tofauti duniani nadhani unahitaji kujifunza mambo mengi kutoka kwa watu tofauti, na sio friend list yako ijae watu wote kutoka Manzese. hapana dada.
 
Back
Top Bottom