Polonium210 has killed him

Acha ramli chonganishi,Ruge kaanza kuumwa miaka miwili iliopita,wakati sumu yako unasema haizidi siku 138.
Ni kweli kabisa hajakosea haizidi hizo siku kama ikitumika ipasavyo nimekumbuka baada ya kuona hio idadi ya siku
 
Huk
No Noooooo! Siyo kweli labda angepigwa risasi, hapa TZ hatujafikia huko na hatuna technology ya kutumia hiyo kitu.
Huku Kanda ya Ziwa mbona kuna sumu ya mamba inatumika,na ni deadly kama hiyo Polonium?Na Ole sumu ya mamba ipakwe kwenye kikombe chako cha chai.Si rahisi kuidetect maana haiachi rangi,wala haina radha ambayo itakufanya ushtuke,na inaua pole pole ila kwa uhakika wa 10000%
 
Upinzani tumefikia kiwango cha juu sana cha upumbafu, polinium210 inauwa mishipa ya fahamu na ya moyo with a minute unakuwa umesha kufa kama hutapata matibabu kwa haraka,

Kuifadhi hyo sumu ni gharama kuisafirisha ni gharama unatakiwa ukodi ndege ikuletee hadi mguu mwako

Tuache kumchafua mtu kwa kisingizo cha chuki,

Ruge amefariki tumwombee tusimtese huko aliko
 

🥺🥺🥺kwahiyo unataka kusema kamzimu ka kuuwawa kwa sumu hakajaondoka.
 
Kwetu upareni kunayo inaitwa mwenda pole iyo inapakwa kwenye sahani ya kulia chakula au kikombe cha chai..huwezi kuigundua kwa rangi, harufu wala ladha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mpumbavu kama wapumbavu wengine.kuwa nyuma ya keyboard kusikufanye uandike ujinga ukidhani unajificha.
 
Asante kwa kuichonganisha jamii,ubarikiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani mwenye uwezo wa kuibeba polonium hapa bongo, ukilaza wa kupata zero unafikiri ataiweza hiyo polonium? Yeye anaweza kuteka na kuua tu, ujanja wa sumu kwake bado sana.
Bro amekufa kwa starehe zake tu, pombe, madawa nk.
Unafikiri alivyombebesha mangwair madawa ilikuwa sahihi? Kula uliwe...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii nchi imekuwa ya kishetani hadi sasa natamani kuukana hata uraia wangu!
 
Kwa vile aliumwa kwa kipindi cha zaidi ya muda huo, please acheni hizi conspiracy theories za uongo.

Uhai umeumbwa, na kifo pia kimeumbwa. Siku mtu unazaliwa, siku hiyo kifo chako pia kinakuwa kimepangwa na mpangaji ni Mungu.
P.
Sio kweli Pascal Mayalla: sio vifo vyote hupangwa na Mungu, kwa hiyo unataka kusema kifo cha Lissu kingekuwa cha Mungu sio, basi kama ni hivyo mungu ni jiwe letu na mwanae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polonium-210 is available from Oak Ridge National Laboratory at the cost of about $3200 per microcurie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…