Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Duh! eee bhana eeee !!Polonium210 inategemea na kiasi ulichopewa, ukipewa kidogo unaweza kumaliza hata miaka 10 ndo ikakumaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! eee bhana eeee !!Polonium210 inategemea na kiasi ulichopewa, ukipewa kidogo unaweza kumaliza hata miaka 10 ndo ikakumaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu nani anapiga ramli kati yangu na wewe??Acha ramli chonganishi,Ruge kaanza kuumwa miaka miwili iliopita,wakati sumu yako unasema haizidi siku 138.
Hii quote hiko misplaced nadhani ilimlenga mtoa mada kwasababu Mimi na wewe tunamtazamo mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh yaweza kuwa kweli ila ukweli utakuja kupatikana tuHakika mkuu,sema wengi wanawahifadhi kwa kusingizia maradhi mengine,bado raia wanaona kama ni fedheha kuonekana mtu kafa na hiyo kitu,kitu hiyo wengi wanaihusisha na uzinzi wakati si kweli kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa mnatoa wapi hizi stori za Mungu kupanga kifo?Kwa vile aliumwa kwa kipindi cha zaidi ya muda huo, please acheni hizi conspiracy theories za uongo.
Uhai umeumbwa, na kifo pia kimeumbwa. Siku mtu unazaliwa, siku hiyo kifo chako pia kinakuwa kimepangwa na mpangaji ni Mungu.
P.
Kwa vile aliumwa kwa kipindi cha zaidi ya muda huo, please acheni hizi conspiracy theories za uongo.
Uhai umeumbwa, na kifo pia kimeumbwa. Siku mtu unazaliwa, siku hiyo kifo chako pia kinakuwa kimepangwa na mpangaji ni Mungu.
P.
Siku na saa inakuwa imepangwa, kisababishi tuu ndio kazi ya shetani, ndio maana kuna watu, wanakula uchafu huo huo, lakini hawaigui kipindupindu na kuna watu wanaugua na hawafi.Huwa mnatoa wapi hizi stori za Mungu kupanga kifo?
Kwa hiyo wanaokufa kwa kipindu pindu nao ni Mungu amewapangia kula uchafu wafe?
Hii ndio inatufanya Waswahili hatujishghulishi kufanya tafiti na kutatua changamoto.Siku na saa inakuwa imepangwa, kisababishi tuu ndio kazi ya shetani, ndio maana kuna watu, wanakula uchafu huo huo, lakini hawaigui kipindupindu na kuna watu wanaugua na hawafi.
Mfano nzuri wa siku na saa ni Tundu Lissu, kikawaida, risasi moja tuu huwa inatosha kumaliza kazi, yeye kapigwa risasi 16 na yu hai kwa sababu saa yake aliyopangiwa bado haijafika.
Saa ikifika, unakwenda hata ukiwa usingizini na huumwi chochote na huna tatizo lolote
P