Polonium210 has killed him

Polonium210 has killed him

Inawezekana alianza kuumwa zamani, lakini msongo wa kuachwa na Mama watoto wake kiasi cha kulia ni, zaidi ya sababu ambayo inaweza fikirika, jumlisha na uovu wa Bashite, ushindani mkubwa kibiashara lakini yote ni kwamba ametimiza umri wake aliopangiwa na Mungu muweza.
 
Kwa vile aliumwa kwa kipindi cha zaidi ya muda huo, please acheni hizi conspiracy theories za uongo.

Uhai umeumbwa, na kifo pia kimeumbwa. Siku mtu unazaliwa, siku hiyo kifo chako pia kinakuwa kimepangwa na mpangaji ni Mungu.
P.
Huwa mnatoa wapi hizi stori za Mungu kupanga kifo?

Kwa hiyo wanaokufa kwa kipindu pindu nao ni Mungu amewapangia kula uchafu wafe?
 
Hili andiko ni la kiingereza lakini cha ajabu limeeleweka kirahisi.
 
Duu hapana kwa kweli
Hiyo sumu kwanza nywele zinapuputika haraka sana
Labda kama kuna picha

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Uko sahihii mkuu Ila hata kule kijijini kwetu ukigombana na mtuu Kisha akatangulia mbele ya haki.vijihisia vya we we mgomvi wake kuhusika havikosi.

Izingatiwe Katika ungomvi wenyewe mmoja wapo yuko juu ya mamraka zote isipokua moja tuu iliomteua.

Na kwatabia na mienendo yake haiwezi kua ajabuu.
Kwa vile aliumwa kwa kipindi cha zaidi ya muda huo, please acheni hizi conspiracy theories za uongo.

Uhai umeumbwa, na kifo pia kimeumbwa. Siku mtu unazaliwa, siku hiyo kifo chako pia kinakuwa kimepangwa na mpangaji ni Mungu.
P.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa mnatoa wapi hizi stori za Mungu kupanga kifo?

Kwa hiyo wanaokufa kwa kipindu pindu nao ni Mungu amewapangia kula uchafu wafe?
Siku na saa inakuwa imepangwa, kisababishi tuu ndio kazi ya shetani, ndio maana kuna watu, wanakula uchafu huo huo, lakini hawaigui kipindupindu na kuna watu wanaugua na hawafi.

Mfano nzuri wa siku na saa ni Tundu Lissu, kikawaida, risasi moja tuu huwa inatosha kumaliza kazi, yeye kapigwa risasi 16 na yu hai kwa sababu saa yake aliyopangiwa bado haijafika.

Saa ikifika, unakwenda hata ukiwa usingizini na huumwi chochote na huna tatizo lolote
P
 
Siku na saa inakuwa imepangwa, kisababishi tuu ndio kazi ya shetani, ndio maana kuna watu, wanakula uchafu huo huo, lakini hawaigui kipindupindu na kuna watu wanaugua na hawafi.

Mfano nzuri wa siku na saa ni Tundu Lissu, kikawaida, risasi moja tuu huwa inatosha kumaliza kazi, yeye kapigwa risasi 16 na yu hai kwa sababu saa yake aliyopangiwa bado haijafika.

Saa ikifika, unakwenda hata ukiwa usingizini na huumwi chochote na huna tatizo lolote
P
Hii ndio inatufanya Waswahili hatujishghulishi kufanya tafiti na kutatua changamoto.

Hao wenye imani tofauti na yenu/yako ndio wanaojifungia ndani saa 24 kupata dawa ya kutibu kipindupindu ili watengue mipango ya Mwenyenzi Mungu, bila hivyo kila ingetokea mlipuko basi tungeweka mikono nyuma na kusubiri kuona waliopangiwa kifo wafe wasiopangiwa wapone.
 
Polonium 210 russian mafian's dey carry go kill dem black and double agents una true ooh wu da one ooh we dey live by grace oo na only God gon be judge we all gona die oo no be man motal gon live plenty plenty oo shaa! Tufiakwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom