Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Hata alcohol iliyomo kwwnye ma whisky na mabeer ni sumu aina ya slow killer
Sent using Jamii Forums mobile app
$3200 per microcurie? That a lot a money for such amount. 7.2 million tzsPolonium-210 is available from Oak Ridge National Laboratory at the cost of about $3200 per microcurie.
Hajapost RIP anajua watu wamepinda watamchana pale paleBila haya wala aibu ameenda tayari msibani.
jamaaa ni lijinga sana anadhani wote hapa JF ni darasa la pili kama yeyeMara unasema haizidi siku 138 mara miaka 10 we jamaa acha kuunga unga vistori
Sent using Jamii Forums mobile app
Anayeumba ni mmoja tuu Mungu Baba Muumba wa vyote vinavyo onekana na visivyo onekana, Mungu ndiye mtoa Roho ya uhai na pumzi ya kuishi ya viumbe hai vyote, na ndie hutoa kibali roho za wote zirudi kwake.Sio kweli Pascal Mayalla: sio vifo vyote hupangwa na Mungu, kwa hiyo unataka kusema kifo cha Lissu kingekuwa cha Mungu sio, basi kama ni hivyo mungu ni jiwe letu na mwanae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu atakufa akiwa amesimama wima na mdomo wake ukiwa wazi kaa samaki.Hajapost RIP anajua watu wamepinda watamchana pale pale
TruePolonium210 sio sumu ya panya, ni sumu sensitive and delicate kama uranium nuclear molecules wala hapatikani kienyeji, ni sumu hatari kwa mbebaji zaidi ya kwa adui anaelengwa, ni sumu ghali kupindukia na inapatikana sehemu moja tu duniani kwa kibali cha huge group of people decision baada ya mlolongo wa vikao vizito.
Hii theory tu mkuu Pascal Mayalla:Anayeumba ni mmoja tuu Mungu Baba Muumba wa vyote vinavyo onekana na visivyo onekana, Mungu ndiye mtoa Roho ya uhai na pumzi ya kuishi ya viumbe hai vyote, na ndie hutoa kibali roho za wote zirudi kwake.
Tukio la Lissu ni mpango wa shetani, na sio mpango wa Mungu ndio maana hakufa. Malaika mtoa roho, Malaika Israel, huipitia kila roho kwa mara 70 kila siku ili kuhakikisha saa yako ikifika haipiti hata nukta.
Kama saa yako ikifika, unakwenda kwa jinsi ile ile kifo kitakavyo kukuta, iwe ni kwa ajali, risasi, ugonjwa, usingizini etc.
P
Aaaah mkuu Detective J: acha kuzingua botox hii hii, mbona hiyo dawa inatumika vizuri tu hospitali kama unataka kuzuia nywele za kwapa zisiote?Come man. Naongelea sum zinazotumiwa na mashirika ya ujasusi.
Kuna sumu inaitwa botox.. moja ya sumu hatari sandunian.
Hii unakuua taratib pia japo kikatili. Hakuna sumu inatwa slow killer..
Kufa haraka au taratib inaetegemeana na volume. Nahapa naongelea effective poison..
Usiniambi visumu vidogo vidogo kama pombe.. sijui alcohol... comeon..
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi itakuwa ndumba za bagamoyo fullstopRuge ameanza kuugua sio mwaka jana wala juzi. Uchochezi mwingine wa kis@@#enge sana. Siku 138 ni miezi mingapi. Pumbaff mleta mada.
Ziko sumu za hivyo lakini symptoms ya Polonium210 ndo hizo nimetaja hapoRafiki yangu Mganda walizaliwa wanne kwao. Wazazi wote walikuwa na mafanikio mazuri kwenye taaluma zao na watoto walisoma English medium. Watoto wao wote nao wamefanikiwa vizuri ki maisha.
Watoto waliamua kuwa wanapeleka nyumbani milioni moja kwa mwezi bila kujali pensheni ya wazazi. Ingawa wazazi ni wastaafu walimudu maisha vizuri ndani ya ghorofa lao.
Waliajiri house girl, dada wa 30+ na alipewa guest wing akae.
Mama aliamua kurudi kwenye kazi yake akiwa mwajiriwa wa hospitali ya kanisa part time ili kuchangamsha mwili na akili. Kumbe Baba alianza ku chum chum dada na kumpa vijihela vyake vya pension. Dada alianza kujenga nyumba kwao. Aliponogewa na penzi alitafuta sumu akamuekea mama kwenye chai. Nayo ilikuwa slow killer.
VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA===fafanua kidogo mkuu hapa,eneo muhimu sana hiliBasi mtachoooonga kisa kaka kafariki. RIP Bro
VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
Soma mada ueleweWamechoka uzushi sasa wanasingizia..walaaniwe nyau hao
Mkuu ,matajiri wengi sana wamekufa na hiyo kitu,siwezi wataja hapa jukwaani ,utakula dawa kalikali,figo zitachoka ,eventually chali mbaya!