Polonium210 has killed him

Polonium210 has killed him

Come man. Naongelea sum zinazotumiwa na mashirika ya ujasusi.
Kuna sumu inaitwa botox.. moja ya sumu hatari sandunian.
Hii unakuua taratib pia japo kikatili. Hakuna sumu inatwa slow killer..
Kufa haraka au taratib inaetegemeana na volume. Nahapa naongelea effective poison..
Usiniambi visumu vidogo vidogo kama pombe.. sijui alcohol... comeon..
Hata alcohol iliyomo kwwnye ma whisky na mabeer ni sumu aina ya slow killer

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli Pascal Mayalla: sio vifo vyote hupangwa na Mungu, kwa hiyo unataka kusema kifo cha Lissu kingekuwa cha Mungu sio, basi kama ni hivyo mungu ni jiwe letu na mwanae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anayeumba ni mmoja tuu Mungu Baba Muumba wa vyote vinavyo onekana na visivyo onekana, Mungu ndiye mtoa Roho ya uhai na pumzi ya kuishi ya viumbe hai vyote, na ndie hutoa kibali roho za wote zirudi kwake.

Tukio la Lissu ni mpango wa shetani, na sio mpango wa Mungu ndio maana hakufa. Malaika mtoa roho, Malaika Israel, huipitia kila roho kwa mara 70 kila siku ili kuhakikisha saa yako ikifika haipiti hata nukta.

Kama saa yako ikifika, unakwenda kwa jinsi ile ile kifo kitakavyo kukuta, iwe ni kwa ajali, risasi, ugonjwa, usingizini etc.

P
 
Polonium210 sio sumu ya panya, ni sumu sensitive and delicate kama uranium nuclear molecules wala hapatikani kienyeji, ni sumu hatari kwa mbebaji zaidi ya kwa adui anaelengwa, ni sumu ghali kupindukia na inapatikana sehemu moja tu duniani kwa kibali cha huge group of people decision baada ya mlolongo wa vikao vizito.
True

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anayeumba ni mmoja tuu Mungu Baba Muumba wa vyote vinavyo onekana na visivyo onekana, Mungu ndiye mtoa Roho ya uhai na pumzi ya kuishi ya viumbe hai vyote, na ndie hutoa kibali roho za wote zirudi kwake.

Tukio la Lissu ni mpango wa shetani, na sio mpango wa Mungu ndio maana hakufa. Malaika mtoa roho, Malaika Israel, huipitia kila roho kwa mara 70 kila siku ili kuhakikisha saa yako ikifika haipiti hata nukta.

Kama saa yako ikifika, unakwenda kwa jinsi ile ile kifo kitakavyo kukuta, iwe ni kwa ajali, risasi, ugonjwa, usingizini etc.

P
Hii theory tu mkuu Pascal Mayalla:
Hebu lete basi hata quote ya bible, maana wewe sina shaka ni msomaji mzuri.
Kitabu cha Ezekiel (sina verse kichwani) Muumbaji anasema " sifurahii kufa kwake mwenye dhambi".
Hence...

Kifo cha Ruge ni cha kujitakia, ametenda uovu sana juu ya mwili wake, sasa ameambulia kuharibu organ ya figo na kifo.
Walevi wengi na nyama kwa pamoja huambulia kuharibu figo pia watumiaji wa drugs kwa sana iwe za hospitali au za kulevya, their fate is the same!!

Ruge alijisahau, aliwaza sana kutafuta pesa ila hakuwaza afya yake, na wengi wapo njiani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Come man. Naongelea sum zinazotumiwa na mashirika ya ujasusi.
Kuna sumu inaitwa botox.. moja ya sumu hatari sandunian.
Hii unakuua taratib pia japo kikatili. Hakuna sumu inatwa slow killer..
Kufa haraka au taratib inaetegemeana na volume. Nahapa naongelea effective poison..
Usiniambi visumu vidogo vidogo kama pombe.. sijui alcohol... comeon..

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaah mkuu Detective J: acha kuzingua botox hii hii, mbona hiyo dawa inatumika vizuri tu hospitali kama unataka kuzuia nywele za kwapa zisiote?
Basi kama botox ni sumu mbaya, basi haizizidi sumu dawa kama couflin, phenobarbiton, phenegan, nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalizo mtoa mada,usije ukaitwa kwa ajili ya kuisaidia police...
 
Basi mtachoooonga kisa kaka kafariki. RIP Bro


VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
 
Rafiki yangu Mganda walizaliwa wanne kwao. Wazazi wote walikuwa na mafanikio mazuri kwenye taaluma zao na watoto walisoma English medium. Watoto wao wote nao wamefanikiwa vizuri ki maisha.

Watoto waliamua kuwa wanapeleka nyumbani milioni moja kwa mwezi bila kujali pensheni ya wazazi. Ingawa wazazi ni wastaafu walimudu maisha vizuri ndani ya ghorofa lao.

Waliajiri house girl, dada wa 30+ na alipewa guest wing akae.

Mama aliamua kurudi kwenye kazi yake akiwa mwajiriwa wa hospitali ya kanisa part time ili kuchangamsha mwili na akili. Kumbe Baba alianza ku chum chum dada na kumpa vijihela vyake vya pension. Dada alianza kujenga nyumba kwao. Aliponogewa na penzi alitafuta sumu akamuekea mama kwenye chai. Nayo ilikuwa slow killer.
Ziko sumu za hivyo lakini symptoms ya Polonium210 ndo hizo nimetaja hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom