Polonium210 has killed him

Ngwea tena??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vizuri ungenipinga kwa Hoja kuliko kunitaka ni edit uzi na kwenda kusoma google, hiyo ni sumu ya gharama sana, na serikali dhalimu Kama ya CCM zimenunua sumu hizo Sana, na baadhi ya serikali Kama North Korea wana technology ya kutengeneza hiyo sumu.
ili itumike ni lazima mtumiaji awe well trained namna ya kujikinga, Duniani hapa kuna jipya lipi?
Pichani ni sumu ya Polonium210 ikiwa imefunguliwa kwenye container inamohifadhiwa.
Container Kama hiyo huuzwa $9,500 na ina uwezo wa kuua watu 50,mafunzo ya jinsi ya kutumia hiyo sumu ni $ 15,000 sasa mbona ni pesa kidogo tu hiyo kwa serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 001 (2).jpeg
    39.1 KB · Views: 77
Uliwahi kukaa kwenye hivyo vikao au unaleta ujuaji tu ?
 
Ushuzii tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…