Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Hii kaul yak imenishtua nlikua na kipengele ngoja niahirishe zoezUnampakia mlupo vumbi la kongo?..unautani na AIDs wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kaul yak imenishtua nlikua na kipengele ngoja niahirishe zoezUnampakia mlupo vumbi la kongo?..unautani na AIDs wewe
Sasa kesi ikienda mahakamani kosa litakuwa nini na ushahidi upi? Maana hivi siku ya siku ukikuta jamaa kakaa mezani na mademu 2 whisk, wines na mazaga zaga kama yote, mziki mnenee say saa 5 usiku is that a crime?HII HABARI IMEANDIKWA NA GAZETI LA MWANANCHI NA REDIO CLOUDS NDIO WALIITOA HUKO.
NI PARTY ILIYOKUA IKITANGAZWA MITANDAONI AMBAYO INGEFANYIKA TAREHE 23/12/2020 ENEO LA MBEZI BEACH PRIVATE HOUSE.
KATIKA PARTY HIYO WALIKUA WANAUZA TIKETI ZENYE BEI 2 TOFAUTI KUTOKANA NA MAHITAJI YA MTEJA.
TIKETI YA 150,000/= UNAPEWA MWANAMKE MMOJA WA KUSTAREHE NAE NA CHUMBA BURE.
TIKETI YA 300,000/= UNAPATA WANAWAKE WAWILI WA KUSTAREHE NAO NA CHUMBA BURE.
HIVYO POLISI WALIPOONA HILO TANGAZO NDIPO WALIPOWAHI KUWAKAMATA WAANDAAJI MAPEMA KABLA YA SIKU YA TUKIO.View attachment 1653242
Wamewakuta wakitiana??? Wao wamewakamata organizers hata kabla ya tukio.Ni kosa la jinai kuishi kwa mapato ya umalaya kanuni ya adhabu iko wazi, na mmiliki wa hiyo private house au wapangaji wakamatwe
Kuandika shida au ndiyo mbwembweNi mesikia ktk PB ya clouds fm siku ya leo katika kusoma vichwa vya habari vya magazeti
Jeshi la Polisi Jijin Dar es salaam limefanikiwa kuzima party ya ufuksa ambayo ilipangwa kufanyika mbezi beach. Katika party iyo kiingilio laki na nusu una pata partner mmoja wa ku shiriki nae ufuksa
Kwa hatua hii ilipo fikia hakika hali ni mbaya kwa baadhi ya vijana kiimani na hata ki fikra za ulimwengu
Wameshawishi,kula njama, kusambaza hizo taarifa kwenye mtandao.Wamewakuta wakitiana??? Wao wamewakamata organizers hata kabla ya tukio.
Ila na mm nimefikiria, wange waacha mpaka siku ya tukio ndio wangewakamata pamoja na wateja waoWangewaacha tu
Yupo nyamparaAmber rutty angekuwepo?
Hapo huna ulichosema, ni sawa na hujasema kitu.Kwanza Server za Badoo sidhani kama zipo Tz ila dating site ni tofauti na ufuska site japokuwa watu wanaweza zitumia kufanya ufuska kwa makubaliano baada ya kukutana faragha kupitia hiyo mitandao. Ni sawa na nyumba yako ukiwa unaingiza wanawake wanaojiuza kwa ajili ya uzinzi, UMA utaelewa ni nyumba yako kwa sababu hujitangazi ni faragha yako ila kiuhalisia hilo ni danguro. JAMHURI haitaingilia faragha yako. Ila ukitoa matangazo kuwa unahitaji wanawake wa kuzini nao kwa malipo humo kwenye nyumba yako basi JAMHURI itahusika.
Kama Unamfahamu yoyote anayetoa matangazo kwa uma kuwa anafanya ufuska na anapatikana kwenye hizo dating site we nenda peleka taarifa zake katika kituo chochote cha polisi watafanyia kazi haraka. Ila kama yupo anatafuta marafiki halafu mkikutana faragha ndo mnaamua cha kufanya hapo JAMHURI aihusiki
NB: JMT haijasajili ufuska site yoyote.
Sijaona danguro hapo, nimeona watu wanaalikwa kuja kupata wapenzi wa kufanya nao ngono, sasa kosa ni kufanya ngono au kosa ni lipi? Na hiyo pesa ni kama pesa ya gesti tu, au ulitaka mtu akupe nyumba yake ufanye ngono bure?Ni kosa kisheria kuendesha Danguro au biashara ya ngono...
Sema hatuelewani, maswali yako yote majibu yapo kwenye maelezo yangu ya awali.Hapo huna ulichosema, ni sawa na hujasema kitu.
1.) Kujitangaza unataka kufanya ngono na mtu kwa makubaliano maalum ni kosa?
2.) Kutangazia watu kuja kwenye sherehe na kupata wapenzi wa kufanya nao ngono kwa makubaliano maalum ni kosa?
3.) Kufanya ngono kwa faragha ni kosa?
4.) Kukodi/ kukodisha chumba/ nyumba/ sehemu ya faragha ili kufanya ngono ni kosa?
5.) Ufuska una tofauti gani na ngono nyingine yeyote ile inayofanyika faragha?
6.) Ufuska ni kosa kidini au kisheria?