Pombe hazikati toka jana usiku

Pombe hazikati toka jana usiku

Siku hizi pombe feki kibao kuna jamaa alikunywa nyagi akalala akaja kuamka baada ya siku mbili sio powaa walevi kuweni makini sana
 
Kuna pombe fake nyingi Sana mtaani


Jaribu kujitapisha

Pia ukipona achana na mapombe hayana faida
pombe za usiku. nimeacha kunywa saa 10 usiku jana. leo nimelewa hadi saa 2 usiku. nipo hoi na hang over sio hang over hadi muda huu.

pombe nime staff hadi mwakani
 
pombe za usiku. nimeacha kunywa saa 10 usiku jana. leo nimelewa hadi saa 2 usiku. nipo hoi na hang over sio hang over hadi muda huu.

pombe nime staff hadi mwakani
Tafuta Pepsi ya Baridi yenye barafu au na mabafu tia pepsi gonga ikiwa na baridi ipande kichwana na baridi lile pombe inakata
 
Pepsi ya Baridi inayokaribia kuganda au Fanta ukigonga moja tu pombe yote na mahongova yanakata
pespi na fanta sijatest ila sprite na tangawizi. bila bila. usiku huu nipoa sana na soda ila akili aipo sawa pombe ipo nyingi Sana kichwani. mimi sijui nini nimekunywa jana. sio kawaida
 
pespi na fanta sijatest ila sprite na tangawizi. bila bila. usiku huu nipoa sana na soda ila akili aipo sawa pombe ipo nyingi Sana kichwani. mimi sijui nini nimekunywa jana. sio kawaida
Double kick au Smart JINI?
 
Hapo Ni onyo unapewa,pombe sii mtori.
Kuna igizo niliona walevi wakipewa miwa na kuambiwa muwa unakata ulevi.
Sijui km Ni kweli,hembu jaribu kula muwa
 
Kiswahili kidogo kizungu kingi, walevi bhana.
Nikukumbushe tu Ukilewa usichati.
 
January kabichi na mahindi ya kuchoma Hangover yake itakaa mpaka mwezi wa tatu.
 
Back
Top Bottom