Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pombe za kununuliwa ndio zilivyo, ukinunua mwenyewe haulewi hata.....nimekunywa pombe Jana usiku hadi muda huu. nimelewa
can some one help??
I have tried drink alot of water. I took soup in the morning. I still feel drunk.
Tena ya mzazi,,akamchonye mama mzaziMaziwa
Usipende kunywa kupita kiasi..nimekunywa pombe Jana usiku hadi muda huu. nimelewa
can some one help??
I have tried drink alot of water. I took soup in the morning. I still feel drunk.
Sitaki pombe tena 🙏. leo nimekimbia pombe usiku huu.Mkuu njoo na hukuu, Naku PM location.
Dawa ya moto ni moto 🍻
pombe za usiku. nimeacha kunywa saa 10 usiku jana. leo nimelewa hadi saa 2 usiku. nipo hoi na hang over sio hang over hadi muda huu.Kuna pombe fake nyingi Sana mtaani
Jaribu kujitapisha
Pia ukipona achana na mapombe hayana faida
Pepsi ya Baridi inayokaribia kuganda au Fanta ukigonga moja tu pombe yote na mahongova yanakataKula muwa ukikosa tafuta juisi yake kunywa
Tafuta Pepsi ya Baridi yenye barafu au na mabafu tia pepsi gonga ikiwa na baridi ipande kichwana na baridi lile pombe inakatapombe za usiku. nimeacha kunywa saa 10 usiku jana. leo nimelewa hadi saa 2 usiku. nipo hoi na hang over sio hang over hadi muda huu.
pombe nime staff hadi mwakani
pespi na fanta sijatest ila sprite na tangawizi. bila bila. usiku huu nipoa sana na soda ila akili aipo sawa pombe ipo nyingi Sana kichwani. mimi sijui nini nimekunywa jana. sio kawaidaPepsi ya Baridi inayokaribia kuganda au Fanta ukigonga moja tu pombe yote na mahongova yanakata
Double kick au Smart JINI?pespi na fanta sijatest ila sprite na tangawizi. bila bila. usiku huu nipoa sana na soda ila akili aipo sawa pombe ipo nyingi Sana kichwani. mimi sijui nini nimekunywa jana. sio kawaida
Pepo yenu itakuwa imechangamka saaana🤣🤣🤣 kumbe hadi vyombo mnagida!!?