Tutagida pombe sheikh, peponi tutakunywa pombe kabisa. Kutakuwa na mito ya pombe inatiririka.Pepo yenu itakuwa imechangamka saaana🤣🤣🤣 kumbe hadi vyombo mnagida!!?
Vipi marinda yako salama maana walevi wa kisiasa mmekuwa wa hovyo sananimekunywa pombe Jana usiku hadi muda huu. nimelewa
can some one help??
I have tried drinking alot of water. I took soup in the morning. I still feel drunk.
huyo lazima alijinyea mana ndio zao haoSiku hizi pombe feki kibao kuna jamaa alikunywa nyagi akalala akaja kuamka baada ya siku mbili sio powaa walevi kuweni makini sana
Nitajaribu hii inanitesaga sana,niliwahi kunywa Jaga siku mbili hangover haikati.Miwa mkuu,inaisha yote,kama nakuona vile unateseka
acha kupenda pombe za bure utayaponza makalionimekunywa pombe Jana usiku hadi muda huu. nimelewa
can some one help??
I have tried drinking alot of water. I took soup in the morning. I still feel drunk.
Muwa hadi Bangi inakataa.Kula muwa ukikosa tafuta juisi yake kunywa