Pombe hunywi, sigara huvuti, club huendi; starehe yako ni ipi?

Pombe hunywi, sigara huvuti, club huendi; starehe yako ni ipi?

Ukiambiwabiwa uachane na jani uwenhnaliowa hela "nyingi ", ungetakanuliowe shilingi ngapi kwa siku? Kumbuka, ukishakubali tu unaachana na jani, na hela utapewa kama utakavyo.
Mkuu hebu edit ulichoandika ili nikupate ila mpaka sasa nimeelewa hapo pa kuacha mjani ili niwe na hela kama sjakose ila nikuambie mjani siachi hela hizi ninazotafuta ndio level yangu nikizidisha tu nachanganyikiwa napenda kwenda kwa stage mkuu
 
Back
Top Bottom