Pombe kali za bei rahisi zinaliharibu taifa letu. Vijana wanahariba afya. Nguvu kazi ya taifa inatekeketea

Pombe kali za bei rahisi zinaliharibu taifa letu. Vijana wanahariba afya. Nguvu kazi ya taifa inatekeketea

Hizi pombe ni kali zaidi hata ya gongo, zinaharibu afya ya vijana wengi nguvu kazi ya taifa. Vijana wanakauka, wanakunywa bila kula, zinaharibu kila kitu maana wanashindwa hata kuperform kitandani.
Nilienda sehemu moja Mwanga Kilimanjaro...wanawake wanasema hakuna wanaume KABISA.

Yaani ni kama kijiji kizima kina wanawake tu, vijana wamelewa chakari asubuhi na hawafanyi kazi zaidi ya kutafuna mirungi.
 
Kuna mtu aliuliza unataka ufe na afya nzuri ili iweje, unataka wadudu ndio wafaidi hiyo afya yako nzuri
 
bila kus
Hizi pombe ni kali zaidi hata ya gongo, zinaharibu afya ya vijana wengi nguvu kazi ya taifa. Vijana wanakauka, wanakunywa bila kula, zinaharibu kila kitu maana wanashindwa hata kuperform kitandani.
ahau na makolokolo yale makamali yanawatesa sana vijana mitaani kizazi kijacho ni balaa tupu..
 
Kuna mtu aliuliza unataka ufe na afya nzuri ili iweje, unataka wadudu ndio wafaidi hiyo afya yako nzuri

Life Choice ni course kabisa watu wanasoma, yaani vile utakavyofanya machaguo yako wengine hatuna neno, mwingine atasema hata akifa maskini ni safi tu, mwingine atasema hata asipotafuta pesa ni safi tu ilimradi kila mmoja anaendelea na safari yake ya maisha hakuna matata
 
Ngano ni hatari pia ikizidi kwa afya ..kwanza bia unakunywa nyingi hvyo unapelekea kuipa kazi kubwa figo kufanya kazi yake pia unajiweka hatari zaidi kupata kisukari au presha
Kwahyo bora hanson choice unapiga 1 au 2 unatulia tena mara moja kwa miezi 3
 
Back
Top Bottom