Uchaguzi 2020 Pombe Magufuli amnadi Ezekia Wenje(CHADEMA) akidhani ndiye Mgombea wa CCM

Aache bangi ya tabora atumie ya tarime kichwa kinakuwa level siku nzima bila mawenge kama fela kuti vile.
 
Acheni kubwabwaja habari za uwongo,kwanza mnauhakika kwenye daftari la wapiga kura mmo?
 
Hivi JPM alifika Rorya? Au mnatengeza propaganda za kitoto na kujiaibisha? Maana mmekuwa kama watoto.
Mgombea uraisi akiwa kwenye mkoa, anaita wagombea wote wa mkoa huo! Kwa mfano kama alimwita Wenje akiwa Musoma ni kwa kuwa Rorya ipo Mara pia!
 
Huu ni mwaka wa shetani kwa ccm ndiyo maana ndimi zenu zinafitinishwa.
 
Mgombea uraisi akiwa kwenye mkoa, anaita wagombea wote wa mkoa huo! Kwa mfano kama alimwita Wenje akiwa Musoma ni kwa kuwa Rorya ipo Mara pia!
Mbona jana hatukusikia hili? Na hapo mmeandika akiwa Rorya!
 
Lissu chochea mpaka chipatire moto.....
 
Tulia dawa ikuingie anko Magu keshapigwa ndumba sina haja ya clip bali naifuatilia anachokifanya ktk kampeni zake yaani yupo kama kanywesha nusu kaputi vile πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Vipi amekuwekea hiyo clip? Unadanganywa kirahisi hivyo!
 
Tulia dawa ikuingie anko Magu keshapigwa ndumba sina haja ya clip bali naifuatilia anachokifanya ktk kampeni zake yaani yupo kama kanywesha nusu kaputi vile πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Your browser is not able to display this video.
 
Ha ha ha haaaa.. Mzee Meko alifikiri kuwa Wenje naye kaunga mkono juhudi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…