Ukiona umevuta bangi ukapiga deki ukuta ujue ya kwamba mizimu ya kwenu imekataa usivute. Watu wanavuta na bado wanaendelea na kazi zao kama kawaida.Eti wavute bangi. Eti ujaona bangi inavyolaza watuππππ..
Vuta bangi uone cha moto,
Pombe napiga chupa zangu mbili naingia dukani kupiga kazi mpaka jioni.
Kula bangi kihalali uone cha moto. Kama hujapiga deki ukutaπππ
Na wavutaji Bangi wengi Wapo smart shuleni na hata makaziniUkiona umevuta bangi ukapiga deki ukuta ujue ya kwamba mizimu ya kwenu imekataa usivute. Watu wanavuta na bado wanaendelea na kazi zao kama kawaida.
Sijui anaongea nini huyu jamaa πNa wavutaji Bangi wengi Wapo smart shuleni na hata makazini
Pitia hapaWenyewe husema Ukiinywa kwa taadhari kubwa haina Shida. Tatizo Ni kwamba huwezi kunywa kiasi kidogo kila siku, lazima uongeze gradually kadiri siku zinavyoenda hadi ikuharibu magoti.
Kuna fundi ujenzi nilimwomba anifanyie kazi fulani, eti akaogopa kusimama juu ya pipa kisa maungo ya mifupa hayana nguvu, chanzo ni pombe.
Kwa upande wangu naona Bora hata bangi iruhusiwe halafu pombe ipigwe marufuku kwani sijawahi kumuona mvutabangi anakosa nguvu ya Kufanya kazi au anasababisha ajali barabarani tofauti na walevi wa pombe wafanyavyo.
Hata Matatizo ya nguvu za kiume huwakumba watu Wengi wanaotumia vinywaji vikali.
Ushawahi kuvuta bangi. Au huwa unapuliza tu moshi wa kipisi.Ukiona umevuta bangi ukapiga deki ukuta ujue ya kwamba mizimu ya kwenu imekataa usivute. Watu wanavuta na bado wanaendelea na kazi zao kama kawaida.
Nikisema nimewahi au sijawahi utaamini? Nitaongeleaje kitu abacho sikijui? Wanaovuta kipisi ndo hao wanadeki ukutaUshawahi kuvuta bangi. Au huwa unapuliza tu moshi wa kipisi.
Ushawahi kuvuta?
Naweza sema hujawahi, ila uliwahi kupuliza tu moshi. Huwezi fananisha unywaji pombe na uvutaji bangi. Hivi vitu vina sense tofauti kabisa. Tumeisha na walaibu, na tushawahi kuwa walaibu wa vitu hivo. Maoni yangu unaweza yachukua au kuyaacha.Nikisema nimewahi au sijawahi utaamini? Nitaongeleaje kitu abacho sikijui?
Vichwa vinatofautiana. Kama ilikukataa ikakufanya upige deki ukuta pole haikufai pombe ndo size yakoNaweza sema hujawahi, ila uliwahi kupuliza tu moshi. Huwezi fananisha unywaji pombe na uvutaji bangi. Hivi vitu vina sense tofauti kabisa. Tumeisha na walaibu, na tushawahi kuwa walaibu wa vitu hivo. Maoni yangu unaweza yachukua au kuyaacha.
Ila bangi kwa upande wangu hapana. Watu wanywe pombe tu.
Dem habari za asubuhi ndg, natumaini hujambo na uko salama, naomba uingie dm kama hutajaliSijui anaongea nini huyu jamaa [emoji3]
Inategemea na mtu mwenyewe, sasa mtu chakula kizuri hali, mazoez hana anakunywa matap tap unategemea atapata nguvu kweli, labda nguvu za kuamka na kufungua macho.Wenyewe husema Ukiinywa kwa taadhari kubwa haina Shida. Tatizo Ni kwamba huwezi kunywa kiasi kidogo kila siku, lazima uongeze gradually kadiri siku zinavyoenda hadi ikuharibu magoti.
Kuna fundi ujenzi nilimwomba anifanyie kazi fulani, eti akaogopa kusimama juu ya pipa kisa maungo ya mifupa hayana nguvu, chanzo ni pombe.
Kwa upande wangu naona Bora hata bangi iruhusiwe halafu pombe ipigwe marufuku kwani sijawahi kumuona mvutabangi anakosa nguvu ya Kufanya kazi au anasababisha ajali barabarani tofauti na walevi wa pombe wafanyavyo.
Hata Matatizo ya nguvu za kiume huwakumba watu Wengi wanaotumia vinywaji vikali.
Kunywa kiwango ndio mpango mzima.Eti wavute bangi. Eti ujaona bangi inavyolaza watuππππ..
Vuta bangi uone cha moto,
Pombe napiga chupa zangu mbili naingia dukani kupiga kazi mpaka jioni.
Kula bangi kihalali uone cha moto. Kama hujapiga deki ukutaπππ
Avatari yako inasadifu hali halisiππ¬π¬Eti wavute bangi. Eti ujaona bangi inavyolaza watuππππ..
Vuta bangi uone cha moto,
Pombe napiga chupa zangu mbili naingia dukani kupiga kazi mpaka jioni.
Kula bangi kihalali uone cha moto. Kama hujapiga deki ukutaπππ
Haya boss wanguVichwa vinatofautiana. Kama ilikukataa ikakufanya upige deki ukuta pole haikufai pombe ndo size yako
Wamenifungia sipati PMDem habari za asubuhi ndg, natumaini hujambo na uko salama, naomba uingie dm kama hutajali