Pombe ni starehe isiyofaa

Pombe ni starehe isiyofaa

Eti wavute bangi. Eti ujaona bangi inavyolaza watu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..
Vuta bangi uone cha moto,
Pombe napiga chupa zangu mbili naingia dukani kupiga kazi mpaka jioni.
Kula bangi kihalali uone cha moto. Kama hujapiga deki ukuta๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ukiona umevuta bangi ukapiga deki ukuta ujue ya kwamba mizimu ya kwenu imekataa usivute. Watu wanavuta na bado wanaendelea na kazi zao kama kawaida.
 
Wenyewe husema Ukiinywa kwa taadhari kubwa haina Shida. Tatizo Ni kwamba huwezi kunywa kiasi kidogo kila siku, lazima uongeze gradually kadiri siku zinavyoenda hadi ikuharibu magoti.

Kuna fundi ujenzi nilimwomba anifanyie kazi fulani, eti akaogopa kusimama juu ya pipa kisa maungo ya mifupa hayana nguvu, chanzo ni pombe.

Kwa upande wangu naona Bora hata bangi iruhusiwe halafu pombe ipigwe marufuku kwani sijawahi kumuona mvutabangi anakosa nguvu ya Kufanya kazi au anasababisha ajali barabarani tofauti na walevi wa pombe wafanyavyo.

Hata Matatizo ya nguvu za kiume huwakumba watu Wengi wanaotumia vinywaji vikali.
Pitia hapa
IMG-20230119-WA0025.jpg
 
Mtu huyu huyu tukisema gesti na lodge zipigwe marufuku atang'aka kama paka. Huu ni ubinafsi, pombe ishapigwa marufuku uarabuni lakini matajiri wanazo kwenye mafiriji yao hapohapo Riyadh na Muscat
 
Kumbukeni mbinguni tunapewa miili mipya...sasa ww mapafu yako na maini yako yaliyo safi cjui unaenda mringishia nani mbinguni...:hunywi pombe...huvuti sigara...huvuti bangi...hupendi wanawake...sasa starehe yako nn...ww utakuwa yule wa pita huku...
 
Ukiona umevuta bangi ukapiga deki ukuta ujue ya kwamba mizimu ya kwenu imekataa usivute. Watu wanavuta na bado wanaendelea na kazi zao kama kawaida.
Ushawahi kuvuta bangi. Au huwa unapuliza tu moshi wa kipisi.
Ushawahi kuvuta?
 
Ushawahi kuvuta bangi. Au huwa unapuliza tu moshi wa kipisi.
Ushawahi kuvuta?
Nikisema nimewahi au sijawahi utaamini? Nitaongeleaje kitu abacho sikijui? Wanaovuta kipisi ndo hao wanadeki ukuta
 
Nikisema nimewahi au sijawahi utaamini? Nitaongeleaje kitu abacho sikijui?
Naweza sema hujawahi, ila uliwahi kupuliza tu moshi. Huwezi fananisha unywaji pombe na uvutaji bangi. Hivi vitu vina sense tofauti kabisa. Tumeisha na walaibu, na tushawahi kuwa walaibu wa vitu hivo. Maoni yangu unaweza yachukua au kuyaacha.
Ila bangi kwa upande wangu hapana. Watu wanywe pombe tu.
 
Naweza sema hujawahi, ila uliwahi kupuliza tu moshi. Huwezi fananisha unywaji pombe na uvutaji bangi. Hivi vitu vina sense tofauti kabisa. Tumeisha na walaibu, na tushawahi kuwa walaibu wa vitu hivo. Maoni yangu unaweza yachukua au kuyaacha.
Ila bangi kwa upande wangu hapana. Watu wanywe pombe tu.
Vichwa vinatofautiana. Kama ilikukataa ikakufanya upige deki ukuta pole haikufai pombe ndo size yako
 
Wenyewe husema Ukiinywa kwa taadhari kubwa haina Shida. Tatizo Ni kwamba huwezi kunywa kiasi kidogo kila siku, lazima uongeze gradually kadiri siku zinavyoenda hadi ikuharibu magoti.

Kuna fundi ujenzi nilimwomba anifanyie kazi fulani, eti akaogopa kusimama juu ya pipa kisa maungo ya mifupa hayana nguvu, chanzo ni pombe.

Kwa upande wangu naona Bora hata bangi iruhusiwe halafu pombe ipigwe marufuku kwani sijawahi kumuona mvutabangi anakosa nguvu ya Kufanya kazi au anasababisha ajali barabarani tofauti na walevi wa pombe wafanyavyo.

Hata Matatizo ya nguvu za kiume huwakumba watu Wengi wanaotumia vinywaji vikali.
Inategemea na mtu mwenyewe, sasa mtu chakula kizuri hali, mazoez hana anakunywa matap tap unategemea atapata nguvu kweli, labda nguvu za kuamka na kufungua macho.
 
Eti wavute bangi. Eti ujaona bangi inavyolaza watu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..
Vuta bangi uone cha moto,
Pombe napiga chupa zangu mbili naingia dukani kupiga kazi mpaka jioni.
Kula bangi kihalali uone cha moto. Kama hujapiga deki ukuta๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kunywa kiwango ndio mpango mzima.
 
Eti wavute bangi. Eti ujaona bangi inavyolaza watu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..
Vuta bangi uone cha moto,
Pombe napiga chupa zangu mbili naingia dukani kupiga kazi mpaka jioni.
Kula bangi kihalali uone cha moto. Kama hujapiga deki ukuta๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Avatari yako inasadifu hali halisi๐Ÿ™Œ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ
 
Back
Top Bottom