🤔🤔🤔🤔🤔Watu woote tungekuwa walevi hii nchi ingekuwa na amani sana 7bu wachawi na waganga wa kienyeji siyo walevi! Wabakaji na walawiti waliowengi si walevi, watu wenye fikra pevu wasomi na wataalamu wakubwa ni walevi tena ukimkuta daktari bingwa anapiga vyombo yaani zile Cocktail za kufa mtu ndo anakuja kukupasua figo ili kuziweka sawa Glomerulla filtrates na loop of Henry! Pombe ihimidiwe ameen
sijawahi kumuona mvuta bangi mwenye nguvu, sana sana wana nguvu za kupayuka na kuzururalaWenyewe husema Ukiinywa kwa taadhari kubwa haina Shida. Tatizo Ni kwamba huwezi kunywa kiasi kidogo kila siku, lazima uongeze gradually kadiri siku zinavyoenda hadi ikuharibu magoti.
Kuna fundi ujenzi nilimwomba anifanyie kazi fulani, eti akaogopa kusimama juu ya pipa kisa maungo ya mifupa hayana nguvu, chanzo ni pombe.
Kwa upande wangu naona Bora hata bangi iruhusiwe halafu pombe ipigwe marufuku kwani sijawahi kumuona mvutabangi anakosa nguvu ya Kufanya kazi au anasababisha ajali barabarani tofauti na walevi wa pombe wafanyavyo.
Hata Matatizo ya nguvu za kiume huwakumba watu Wengi wanaotumia vinywaji vikali.
Pombe ukila vizuri haiwezi kukuumiza hata siku moja huyo hali vizuri na maji hanywi ya kutoshaAlikiri mwenyewe kuwa pombe Kali ndiyo ilimmaliza
Madhara yapo tu ata yasipokua ya pombe😂Lete mzaha kwenye mambo mengine lakini usilete mzaha kwenye pombe, sarveja, vino De mesa.
Save water drink beer.
Sio utani mkuu,hii ni kweli,sema siwezi kuipandisha hiyo video hapa nashindwa.yule muhubiri ametuhakikishia kabsa kuwa POMBE PEPONI IPO.Una utani wewe [emoji28]
Kwa hyo huko akhera Pombe ipo sio uongo?sasa si bora nianze kuinywa hapa Duniani ili nikifika huko Akhera niwe konki?Ndio Mungu katukataza hapa duniani bcz pombe ya duniani ina madhara ww mwenyeo ni shahidi ajali ngapi zinatokea kisa pombe?watu wanapoteza familia zao kisa pombe na watoto kubaki yatima!
Pombe ya Akhera haina uchungu na ni nzuri kwa watakaokunywa
( مَّثَلُ الْجَنَّةِ الَّتِي وُعِدَ الْمُتَّقُونَ ۖ فِيهَا أَنْهَارٌ مِّن مَّاءٍ غَيْرِ آسِنٍ وَأَنْهَارٌ مِّن لَّبَنٍ لَّمْ يَتَغَيَّرْ طَعْمُهُ وَأَنْهَارٌ مِّنْ خَمْرٍ لَّذَّةٍ لِّلشَّارِبِينَ وَأَنْهَارٌ مِّنْ عَسَلٍ مُّصَفًّى ۖ وَلَهُمْ فِيهَا مِن كُلِّ الثَّمَرَاتِ وَمَغْفِرَةٌ مِّن رَّبِّهِمْ ۖ كَمَنْ هُوَ خَالِدٌ فِي النَّارِ وَسُقُوا مَاءً حَمِيمًا فَقَطَّعَ أَمْعَاءَهُمْ )
محمد (15) Muhammad
Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya mvinyo yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?
Kama Daudi Nabii alicheza uchi sababu ya pombe, vipi wewe Binadamu tu wa kawaida?Watu woote tungekuwa walevi hii nchi ingekuwa na amani sana 7bu wachawi na waganga wa kienyeji siyo walevi! Wabakaji na walawiti waliowengi si walevi, watu wenye fikra pevu wasomi na wataalamu wakubwa ni walevi tena ukimkuta daktari bingwa anapiga vyombo yaani zile Cocktail za kufa mtu ndo anakuja kukupasua figo ili kuziweka sawa Glomerulla filtrates na loop of Henry! Pombe ihimidiwe ameen
naona umeamua kujipigia debe kwenye bange zako unazovuta zihalalishwe!wa upande wangu naona Bora hata bangi iruhusiwe halafu pombe ipigwe marufuku kwani sijawahi kumuona mvutabangi anakosa nguvu ya Kufanya kazi au anasababisha ajali barabarani tofauti na walevi wa pombe wafanyavyo.
Ukishakatazwa jambo just kua mtiifu mengine utajionea mbeleni hukoKwa hyo huko akhera Pombe ipo sio uongo?sasa si bora nianze kuinywa hapa Duniani ili nikifika huko Akhera niwe konki?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
We endelea na juice. Pombe waachie wanaume tuWenyewe husema Ukiinywa kwa taadhari kubwa haina Shida. Tatizo Ni kwamba huwezi kunywa kiasi kidogo kila siku, lazima uongeze gradually kadiri siku zinavyoenda hadi ikuharibu magoti.
Kuna fundi ujenzi nilimwomba anifanyie kazi fulani, eti akaogopa kusimama juu ya pipa kisa maungo ya mifupa hayana nguvu, chanzo ni pombe.
Kwa upande wangu naona Bora hata bangi iruhusiwe halafu pombe ipigwe marufuku kwani sijawahi kumuona mvutabangi anakosa nguvu ya Kufanya kazi au anasababisha ajali barabarani tofauti na walevi wa pombe wafanyavyo.
Hata Matatizo ya nguvu za kiume huwakumba watu Wengi wanaotumia vinywaji vikali.
🚮We endelea na juice. Pombe waachie wanaume tu
Afu kulee nasikia ni buree...aloo watanizika tenaa....aloo pombe tamuKwa hyo huko akhera Pombe ipo sio uongo?sasa si bora nianze kuinywa hapa Duniani ili nikifika huko Akhera niwe konki?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nimelewa nadrive nakugonga unakufa...masikin mtiifu pombe hujanywa na umekufa...madhara popote tuKama Daudi Nabii alicheza uchi sababu ya pombe, vipi wewe Binadamu tu wa kawaida?
Ke na Me wengi sana wamejikuta wakifanyiwa ujinga wa uasherati na usodoma wakiambukizwa magonjwa ya zinaa na hata UKIMWI sababu ya kutojitambua wakiwa wameshalewa, baada ya akili kurudi tu wanatambua walishaharibiwa sehemu zao za siri.
Kunywa pombe kwa starehe yako lakini usijaribu kuitetea kuwa haina matatizo kabisa hapo tutakesha hapa tukibishana.
MLEVi Mmoja yeye anasemaje kuhusu hili la pombe?
Ganja ni dawa nae anasemaje kuhusu Ganja kuruhusiwa?
Yani nasikia huko ni kujichotea tu Pombe,alafu eti wanasema tumekatazwa hapa Duniani,huo ni uongo.tena ungeona ile video na yule shekhe anafurahia kuhusu pombe.Afu kulee nasikia ni buree...aloo watanizika tenaa....aloo pombe tamu
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hujasikia kuwa kuna kitabu kimoja cha dini,kimesema huko peponi tutaikuta pombe na tutagida,yani full kujichotea kwenye mito ya pombe.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app