Pombe ni starehe isiyofaa

Pombe ni starehe isiyofaa

Watu woote tungekuwa walevi hii nchi ingekuwa na amani sana 7bu wachawi na waganga wa kienyeji siyo walevi! Wabakaji na walawiti waliowengi si walevi, watu wenye fikra pevu wasomi na wataalamu wakubwa ni walevi tena ukimkuta daktari bingwa anapiga vyombo yaani zile Cocktail za kufa mtu ndo anakuja kukupasua figo ili kuziweka sawa Glomerulla filtrates na loop of Henry! Pombe ihimidiwe ameen
 
Watu woote tungekuwa walevi hii nchi ingekuwa na amani sana 7bu wachawi na waganga wa kienyeji siyo walevi! Wabakaji na walawiti waliowengi si walevi, watu wenye fikra pevu wasomi na wataalamu wakubwa ni walevi tena ukimkuta daktari bingwa anapiga vyombo yaani zile Cocktail za kufa mtu ndo anakuja kukupasua figo ili kuziweka sawa Glomerulla filtrates na loop of Henry! Pombe ihimidiwe ameen
🤔🤔🤔🤔🤔
 
Wanakuuliza juu ya ulevi na kamari.

Sema: Katika hivyo mna madhara makubwa na (baadhi ya) manufaa kwa (baadhi ya) watu. Lakini madhara yake ni makubwa zaidi kuliko manufaa yake.” (Al-Baqarah: 219)

Vile vile twaambiwa katika Ayah nyingine:

“Kwa hakika Shaitani anataka kukutilieni uadui na bughudha baina yenu kwa ajili ya ulevi na kamari na antaka kukuzuilieni dhikri za Allah na kusali. Basi je mtaacha hayo? (Al - Maida: 93)
 
Wenyewe husema Ukiinywa kwa taadhari kubwa haina Shida. Tatizo Ni kwamba huwezi kunywa kiasi kidogo kila siku, lazima uongeze gradually kadiri siku zinavyoenda hadi ikuharibu magoti.

Kuna fundi ujenzi nilimwomba anifanyie kazi fulani, eti akaogopa kusimama juu ya pipa kisa maungo ya mifupa hayana nguvu, chanzo ni pombe.

Kwa upande wangu naona Bora hata bangi iruhusiwe halafu pombe ipigwe marufuku kwani sijawahi kumuona mvutabangi anakosa nguvu ya Kufanya kazi au anasababisha ajali barabarani tofauti na walevi wa pombe wafanyavyo.

Hata Matatizo ya nguvu za kiume huwakumba watu Wengi wanaotumia vinywaji vikali.
sijawahi kumuona mvuta bangi mwenye nguvu, sana sana wana nguvu za kupayuka na kuzururala
 
Ndio Mungu katukataza hapa duniani bcz pombe ya duniani ina madhara ww mwenyeo ni shahidi ajali ngapi zinatokea kisa pombe?watu wanapoteza familia zao kisa pombe na watoto kubaki yatima!

Pombe ya Akhera haina uchungu na ni nzuri kwa watakaokunywa


( مَّثَلُ الْجَنَّةِ الَّتِي وُعِدَ الْمُتَّقُونَ ۖ فِيهَا أَنْهَارٌ مِّن مَّاءٍ غَيْرِ آسِنٍ وَأَنْهَارٌ مِّن لَّبَنٍ لَّمْ يَتَغَيَّرْ طَعْمُهُ وَأَنْهَارٌ مِّنْ خَمْرٍ لَّذَّةٍ لِّلشَّارِبِينَ وَأَنْهَارٌ مِّنْ عَسَلٍ مُّصَفًّى ۖ وَلَهُمْ فِيهَا مِن كُلِّ الثَّمَرَاتِ وَمَغْفِرَةٌ مِّن رَّبِّهِمْ ۖ كَمَنْ هُوَ خَالِدٌ فِي النَّارِ وَسُقُوا مَاءً حَمِيمًا فَقَطَّعَ أَمْعَاءَهُمْ )

محمد (15) Muhammad

Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya mvinyo yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?
Kwa hyo huko akhera Pombe ipo sio uongo?sasa si bora nianze kuinywa hapa Duniani ili nikifika huko Akhera niwe konki?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Watu woote tungekuwa walevi hii nchi ingekuwa na amani sana 7bu wachawi na waganga wa kienyeji siyo walevi! Wabakaji na walawiti waliowengi si walevi, watu wenye fikra pevu wasomi na wataalamu wakubwa ni walevi tena ukimkuta daktari bingwa anapiga vyombo yaani zile Cocktail za kufa mtu ndo anakuja kukupasua figo ili kuziweka sawa Glomerulla filtrates na loop of Henry! Pombe ihimidiwe ameen
Kama Daudi Nabii alicheza uchi sababu ya pombe, vipi wewe Binadamu tu wa kawaida?

Ke na Me wengi sana wamejikuta wakifanyiwa ujinga wa uasherati na usodoma wakiambukizwa magonjwa ya zinaa na hata UKIMWI sababu ya kutojitambua wakiwa wameshalewa, baada ya akili kurudi tu wanatambua walishaharibiwa sehemu zao za siri.

Kunywa pombe kwa starehe yako lakini usijaribu kuitetea kuwa haina matatizo kabisa hapo tutakesha hapa tukibishana.
 
wa upande wangu naona Bora hata bangi iruhusiwe halafu pombe ipigwe marufuku kwani sijawahi kumuona mvutabangi anakosa nguvu ya Kufanya kazi au anasababisha ajali barabarani tofauti na walevi wa pombe wafanyavyo.
naona umeamua kujipigia debe kwenye bange zako unazovuta zihalalishwe!
Hukuwa na haja ya kupinga pombe ungeenda kwenye mada ya kuomba bange nazo ziruhusiwe ili uwe huru!
 
Wenyewe husema Ukiinywa kwa taadhari kubwa haina Shida. Tatizo Ni kwamba huwezi kunywa kiasi kidogo kila siku, lazima uongeze gradually kadiri siku zinavyoenda hadi ikuharibu magoti.

Kuna fundi ujenzi nilimwomba anifanyie kazi fulani, eti akaogopa kusimama juu ya pipa kisa maungo ya mifupa hayana nguvu, chanzo ni pombe.

Kwa upande wangu naona Bora hata bangi iruhusiwe halafu pombe ipigwe marufuku kwani sijawahi kumuona mvutabangi anakosa nguvu ya Kufanya kazi au anasababisha ajali barabarani tofauti na walevi wa pombe wafanyavyo.

Hata Matatizo ya nguvu za kiume huwakumba watu Wengi wanaotumia vinywaji vikali.
We endelea na juice. Pombe waachie wanaume tu
 
Kama Daudi Nabii alicheza uchi sababu ya pombe, vipi wewe Binadamu tu wa kawaida?

Ke na Me wengi sana wamejikuta wakifanyiwa ujinga wa uasherati na usodoma wakiambukizwa magonjwa ya zinaa na hata UKIMWI sababu ya kutojitambua wakiwa wameshalewa, baada ya akili kurudi tu wanatambua walishaharibiwa sehemu zao za siri.

Kunywa pombe kwa starehe yako lakini usijaribu kuitetea kuwa haina matatizo kabisa hapo tutakesha hapa tukibishana.
Nimelewa nadrive nakugonga unakufa...masikin mtiifu pombe hujanywa na umekufa...madhara popote tu
 
Back
Top Bottom