Pombe sio chai. Nililala mwenyewe nimeamka na Mama mwenye nyumba, tunashangaana!

Tunapata sana fedheha kwenye pombe, tukiamka asubuhi tunaapa kuacha ila ikifika jioni tumo tena tunapiga vitu. Dah hii kitu ni utumwa sana.
Ila mkuu najiuliza kwa mfano huyo mama angekuwa na mme wake au mchepuko ndio ukukute upo kitandani si ungekufa kifo siyo chako? Kama hutaacha Pombe mkuu utakuwa umerogwa!😁😁😁
 
Bora mamaa
Ungeamka na babamweny.....??hatareee
 
Pombe inategemea una kunywa je mimi toka nianze kunywa pombe haijawahi kunidhalilisha ni vile naiishi kwa nidhamu tu siwezi kukaa bar mpaka asubuhi labda itokee mara moja sana ndio ntakaa mpaka asubuhi,

Sasa mtu unakunywa beer 10 au 8 zote hizo za nini, Kunywa Beer kiafya Beer tatu umezidisha sana beer nne kinachoendelea kunywa maji mengi, na beer ina sehemu zake za kunywa sio kila mahala wewe unaenda kunywa tu,

Tafuta bar au lounge zisizo na makelele mengi za maaana ndo unaenda kunywa beer binafsi pombe siwezi kuacha kwa sasa pombe imenipa michongo mingi sana ya maana, imenikutanisha na watu wengi wa maana labda itokee huko mbeleni kwa kuamua tu
 
Sasa mtu unakunywa beer 10 au 8 zote hizo za nini, Kunywa Beer kiafya Beer tatu umezidisha sana beer nne kinachoendelea kunywa maji mengi, na beer ina sehemu zake za kunywa sio kila mahala wewe unaenda kunywa tu
Duh bia 8? 10?
Zinafika tumboni hizo au zinaishia kwenye koo?
Bia tunaongelea 20 mpaka 35 au 40 ndo standard.

Hata hivyo kwa sasa tungi naelekea kuacha kabisa.
Kutoka kunywa kila siku mpaka kunywa ijumaa tu ya kila wiki na wakati mwingine mara moja kwa wiki mbili.
Kuliko kunywa bia3 bora ninywe pepsi
 
Kazi ya valuuuuu! Inasafisha memori. Kuna siku nimetwika valuu, konyagi na Serengeti. Sikumbuki nilifikaje geto na mguu unavuja dam huku mlango sikuufunga hata Kwa pazua.

Pole mkuu Kwa fedheha hiyo.
Hatimaye nimetimiza zaidi ya wiki mbili sasa sijanywa pombe.

Huu ni mwanzo mzuri kwa mwaka 2024.
Nimepitia fedheha na aibu nyingi sana katika ulevi.

Ngoja nipumzike kwa muda, maana najua kuna siku huko mbeleni nitarudi kunywa, ila unywaji wa miaka hiyo utakuwa wa kistaarab maana umri umenikimbia sasa naangaliwa na jamii
 
Hongera sana mkuu jitahidi hivo hivo utaacha tu
 
Namshukur Mungu nakunywa pombe ila hazijawahi kuni control... Huwa nakunywa weekend tu, na nikianza kujisikia kulewa siongezi hata kidogo...
Pombe tamu sana ukiweza kuji control, mimi nikiwaambia watu nakunywa pombe hawaamini... Sinywi pombe za offer au promotion, sinywi pombe kwa kufuata marafiki...
Siachi pombe
 
Najitahidi sana kunywa bia ila naishia mbili, nikizidisha hapo lazima nitapike nahisi wife ananihujumu kwenye hii tasnia. Naomba ushauri wenu walevi wenzangu nifanyeje nisitapike hata nikinywa kreti lote?
 
Sio kweli.
Ni lazima ufikie point ya kuacha bila shuruti.
 
Nakumbuka siku moja niko Redstone moshi akaja malaya mmoja ilikua mida ya sa kumi alfajiri vibe ni kama lilikua linaanza upya... nakumbuka tuliagiza tena pombe na kwa tamaa nikampanga ...nilijisikia kwenda haja ndogo ile nimeenda washroom nimenawa na uso ni kama ilikujaga akili kua we fala unafanya nini mpaka saivi.....[emoji23][emoji23] Aiseee nilipotoka mlango wa washroom niliunganiaha kwenye gari wala sikurudi kwa yule malaya..... nimefika home nikalala nimekuja kuamka majira ya sa 11 jioni hivi akili inaniambia kua wee boya ungeloteza hela kizembe ..nikajicheka sana kimoyomoyo...Mida ya jioni nikaenda zangu Hugo's Garden kutoa lock.
 
Pombe si chai,
Siku jimama moja limeniita kwake ndani nyumba hiyohiyo upande tofauti.likasema tupige vyombo grants kula vyombo likasaula.
Mzee nikalamba wezere chap.
Bado tunapumua na kuongeza monde kaja rafiki yake jimama flani naye akamiminiwa kwenye glass.
Ebo kilichotokea baadae ni sodoma na gomora
 
Watu wanasema wanaupa moyo pole, sasa kama huna shida kama mtoa mada, unaumwagilia moyo kwa nn wakati huna ukame??? hahahaha, kwakwel, mamelod bingwa, bao la Aziz ki halikua halali, lilidunda kwenye mstari na kutoka nje.
 
Kivipii mkuu. Uliyala yote mawili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…