Pombe ya viroba sasa inaitwa "visungura", Serikali ichukue hatua haraka vijana wanapotea kwa kasi

Pombe ya viroba sasa inaitwa "visungura", Serikali ichukue hatua haraka vijana wanapotea kwa kasi

Ni viroba katika chupa za plastiki zenye kilevi cha 40 kikiwa kidogo unaweka hadi mfukoni hata mtoto anaweka, wanasema havina harufu kali so unaweza ukawa na mtu karibu anaongea upuuzi usijue kama kalewa.

Boda boda, machinga, wapiga debe na walevi wa kiwango cha umaskini ndio chao kwa bei ndogo vijana wanapotea maana kinaunguza maini na mfumo mzima wa afya ya akili na uzazi.

Serikali ipige marufuku hivi vidude vitaua vijana.

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
huku mtaani watu wana maisha magumu sana hakuna anaewakumbuka kilichobaki ni kujipoza machungu na visungura.
 
Dah! ila pombe sijui ina nini yaani, unakunywa kwa rahaa weee!, unaanza kujutia asubuhi yaani!
 
Back
Top Bottom