DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Ushamba na ulimbukeni TU unawasumbuaAlcohol 40 ya Sungura na Alcohol 40 ya Grants, tofauti yake ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushamba na ulimbukeni TU unawasumbuaAlcohol 40 ya Sungura na Alcohol 40 ya Grants, tofauti yake ni nini?
Ulikunywa hujala[emoji38]Mwanangu juz kat nilikua na ukata afu na hamu ya kulewa asee nikachukua Sungura asee kila funda lazma nisikie moto tumboni asee sirudiii
Hawa vijana waliosoma awamu ya mulugo TABU SANA[emoji1]Kimahesabu sijakuelewa! kwamba 40% alc kwenye lita moja ya maji ni ndogo kuliko 40%alc kwenye robo lita ya maji? Itabidi nirudi shule kwanza kusoma hesabu za percentage.
Hata ingekua Lita 3000,Tofauti ni Mil's
unakuta kale ka smart Gin mil 200 Alc 40%
Grants unakuta ni Mil 750 Alc 40%
Roho mbaya TU[emoji1]Mlianza kwenye Viroba mkafanya figisu zenu pombe yetu pendwa mkazipiga marufuku
Leo tena mnaanza na huku tena tumewakosea Nini[emoji3061]
Ile 40%abv haihusiani na ujazo mkuu, kwani hakuna grants ya 200mls ambayo Ina 37%abv kama grants ya 750mls tuTofauti ni Mil's
unakuta kale ka smart Gin mil 200 Alc 40%
Grants unakuta ni Mil 750 Alc 40%
Exactly!!Hata ingekua Lita 3000,
Kama Percentage ya alcohol Ni ile ile,
wote smart gin na GRANTS Ni wale wale.
arusha maeneo yote ya stendi ndogo na kubwa hivyo vipombe vimezagaaNa vinanywekwa ile mbaya niko Mto wa Mbu hapa Arusha aisee ni balaa
Huyu ndo anajiua kabisa😂Mimi nilivokua nakunywa smart kwanza nilikua nakula msos balaa kwasbaab ilikua inaniletea njaa mpk kilo zikaongezeka ila toka nimeacha rate ya kula imekua normal nahis hata kilo zangu zitakua zimeshuka all in all hizi vitu sio nzuri ukizidisha,,kunywa kwa kiasi mazoez meng maji mengi mlo kamili easyKuna kijana wangu wa mtaa akiamka tu anafakamia kisungura ,akilala kiko pembeni .Chakula chake ni maandazi na energy.Nilashashauri sana tumebaki kumuangalia tu.
Hiyo cha mtoto Kuna K Vant za kupima jero jero kila kona mbaya zaidi vile viglasi vya kupimia na kunywea havioshwi ni bandika bandua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila wadau acheni kuharibu biashara za watu asee kama huyu Smart Gin asee katisha kamtoa double kick sokon kias kwamba wauzaj wengi hawaek double kick coz haziuliziwi na wazee wa ngumu kumeza.Ulikunywa hujala[emoji38]
Kimahesabu itakubidi unywe ndio nzima ndio uipate hiyo 40% alcohol ila mwenzako chini ya robo lita tayari alishalewa tena kwa haraka sana kuwa kubwa ndani ya roho Lita anaipa 40%alcohKimahesabu sijakuelewa! kwamba 40% alc kwenye lita moja ya maji ni ndogo kuliko 40%alc kwenye robo lita ya maji? Itabidi nirudi shule kwanza kusoma hesabu za percentage.
hako ka-jini katawamalizaNaipenda Sana smart Gin[emoji4]
Maana yake unakunywa maji mengi ya ziada yasiyo na maana Ili kuipata Ile 40alc, hivyo basi hesabu inabaki pale pale kuwa wote wapo sawa.Kimahesabu itakubidi unywe ndio nzima ndio uipate hiyo 40% alcohol ila mwenzako chini ya robo lita tayari alishalewa tena kwa haraka sana kuwa kubwa ndani ya roho Lita anaipa 40%alcoh
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hesabu za abv percentage hazipo hivyo hata kidogoKimahesabu itakubidi unywe ndio nzima ndio uipate hiyo 40% alcohol ila mwenzako chini ya robo lita tayari alishalewa tena kwa haraka sana kuwa kubwa ndani ya roho Lita anaipa 40%alcoh
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁😁Kuna kitu inaitwa kuka sijui ..asee harufu kama mabwawa ya mavi Lemara .
Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
Sasa unashindwa kuelewa kitu gani ndugu? Huoni kwamba huyo anayekunywa 40% kwenye chupa ndogo ya mils 200 ana kiwango kidogo sana cha maji cha kuipoza tofauti na yule anayekunywa 40% kwenye chupa ya mils 750? Shule ulienda kusomea ujinga?Jamani hizi percent za alcohol ni kiwango Cha alcohol kwenye kinywaji, kwa mfano alcohol yenye 40%abv Ina maana kiwango Cha alcohol kwenye ujazo wowote iwe (200mls, 500mls, 750mls) ni asilimia 40.. Ina maana ethanol inakua asilimia 40 na hio asilimia 60 mostly inakua maji wanayotumia kufanya dilution
Haya makampuni mengi yananunua ethanol ya kiwango kikubwa yaani industrial Ethanol zenye kuanzia 90%-95% abv ambazo haziruhusiwi kuuzwa huku mtaani, so wao wanazi dilute ili kupunguza Hio alcohol kwenda kwenye viwango vidogo
Sasa ukikuta pombe Ina 35%abv kama konyagi Ina maana kwenye Lita Moja pombe(ethanol) ni 350mls ambayo ni asilimia 35 na inayobaki 650mls sanasana ni maji yanayotumika ku dilute, kama pombe Ina 200mls Ina maana ethanol Itakua 70mls na dilution water 130mls!
Ukinywa bia yenye 4%abv Ina maana kwenye Kila Lita unayokunywa, only 40mls ni pombe na hio 960mls ni maji tu.... Ndo maana bia hazileweshi mapema