Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni hiyo hiyo smart gin. Wanaita sungura kwa sababu ina picha yake.Hiyo na Gin ni kitu kimoja?
Really? hivi unadhani wahusika/wahanga wakubwa kwenye hili ni nani kama si vijana? Tumeambiwa kwenye sensa ya hivi karibuni kwana zaidi ya asilimia 70 ya watanzania ni vijana.Watu wazima kufundishwa kulinda afya zao kweli? Mtu makitu hayo ni makali, yana ladha kali unayanywa utadhani yanakupa virutubisho mwilini ile hali yanakuletea maradhi mwilini siku za baadae kwasababu ya kuchosha viungo muhimu vya mwilini.
Nadhani ifike muda hili jukumu la kukemea matumizi ya bidhaa haramu libakie ngazi ya familia, nyumba za ibada na hata mitaala ya elimu iwaelimishe watoto juu ya madhara ya hizi vitu kama wataanza mazoea ya kujihusisha navyo.
Alcohol 37 mkuuNi viroba katika chupa za plastiki zenye kilevi cha 40 kikiwa kidogo unaweka hadi mfukoni hata mtoto anaweka, wanasema havina harufu kali so unaweza ukawa na mtu karibu anaongea upuuzi usijue kama kalewa....
Unachukua pipa la ethanol una dilute, unaweka harufu ya ndimu unapakia unauza.Na siku zote bei ikishakuwa chini husababisha demand ya vilevi vya aina hii kuwa juu
Hivyo kwa vijana matokeo yataonekana miaka 20 ijayo, ila waendesha boda boda matokeo yaweza kuwa ndani ya dakika 01Ngoja twende Muhimbili tufanye utafiti tuone waliolazwa kwa magonjwa tajwa hapo juu kama walikuwa wanatumia kitu kama "Visungura" au ni story tu!
Hatari sanaUnachukua pipa la ethanol una dilute, unaweka harufu ya ndimu unapakia unauza.
Wapumbavu watajijua na maini yao
Isingekuwa dini yangu ningetengenezaHatari sana
Dini inakataza?Isingekuwa dini yangu ningetengeneza
Volume mkuu alcohol 40 kwenye chupa ndogo sana kama ile ni sumu kali sana ndio maana watu wana wehuka MAPEMAAlcohol 40 ya Sungura na Alcohol 40 ya Grants, tofauti yake ni nini?
Na sijuwi kama watengenezaji wa hicho kilevi wao wanakitumiaNaona Dar es salaam kila kijana akikutana naye anaomba kisungura
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana.Volume mkuu alcohol 40 kwenye chupa ndogo sana kama ile ni sumu kali sana ndio maana watu wana wehuka MAPEMA
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Swala sio pombe ya wapi,hapa watu wanapigia kelele unywaji wa hizo pombe,unakuta mtu tokea asubuhi anakunywa kila baada ya masaa mawili.Mkuu kwa comment yako hii unaingia mbinguni moja kwa moja! Kuna watu wanajitwisha mapombe ya Russia kila siku lakini sijaona wanakemewa lkn huyu mkombozi wa mnyonge wananza kumwandama.
Wengine wanachanganya na mbegeHiyo mitaa ukielekea mpaka Mbulu ni balaa yaani mpaka unawaonea huruma...