Pombe ya viroba sasa inaitwa "visungura", Serikali ichukue hatua haraka vijana wanapotea kwa kasi

Pombe ya viroba sasa inaitwa "visungura", Serikali ichukue hatua haraka vijana wanapotea kwa kasi

Alcohol 40 ya Sungura na Alcohol 40 ya Grants, tofauti yake ni nini?
Grants bei ghali.

Sungura bei ndogo hivyo kila mtu anaweza ipata, Sungura ukienda ipima utakuta inazidi
 
Acha watu wamwagilie moyo!.... Ile kitu robo inapenda.....

Ukipata nafasi ya kunywa, kunywa saana tu!...Lakini kumbuka!.....Wakati ndio huu huu ulio nao sass!...na muda sio mjomba wala shangazi yako!
Muda haukusubiri!
 
Ni viroba katika chupa za plastiki zenye kilevi cha 40 kikiwa kidogo unaweka hadi mfukoni hata mtoto anaweka, wanasema havina harufu kali so unaweza ukawa na mtu karibu anaongea upuuzi usijue kama kalewa.

Boda boda, machinga, wapiga debe na walevi wa kiwango cha umaskini ndio chao kwa bei ndogo vijana wanapotea maana kinaunguza maini na mfumo mzima wa afya ya akili na uzazi.

Serkali ipige marufuku hivi vidude vitauwa vijana.

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hata bungeni wanaingia navyo.
Maana MTU mzima aliye tahiriwa kimila hawezi kuanza kulia mchana kweupe mbele ya wanawake wa covid 19 na makamera bila kuguswa na MTU.
 
Tuna pambana kuidhinisha GONGO wewe unataka wazuie vinywaji HALALI " UNYWAJI KUPITA KIASI NI HATARI KWA AFYA YAKO " Hata ingekua na alcohol 10% ukinywa vingi mwendo ni uleule! Hiyo castle lite kuna wanaokunywa na wanalewa mpaka wanajikojolea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiitwa Valuer, Grants, Black label, Green label, Gordons, Joh Walker, Cîroc, Captain Morgan, Jack Daniels, Fireball, Hennessey, Vodka, ..e.t.c. inakuwa siyo shida?
Au tatizo vifungashio?
Bubu zenu wamekunywa, gongo, nipa, lubisi n.k, hawakufa.
Acheni hizo mambo.
Kila mtu na anywe kwa upana wa mfuko wake.
Kwanza wana waunga mkono wenye viwanda vya ndani siyo kila siku kumchangia beberu na mrusi.

Kama kiwango cha alcohol hakijazidi kinacho ruhusiwa kwa matumizi ya vinywaji vikali hakuna shida. Ipo taasisi inayo pitia viwango na kuhakiki usalama wa watumiaji pombe.
Akili kubwa bro watu wanahisi jina na upatikanaji wake ndio tatizo.
 
Ni viroba katika chupa za plastiki zenye kilevi cha 40 kikiwa kidogo unaweka hadi mfukoni hata mtoto anaweka, wanasema havina harufu kali so unaweza ukawa na mtu karibu anaongea upuuzi usijue kama kalewa.

Boda boda, machinga, wapiga debe na walevi wa kiwango cha umaskini ndio chao kwa bei ndogo vijana wanapotea maana kinaunguza maini na mfumo mzima wa afya ya akili na uzazi.

Serkali ipige marufuku hivi vidude vitauwa vijana.

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona niko stendi huku sijaona mpiga debe akinywa
 
Nadhani hata bungeni wanaingia navyo.
Maana MTU mzima aliye tahiriwa kimila hawezi kuanza kulia mchana kweupe mbele ya wanawake wa covid 19 na makamera bila kuguswa na MTU.
Yule waitara ile sura ya pombe mchanganyiko kabisa ile.
 
Back
Top Bottom