Pombe ya viroba sasa inaitwa "visungura", Serikali ichukue hatua haraka vijana wanapotea kwa kasi

Pombe ya viroba sasa inaitwa "visungura", Serikali ichukue hatua haraka vijana wanapotea kwa kasi

Ikiitwa Valuer, Grants, Black label, Green label, Gordons, Joh Walker, Cîroc, Captain Morgan, Jack Daniels, Fireball, Hennessey, Vodka, ..e.t.c. inakuwa siyo shida?
Au tatizo vifungashio?
Bubu zenu wamekunywa, gongo, nipa, lubisi n.k, hawakufa.
Acheni hizo mambo.
Kila mtu na anywe kwa upana wa mfuko wake.
Kwanza wana waunga mkono wenye viwanda vya ndani siyo kila siku kumchangia beberu na mrusi.

Kama kiwango cha alcohol hakijazidi kinacho ruhusiwa kwa matumizi ya vinywaji vikali hakuna shida. Ipo taasisi inayo pitia viwango na kuhakiki usalama wa watumiaji pombe.
sio kwa kidude kile mkuu. kile kina balaa
 
Mbona niko stendi huku sijaona mpiga debe akinywa
Usitegemee kuviona stendi kuu ya Mbezi (siwezi kuandika jina la mwendazake) njoo huku Kiluvya, kwa Mathias na kwamfipa uone marehemu watarajiwa walivyo chakaa. Halafu kila kibanda kinauza hiyo sumu.
Hivi imepitia TBS hii pombe au wachina wanaouza juu kwaju?
 
na kinauzwa buku 2 tu.. unapimiwa hadi cha buku. mitaani hali mbaya huku mamlaka iingilie kati
Wenye mamlaka ndio wale waliotajwa na CAG. Kumbuka bado hawajawajibishwa, unategemea waache upigaji wahangaike na wapiga kura?
TBS Sasa hivi akili Yao iko bandarini kwenye upigaji, kila gari unayoiona imetokea bandarini ujue dereva ameacha hamsini au laki. Unategemea watahangaika na pombe za misukule.
 
Usitegemee kuviona stendi kuu ya Mbezi (siwezi kuandika jina la mwendazake) njoo huku Kiluvya, kwa Mathias na kwamfipa uone marehemu watarajiwa walivyo chakaa. Halafu kila kibanda kinauza hiyo sumu.
Hivi imepitia TBS hii pombe au wachina wanaouza juu kwaju?

Hakuna cha wachina ni mbongo anatengenezea kule ubungo kibangu kama unaenda makoka
 
Swala sio pombe ya wapi,hapa watu wanapigia kelele unywaji wa hizo pombe,unakuta mtu tokea asubuhi anakunywa kila baada ya masaa mawili.

Nakumbuka jamaa mmoja miaka ya nyuma kutokana na frustrations za ndoa alipiga zinga la JohnWalker lote,yule jamaa alizimia kwa muda wa wiki 2 huku akipatiwa matibabu ya gharama sana, bahati nzuri siku yake naona ilikuwa haijafika akapona.

Kwahiyo nadhani kunahitajika elimu ya unywaji wa hizo pombe na madhara yake kwa jamii na hasa vijana.
Ahaaaaaa! Huyu ile kanuni ya kunywa kwa kiasi aliikiuka
 
Ikiitwa Valuer, Grants, Black label, Green label, Gordons, Joh Walker, Cîroc, Captain Morgan, Jack Daniels, Fireball, Hennessey, Vodka, ..e.t.c. inakuwa siyo shida?
Au tatizo vifungashio?
Bubu zenu wamekunywa, gongo, nipa, lubisi n.k, hawakufa.
Acheni hizo mambo.
Kila mtu na anywe kwa upana wa mfuko wake.
Kwanza wana waunga mkono wenye viwanda vya ndani siyo kila siku kumchangia beberu na mrusi.

Kama kiwango cha alcohol hakijazidi kinacho ruhusiwa kwa matumizi ya vinywaji vikali hakuna shida. Ipo taasisi inayo pitia viwango na kuhakiki usalama wa watumiaji pombe.
Mkubwa, umewahi kuionja au kukaa jirani na mtumiaji ?
 
Tofauti ni Mil's
unakuta kale ka smart Gin mil 200 Alc 40%
Grants unakuta ni Mil 750 Alc 40%
Zipo Grants ndogo kabisa sikumbuki mils ngapi lakini haizi 200mls tena inaweza kuwa pungufu.
Hapo tatizo vifungashio na mtengenezaji tu au brand imetoka nje ya nchi na local brand.
 
Zipo Grants ndogo kabisa sikumbuki mils ngapi lakini haizi 200mls tena inaweza kuwa pungufu.
Hapo tatizo vifungashio na mtengenezaji tu au brand imetoka nje ya nchi na local brand.
nafikiri ni 90ml
ila alcohol % yake naona itakua ndogo sio kama hizi smart gin
 
Ni viroba katika chupa za plastiki zenye kilevi cha 40 kikiwa kidogo unaweka hadi mfukoni hata mtoto anaweka, wanasema havina harufu kali so unaweza ukawa na mtu karibu anaongea upuuzi usijue kama kalewa.

Boda boda, machinga, wapiga debe na walevi wa kiwango cha umaskini ndio chao kwa bei ndogo vijana wanapotea maana kinaunguza maini na mfumo mzima wa afya ya akili na uzazi.

Serikali ipige marufuku hivi vidude vitaua vijana.

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana waachiliwe tu wanywe na kujiua maana maisha yamekuwa magumu sana sasa hivi.
 
Miaka ya baadaye kutakuwa na tatizo kubwa la magonjwa ya ini, figo, kisukari, upungufu wa nguvu za kiume n.k
Pombe haijaanza kunywewa leo bwashee,

Miaka na miaka Kuna gongo mitaani vilabuni Zina Zaid ya 60% alcohol, mababu zetu wamekunywa sn na bado wako hai.

Vijana wa Sasa mnauwawa na vingi,
Hivyo visukari na magonjwa ya Moyo mengine mnajiletea wnyw kwny mahusiano yenu pasua kichwa uko.

Msisingizie pombe bhana
 
Kuna kijana wangu wa mtaa akiamka tu anafakamia kisungura ,akilala kiko pembeni .Chakula chake ni maandazi na energy.Nilashashauri sana tumebaki kumuangalia tu.
 
Mkuu kwa comment yako hii unaingia mbinguni moja kwa moja! Kuna watu wanajitwisha mapombe ya Russia kila siku lakini sijaona wanakemewa lkn huyu mkombozi wa mnyonge wananza kumwandama.
Tatizo wabongo wamekariri Cha Bei kubwa ndio Bora, hasa kinachoagizwa nje.

wanasahau Bei kubwa inasababishwa na ushuru mkubwa na Kodi lukuki bandarini na mamlaka MBALIMBALI.

Mpk ikufikie mlaji, Bei haishikiki.

Hennessy ingezalishwa bongo unadhani tusingemudu? Mbona wine za dodoma tunazimudu?

Pale unauziwa ushuru na kifungashio TU, Pombe Ni ile ile[emoji4]
 
Back
Top Bottom