Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Gyn ina balaa.. inakausha koo na kuacha mikwaruzo shingoni. inakuacha na mishipa kichwani na mistari katika paji la uso... asee hizo kitu vijana wameishaaaHiyo na Gin ni kitu kimoja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gyn ina balaa.. inakausha koo na kuacha mikwaruzo shingoni. inakuacha na mishipa kichwani na mistari katika paji la uso... asee hizo kitu vijana wameishaaaHiyo na Gin ni kitu kimoja?
sio kwa kidude kile mkuu. kile kina balaaIkiitwa Valuer, Grants, Black label, Green label, Gordons, Joh Walker, Cîroc, Captain Morgan, Jack Daniels, Fireball, Hennessey, Vodka, ..e.t.c. inakuwa siyo shida?
Au tatizo vifungashio?
Bubu zenu wamekunywa, gongo, nipa, lubisi n.k, hawakufa.
Acheni hizo mambo.
Kila mtu na anywe kwa upana wa mfuko wake.
Kwanza wana waunga mkono wenye viwanda vya ndani siyo kila siku kumchangia beberu na mrusi.
Kama kiwango cha alcohol hakijazidi kinacho ruhusiwa kwa matumizi ya vinywaji vikali hakuna shida. Ipo taasisi inayo pitia viwango na kuhakiki usalama wa watumiaji pombe.
Usitegemee kuviona stendi kuu ya Mbezi (siwezi kuandika jina la mwendazake) njoo huku Kiluvya, kwa Mathias na kwamfipa uone marehemu watarajiwa walivyo chakaa. Halafu kila kibanda kinauza hiyo sumu.Mbona niko stendi huku sijaona mpiga debe akinywa
na kinauzwa buku 2 tu.. unapimiwa hadi cha buku. mitaani hali mbaya huku mamlaka iingilie katiAlcohol 37 mkuu
Double Kiki 40
Hakika hilo ni janga
Wenye mamlaka ndio wale waliotajwa na CAG. Kumbuka bado hawajawajibishwa, unategemea waache upigaji wahangaike na wapiga kura?na kinauzwa buku 2 tu.. unapimiwa hadi cha buku. mitaani hali mbaya huku mamlaka iingilie kati
Usitegemee kuviona stendi kuu ya Mbezi (siwezi kuandika jina la mwendazake) njoo huku Kiluvya, kwa Mathias na kwamfipa uone marehemu watarajiwa walivyo chakaa. Halafu kila kibanda kinauza hiyo sumu.
Hivi imepitia TBS hii pombe au wachina wanaouza juu kwaju?
Kimahesabu sijakuelewa! kwamba 40% alc kwenye lita moja ya maji ni ndogo kuliko 40%alc kwenye robo lita ya maji? Itabidi nirudi shule kwanza kusoma hesabu za percentage.Volume mkuu alcohol 40 kwenye chupa ndogo sana kama ile ni sumu kali sana ndio maana watu wana wehuka MAPEMA
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaaaaa! Huyu ile kanuni ya kunywa kwa kiasi aliikiukaSwala sio pombe ya wapi,hapa watu wanapigia kelele unywaji wa hizo pombe,unakuta mtu tokea asubuhi anakunywa kila baada ya masaa mawili.
Nakumbuka jamaa mmoja miaka ya nyuma kutokana na frustrations za ndoa alipiga zinga la JohnWalker lote,yule jamaa alizimia kwa muda wa wiki 2 huku akipatiwa matibabu ya gharama sana, bahati nzuri siku yake naona ilikuwa haijafika akapona.
Kwahiyo nadhani kunahitajika elimu ya unywaji wa hizo pombe na madhara yake kwa jamii na hasa vijana.
Mkubwa, umewahi kuionja au kukaa jirani na mtumiaji ?Ikiitwa Valuer, Grants, Black label, Green label, Gordons, Joh Walker, Cîroc, Captain Morgan, Jack Daniels, Fireball, Hennessey, Vodka, ..e.t.c. inakuwa siyo shida?
Au tatizo vifungashio?
Bubu zenu wamekunywa, gongo, nipa, lubisi n.k, hawakufa.
Acheni hizo mambo.
Kila mtu na anywe kwa upana wa mfuko wake.
Kwanza wana waunga mkono wenye viwanda vya ndani siyo kila siku kumchangia beberu na mrusi.
Kama kiwango cha alcohol hakijazidi kinacho ruhusiwa kwa matumizi ya vinywaji vikali hakuna shida. Ipo taasisi inayo pitia viwango na kuhakiki usalama wa watumiaji pombe.
Tofauti ni Mil'sAlcohol 40 ya Sungura na Alcohol 40 ya Grants, tofauti yake ni nini?
Chupa ndogo, sumu nyingi.Tofauti ni Mil's
unakuta kale ka smart Gin mil 200 Alc 40%
Grants unakuta ni Mil 750 Alc 40%
Grants kwa bei yake ni wachache wanamudu, lakini kisungura kwa bei yake inaangukiwa na wengi tatizo linakuwa kubwa zaidi.Alcohol 40 ya Sungura na Alcohol 40 ya Grants, tofauti yake ni nini?
Zipo Grants ndogo kabisa sikumbuki mils ngapi lakini haizi 200mls tena inaweza kuwa pungufu.Tofauti ni Mil's
unakuta kale ka smart Gin mil 200 Alc 40%
Grants unakuta ni Mil 750 Alc 40%
nafikiri ni 90mlZipo Grants ndogo kabisa sikumbuki mils ngapi lakini haizi 200mls tena inaweza kuwa pungufu.
Hapo tatizo vifungashio na mtengenezaji tu au brand imetoka nje ya nchi na local brand.
Vijana waachiliwe tu wanywe na kujiua maana maisha yamekuwa magumu sana sasa hivi.Ni viroba katika chupa za plastiki zenye kilevi cha 40 kikiwa kidogo unaweka hadi mfukoni hata mtoto anaweka, wanasema havina harufu kali so unaweza ukawa na mtu karibu anaongea upuuzi usijue kama kalewa.
Boda boda, machinga, wapiga debe na walevi wa kiwango cha umaskini ndio chao kwa bei ndogo vijana wanapotea maana kinaunguza maini na mfumo mzima wa afya ya akili na uzazi.
Serikali ipige marufuku hivi vidude vitaua vijana.
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Pombe haijaanza kunywewa leo bwashee,Miaka ya baadaye kutakuwa na tatizo kubwa la magonjwa ya ini, figo, kisukari, upungufu wa nguvu za kiume n.k
Tatizo wabongo wamekariri Cha Bei kubwa ndio Bora, hasa kinachoagizwa nje.Mkuu kwa comment yako hii unaingia mbinguni moja kwa moja! Kuna watu wanajitwisha mapombe ya Russia kila siku lakini sijaona wanakemewa lkn huyu mkombozi wa mnyonge wananza kumwandama.