Pompeo: Israel Haifanyi Uvamizi kwa Wapalestina bali Inatekeleza Maandiko ya Biblia

Pompeo: Israel Haifanyi Uvamizi kwa Wapalestina bali Inatekeleza Maandiko ya Biblia

Wakristo gani niwatafute? Maana wakristo halisi ni wakatoliki. Hao wengine mapalapala wakujiropokea na kujitafsiria bibilia, nasemaje mayahudi hawafai. Kanisa lenyewe limewavumilia sana lakini hawafai.
Nina wasiwasi na kiwango chako cha elimu na uelewa mkuu.Kwa jinsi unavyoandika tu,nina wasiwasi kama najadiliana na msomi au muhafidhina wa answar sunni.Tafuta wengine ujadiliane nao sio mimi,lugha yako tu ya uandishi inanitia wasiwasi.
 
Mimi ndio nina wasiwasi ndio maana naandika kwa kiwango chako. Ukitaka tufanye theology we can, ukitaka maji taka nnayo, vyote vyote tu. We unaejifanya una elimu unatetea Israel? Huna akili.
 
Mimi ndio nina wasiwasi ndio maana naandika kwa kiwango chako. Ukitaka tufanye theology we can, ukitaka maji taka nnayo, vyote vyote tu. We unaejifanya una elimu unatetea Israel? Huna akili.
Mkuu mimi sina ugomvi na wayahudi kwanini niwachukie.Mimi sio muislamu au mwarabu,sababu waislamu na waarabu ndio wanawachukia wayahudi na mungu wao allah amewaamrisha hivyo.
 
Mimi ndio nina wasiwasi ndio maana naandika kwa kiwango chako. Ukitaka tufanye theology we can, ukitaka maji taka nnayo, vyote vyote tu. We unaejifanya una elimu unatetea Israel? Huna akili.
Mkuu uandishi wako unanitia wasiwasi.Majitaka ndio nini mkuu sijakuelewa msomi mwezangu au ndio unanilazimisha niwachukie wayahudi mkuu na niwapende waarabu.
 
Mkuu uandishi wako unanitia wasiwasi.Majitaka ndio nini mkuu sijakuelewa msomi mwezangu au ndio unanilazimisha niwachukie wayahudi mkuu na niwapende waarabu.
Unaona ulivo huna logic, kwani ukiwachukia hao mayahudi automatically unakuwa unawapenda waarabu? aibu. Mi waarabu alafu ata sijawataja. Unaona ulivo huna akili?
 
Unaona ulivo huna logic, kwani ukiwachukia hao mayahudi automatically unakuwa unawapenda waarabu? aibu. Mi waarabu alafu ata sijawataja. Unaona ulivo huna akili?
Chuki yako dhidi ya wayahudi inaonyesha wewe ni mtu wa itikadi na imani ipi na usione aibu kua muwazi mkuu.Lakini usilazimishe wote tuwachukie wayahudi.Kwahiyo mkuu ili tuwe na akili kama unavyodai,unataka tuwapende waarabu wa palestina.
 
Mimi ndio nina wasiwasi ndio maana naandika kwa kiwango chako. Ukitaka tufanye theology we can, ukitaka maji taka nnayo, vyote vyote tu. We unaejifanya una elimu unatetea Israel? Huna akili.
Afu sijakuelewa mkuu""Maji taka""ndio nini msomi???
 
Back
Top Bottom