Mimi tena mkristo hasa ukinigusa tu upako kama wote.Ukishaona unawaita MAyahudi badala ya WAyahudi, tayari tunajua ni mvaa kobazi.
Wewe sio Mkristo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi tena mkristo hasa ukinigusa tu upako kama wote.Ukishaona unawaita MAyahudi badala ya WAyahudi, tayari tunajua ni mvaa kobazi.
Wewe sio Mkristo.
Nina wasiwasi na kiwango chako cha elimu na uelewa mkuu.Kwa jinsi unavyoandika tu,nina wasiwasi kama najadiliana na msomi au muhafidhina wa answar sunni.Tafuta wengine ujadiliane nao sio mimi,lugha yako tu ya uandishi inanitia wasiwasi.Wakristo gani niwatafute? Maana wakristo halisi ni wakatoliki. Hao wengine mapalapala wakujiropokea na kujitafsiria bibilia, nasemaje mayahudi hawafai. Kanisa lenyewe limewavumilia sana lakini hawafai.
Mkuu mimi sina ugomvi na wayahudi kwanini niwachukie.Mimi sio muislamu au mwarabu,sababu waislamu na waarabu ndio wanawachukia wayahudi na mungu wao allah amewaamrisha hivyo.Mimi ndio nina wasiwasi ndio maana naandika kwa kiwango chako. Ukitaka tufanye theology we can, ukitaka maji taka nnayo, vyote vyote tu. We unaejifanya una elimu unatetea Israel? Huna akili.
Mkuu uandishi wako unanitia wasiwasi.Majitaka ndio nini mkuu sijakuelewa msomi mwezangu au ndio unanilazimisha niwachukie wayahudi mkuu na niwapende waarabu.Mimi ndio nina wasiwasi ndio maana naandika kwa kiwango chako. Ukitaka tufanye theology we can, ukitaka maji taka nnayo, vyote vyote tu. We unaejifanya una elimu unatetea Israel? Huna akili.
Unaona ulivo huna logic, kwani ukiwachukia hao mayahudi automatically unakuwa unawapenda waarabu? aibu. Mi waarabu alafu ata sijawataja. Unaona ulivo huna akili?Mkuu uandishi wako unanitia wasiwasi.Majitaka ndio nini mkuu sijakuelewa msomi mwezangu au ndio unanilazimisha niwachukie wayahudi mkuu na niwapende waarabu.
Chuki yako dhidi ya wayahudi inaonyesha wewe ni mtu wa itikadi na imani ipi na usione aibu kua muwazi mkuu.Lakini usilazimishe wote tuwachukie wayahudi.Kwahiyo mkuu ili tuwe na akili kama unavyodai,unataka tuwapende waarabu wa palestina.Unaona ulivo huna logic, kwani ukiwachukia hao mayahudi automatically unakuwa unawapenda waarabu? aibu. Mi waarabu alafu ata sijawataja. Unaona ulivo huna akili?
Afu sijakuelewa mkuu""Maji taka""ndio nini msomi???Mimi ndio nina wasiwasi ndio maana naandika kwa kiwango chako. Ukitaka tufanye theology we can, ukitaka maji taka nnayo, vyote vyote tu. We unaejifanya una elimu unatetea Israel? Huna akili.
Upo sahii mkuu na aliwsaidia pia ukoo wa Al saud kuunda kitu chao waendelee kupiga pesa duniani.Kama wanavyopiga ukoo wa kifalme wa UKKina Rothschild's walikaa wakaamua waunde kitu Chao ili kulinda maslahi Yao.