Ponda alipuka-maisha ya gerezani


sasa mdau ni CHUKI ZIPI PONDA ALIZOPANDIKIZA???UKWELI ANAOUSEMA???AU NINI???MTU AKISEMA UKWELI MNAMWITA MPANDIKIZA CHUKI,HAYO YAMEZOELEKA MDAU,,,,ILA UKWELI MCHUNGU
 
ponda hajawah kushtakiwa kwa ugaidi labda ww uwe umemshtaki,,,,hapo ni sawan akumwita pengo shoga wakat sio kweli

Nimeshajua upungufu wako ngoja nikuache maana ukiona mtu kashikiwa akili na Ponda basi ni lazima ujihoji mara 2.
 
Mwenye elimu ya huyu Sheikh Pond aiweke hapa maana naona hoja zake kama vile zinatolewa na mtu aisye na elimu, kimsingi sababu kama NECTA inawafelisha watoto wa Kiislamu ni kama hoja isiyo na mashiko kwani wakati wa kusahihisha kunakuwa pameandikwa jina la mwanafunzi kwenye mtihani au ni namba yake ya mtihani?sasa msahihishaji atajuaje huyu ni Ramadhani na si Fredrick? na Je jina pekee linatosha kumfanya mtu akaonekana dini yake ni ipi?nina wasiwasi sana na huyu jamaa inawezekana ikafikia point akaanza kusema waislamu hawafanikiwi kimaisha kwa sababu serikali inawapendelea wakristo Mbona hasemi
-Raisi wa Tanzania ni Muislamu, Mkuuwa Polisi IGP ni Muislamu, Makamu wa Raisi Tanzania ni Muislamu, Raisi wa Zanzibar na makamu wake wote ni waislamu mbona hayo hayaongelei?Ikitokea Raisi wa Tanzania akawa mkristu anaweza pata shid asana kudeal na huyu mtu
 

Alíishia darasa la nne.
 
Serikali sio wajinga kumuacha huyo gaidi ponda huru,ashadungwa sindano huyo ina muua taratiiiibu mpaka december hatukokua nae hapa duniani.,unajua nin? wameona akifia gerezani itakua dhahama na lawama kwa serikali ndo mana wamemuacha aje afie uswahilini huku.yangu macho.
 
go go go ponda,,,,,,
taqbiiiiiiiiiir,taqbiiiiiiiiir,taqbiiiiiiiir,
ponda umenena na ulilonena lina ukweli,kama kuna mtu ana ushahid wa yule mtoto kuwa kesi yake iko mahakaman auweke hapa,,,,msiishie kumshutumu ponda bila sababu za msingi,
anapoongelea suala la msikiti wa mbeya,amesahau kuchomwa kwa makanisa kule zanzibar nani kahukumiwa hadi leo zaidi ya kusubiri upepo upite tu?
Mtoto aliyechana bible kule tanga yuko wapi?
Mkuki kwa nguruwe.
Cha maana hapa ni kilamtu kuhubiri dini yake bila kubeza au kudharau dini ya mwingine.naamini hapo hatutasikia matatizo ya kidini tena.
 
Go go go PONDA,,,,,,
TAQBIIIIIIIIIIR,TAQBIIIIIIIIIR,TAQBIIIIIIIIR,
PONDA UMENENA NA ULILONENA LINA UKWELI,KAMA KUNA MTU ANA USHAHID WA YULE MTOTO KUWA KESI YAKE IKO MAHAKAMAN AUWEKE HAPA,,,,MSIISHIE KUMSHUTUMU PONDA BILA SABABU ZA MSINGI,
Usiwe mbulula wa Mawazo na mtindio wa ubongo kwa sheria za kiislamu si ruhusa kushika quran ukiwa huna udhu (ujatawaza) mwenye kosa ni Nani kati alieleta quran na kumkabidhi mtu ambae hana udhu? Na hali halisi alijua huyu si muislamu akampa kukifanyia mzaha? Au alieletewa baada ya mabishano.kwa mtindio wako huyu aliekojolea kwa Kuwa ni mkristo tu basi ana makosa. Kwa hili hakuna haki kwa uislamu hasa kwa shekh Mkubwa na mchonganishi kama ponda na wewe mbulula
 
"enyi wana wa israel vipi mnabadilisha haki kwa kuweka baatwili na mnaiacha haki hali ya kuwa mnajua?"

yeye ndie aliyempeleka mtume wake kwa uongofu na dini ya haki ili awabainishie watu wenye dini japo walichukia hilo makafiri".
Hakika mitihani na maswaibu ndio mwenendo wa mitume wote na wenye kuifanya kazi ya mitume lazima wajue watapitia njia hiyo.
"hivi wanadhani watu wataachwa hivihivi waseme wameamini hali hawajapewa mitihani? Kwa hakika tumewapa mitihani waliokuwa kabla yenu ili tuwajue wakweli na waongo"
wote mnaopigania haki za watu/wanyonge waislamu mfahamu mitihani haitokuacheni, fanyeni subira na msirudi nyuma m/mungu mwingi wa rehema na huruma sio mwenye kuwadhulumu viumbe wake mtalipwa kwa harakati zenu.
 
Ponda ni mbulula eti amesingiziwa Kuwa si mtanzania kwani ni yeye peke yake mbona kina bashe hawasemi walio singiziwa Sio watanzania
 
Pia usisahau kuwa mkapa ndiye aliyegawa majengo ya TANESCO ili kubalance mambo ya kielimu hapa nchini.

Si kwamba alitaka kubalance kwa sababu ingekuwa na kubalance alitakiwa akumbuke kuwa kule Iringa wakatoliki walikataliwa chuo cha Bank na kuambiwa wanunue kinachoitwa RUCO leo. Katika vitu ambavyo kwa mtazamo wangu sikubaliani nao ni hili la ndugu zetu Waislamu kutothamini elimu.

Ukifanya utafiti wa haraka, matajiri wengi Tanzania ni Waislamu, hivi wameshindwa kuchangia ili wajenge Chuo hata kimoja zaidi ya kutaka kupendelewa siku zote?

Nafifkiri kuna tatizo sehemu fulani ambapo wao wanatakiwa kukaa kwa umoja. Wanapokaa kwamakundi kama CCM ndicho kinachowafanya waone kama wanaonewa kila uchao.
 
Kumrudisha Gerezani Ponda hujatatuwa tatizo ila umeongeza tatizo. Suluhu ni Serikali na Vyombo vyake viwache kubbikia Wanyonge kesi
 
sasa mdau ni chuki zipi ponda alizopandikiza???ukweli anaousema???au nini???mtu akisema ukweli mnamwita mpandikiza chuki,hayo yamezoeleka mdau,,,,ila ukweli mchungu

unafurahia eee! Haya anasema ukweli, ila siku ya siku utakula haya maneno yako!
 
ivi wale waliochoma kanisa kule mbagala wamefikishwa wapi?
 
Pia usisahau kuwa mkapa ndiye aliyegawa majengo ya TANESCO ili kubalance mambo ya kielimu hapa nchini.

wakat yeye kagawa tanesco usisahau kuwa shule ya sekondari ya mazengo aliirudisha kwa WAKRISTO WA ST JOHN UNV
 
Kama kukujolea koran ama biblia ni kosa basi niambieni iko chini ya sheria gani na kifungu kipi?ponda hana lolote anatumia ujinga wa waumini wake kuwapotosha..na rafiki wengi wengi wakiislaam nliosoma nao chuo hawana mawazo yakipumbavu kama yeye,tumlaumu baba yake ambaye akumpeleke shule elimu epuvusha ujinga kwa kujua baya na jema..huwezi taka muhukumu mtoto kwa kukojolea koran mtoto ni mtoto na akikosea katika tamaduni zenu hukanywa ama kuchapwa ili asirudie tena ndo maana akaitwa mtoto kwa sababu hajui hathali ya kitu chema na kibaya..kwa hyo bwana ponda usimuhukumu mtoto kwa upumbavu wako na usichukulie hilo tukio kuwapotosha ndugu zetu waislamu

Sent from my i Phone 5 using JamiiForu
 
Huyu jamaa inavyoonekana hajaridhika na kahukumu alikopewa...anatamani kurudimo tena......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…