Ponda alipuka-maisha ya gerezani

I see!!!!
 
Jamani mnamjadili Ponda mtumishi wa Masihi wa el dajali, mie nashangaa sana Waislam hawapendi kupitia vitabu vyao wengi wanangoja mashekh wa tafasiri, na hii udhahifu uliopo kati wa waislam ambao wengine hata ni wasomi lakini kiimani hawaijui kabisa kitabu chao. na katika hoja nyingi sana waislam hawamzungumzii shetani na dajali ambaye ni mjumbe wa Shetani katika kuimiliki dunia, wamekuwa na wale wanaona wale wanaoendelea ndio adui yao. Wakristo hawajapata sema kama Uislaam au muumini wa uislam ni adui yao, ila nguvu yao wameweka katika kusema shetani ndiye adui yao. swali je waislam je ni jeshi la Shetani? sipendi amini hivyo, kwa histori ya Mtume Muhamadi alikuwa rafiki wa Wakristo na aliwakaribisha katika miji kadhaa kwa wakati wake. Najiuliza je Somalia ni vita dhidi ya nani. na uliza huko ulipo uislaam ambapo inaaminika ndipo chimbuko la uislaam vita ni vya nini, Je katika uislaam kuna mungu wangapi? kama ni mmoja vita vya nini ndani ya waislam wenyewe kwa wenyewe? huku wakidai MUNGU NI MKUBWA MUNGU NI MKUBWA, nauliza huyu ni mungu yupi?
Katika majina 99 ya Mwenyezi Mungu katika Koran, hakuna jina lenye sifa ya Mungu Muuaji?
Inafika wakati waislam ambao nyie mmekuwa mkieneza chuki juu ya Uislam na Ukristo. Mseme vita vyenu ni juu ya nini?
Kama mpo kwa sifa za masihi el dajali. na mjiweke wazi. kwani hata kwenye maandako yanasema ni mwongo na baba wa waongo kama alivyo sipendi kumwita shekhe hapana huyu Ponda wenu, mnaye muona ni mungu kwenu. Kumekua na msuguano mwingi kati ya waislam ndani ya misikiti yao wenye, kwa ujinga tu ile ya Mwembe chai ilikuwa kati ya uislam na uislam vyombo vya dola vilifanya kazi yao ya kulinda amani. Nchi hii ina sheria zake na kila raia bila kujali dini rangi inatakiwa ifuatwa sio kwa kuombwa, lah. Tuna dini zetu sawa sijawahi ona dini inayoeneza uovu ila pale mwovu anapopewa mwanya wa kuingia humo ndivyo utaona mapambano kati ya wao kwa wao.

Maandiko ya meandika wanaaminiana wao kwa wao.

SOMENI MAANDIKO YENU KATIKA KUTAFUTA KWELI, NA MTAMBUENI ADUI YENU NI NANI?
 
Kazi ipo.
 
Mtu mmoja awezi kuhamasisha machafuko ya kidini alafu Serikali inamwangalia tu ......anatoa kiburi wapi?...
 
Kusimama jukwaani na kuhamasisha vikundi vya kiislamu kuchukua hatua mkononi bila kufuata sheria .......sio mara ya kwanza kufungwa .....Kuna namna na taratibu ya kudai haki yako au ya waislamu sio njia alizotumia
 
Go go go PONDA,,,,,,
TAQBIIIIIIIIIIR,TAQBIIIIIIIIIR,TAQBIIIIIIIIR,
PONDA UMENENA NA ULILONENA LINA UKWELI,KAMA KUNA MTU ANA USHAHID WA YULE MTOTO KUWA KESI YAKE IKO MAHAKAMAN AUWEKE HAPA,,,,MSIISHIE KUMSHUTUMU PONDA BILA SABABU ZA MSINGI,

Ile ahadi ya kova utembelea JF, inawalenga watu kama wewe!
jirekebishe ndugu!
 
Ponda ni mbulula eti amesingiziwa Kuwa si mtanzania kwani ni yeye peke yake mbona kina bashe hawasemi walio singiziwa Sio watanzania

Wewe 'MAKU' nini? Amzungumzie Bashe kwan yeye ni msemaji wake.
 
Mtoto kwenye mahabusu ya watu wazima????napata shaka kidogo na maneno ya sheikh...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…