HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Hakuna mtengenezaji wa nafasi, kiufupi mipira haimfikii kabisa, hapo hatuwezi mlaumuIla kwa mzungu tumepigwa mchana kweupe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mtengenezaji wa nafasi, kiufupi mipira haimfikii kabisa, hapo hatuwezi mlaumuIla kwa mzungu tumepigwa mchana kweupe
na ndiyo maana kama Simba inataka kusonga mbele kimataifa NI LAZIMA ipate kitasa cha nguvu - holding midfielder la hatari, vinginevyo kuwatumia Mzamiru, Kanoute na Mkude - mwisho ni makundi ama robo.Mi nashangaa watu ndo wanaanza kuona mapungufu ya Mkude leo. Wakati ndo mchezo wake miaka yote. Yaani ukitaka mkude ang'ae ni mpaka umpange na mtu wa kumkabia. Sasa hiyo biashara nani anataka! Yaani yeye ni asimame tu katikati ya uwanja, apige pass huku apige pass kule.. Basi! Tunaweka mtu ambae hana mchango wowote kwenye timu. Mi muda aende sasa