SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Rudi kwenu Kenya sawa wewe sio mtz. Kitaeleweka wewe kufurushwa urudi Kenya. Tuue hifadhi kisa nini.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi kwenu Kenya sawa wewe sio mtz. Kitaeleweka wewe kufurushwa urudi Kenya. Tuue hifadhi kisa nini.?
Samahani ya nini.Akili huna mkuu. Samahani.lakin.
Wapi hapo nimesema "Tuue hifadhi"?Rudi kwenu Kenya sawa wewe sio mtz. Kitaeleweka wewe kufurushwa urudi Kenya. Tuue hifadhi kisa nini.?
Unaposema waachwe hapo na wanyama wahamishwe una maanisha nini..? Hukumbuki hata uliyosema.?Wapi hapo nimesema "Tuue hifadhi"?
Una kisisia kisisia tu.
Pole
Hapa ulijibu nini..? yaani nikae nijiulize wanyama na binadamu nani wa kuhamishwa ndani ya hifadhi ya wanyama .? 🤣🤣🤣🤣Mkuu,
Umang'ang'ania "Wanazidi kuzaliana" kama vile ni jambo baya. Umeshajiuliza au kujadili na Hao "wanyama" wanaozaliana huko nao Wahamishwe?
Unashabikia utalii wakati hakuna hoja yeyote ile iwe ya Serikali, ya Viongozi, Jumuiya za kimataifa ambayo inadai kuwa Uhamisho wao ni kwa faida ya Utalii.
Una yako/yenu. msije mkaja kutalii mafuvu.
Amani ikufikie
Wacha uongo. Stop the Disinformation. Stop the Misinformation. and STOP the GENOCIDE.
Sawa ila ndiyo maana nikaandika "baadhi yao" i mean si wote!.Sio wote mkuu wamewekeza na kujineemesha.
Huna lolote wewe umebakia tu "shichopu cha gengoshyt"Hawanihusu.
Ardhi siyo yenu.
...wala sio ya Wakenya.
"NGORONGORO NI YA WAMASAI"
STOP THE GENOCIDE