Huyu angekua anafukuzwa ungeshaona siku nyingi..huyu atakaa na uzuri wanaelewana na mgunda so hakuna yale mambo ya kuvizianaMmepata kocha mzuri,tulizeni akili na msikilizeni atawavusha........mkileta mbwembwe zenu za kutimua makocha kila siku......kuweni na uvumilivu
Guvu moya π
Nyie hamna uvumilivu kuanzia uongozi hadi mashabiki,we subiria Azam bahati nzuri wawasapraizi mtwara utaona mtakavyoreactHuyu angekua anafukuzwa ungeshaona siku nyingi..huyu atakaa na uzuri wanaelewana na mgunda so hakuna yale mambo ya kuviziana
Kuna watu waligikia mpaka hatua ya kuroga, ili wafuzu hatua inayofuata! Na mwisho wa siku waliishia tu kupigwa faini ya dola elfu 10, na pia kutolewa!Sema mashindano ya CAF kombe la waliofeli aka vilaza
Nawajua mpaka chumbani kwenuTulia acha kujifanya unatujua sana π
Ndio wakiwa wanatetema baada ya mayele kupachika baoKila la heri...matiti wanaanzia kuyatingishia uwanjani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwamedi kasema mnamtia hasaraImekuingia hyo
Duuu! Jamaa unaroho ya ujasili sana. [emoji23][emoji23][emoji23]Nawapongeza sana wana lunyasi wotee kwa umoja huu mlioonyesha kwa timu yetu dhidi ya wydad hapo jana...
Kuna baadhi ya wana utopolo hawaamini macho yao..
Kwanza tulimfunga wydad kwa Mkapa japo wao wanamuogopa mnoo yani walimuona kama hafungiki na pia waliamini tungeoga magoli ila sio kwa mnyama Simba..kuna wehu wanahesabu zile penati wanajisahaulisha kwamba zilikua 4 kwa 3..yani wydad kwetu alisanda.
Pili walijua kwa kutoka kwetu jana mtandaoni pasingekalika yani walitegemea matusi kwa kocha,matusi kwa kina Chama..Chama ambae ametuletea goli bora la wiki...Chama ambaye aliingia kwny mchezaji bora wa wiki..kisa tuu hakuperfom jana vzr tayari ngengaa..
Utopwox walitarajia vurugu kama sio leo basi kesho kocha atimuliwe..hilo halipo kocha huyu ni wa viwango vya juu sana bado yupo sanaa
Mwisho niwapongeze wachezaji wetu kwa kupambana sanaaa..hiii ilikua yetu ni bahati tuu haikuwa kwetu..
Viva Simba
Simba nguvu moja
Leteni hayo maua tumemwenyesha yule mnaemwogopa
Tabiri zenu za kufungwa dozens of goals zimeyeyuka
Kwani Simba ndo walio liita kombe la loosers au ni msemaji wenu leo tena mnaikana kauli yenu wenyewe?Kuna watu waligikia mpaka hatua ya kuroga, ili wafuzu hatua inayofuata! Na mwisho wa siku waliishia tu kupigwa faini ya dola elfu 10, na pia kutolewa!
Halafu leo unaliita kombe la watu waliofeli aka vilaza!!