Pongezi kwa mashabiki wa Simba

Pongezi kwa mashabiki wa Simba

Mmepata kocha mzuri,tulizeni akili na msikilizeni atawavusha........mkileta mbwembwe zenu za kutimua makocha kila siku......kuweni na uvumilivu

Guvu moya 😀
Huyu angekua anafukuzwa ungeshaona siku nyingi..huyu atakaa na uzuri wanaelewana na mgunda so hakuna yale mambo ya kuviziana
 
Huyu angekua anafukuzwa ungeshaona siku nyingi..huyu atakaa na uzuri wanaelewana na mgunda so hakuna yale mambo ya kuviziana
Nyie hamna uvumilivu kuanzia uongozi hadi mashabiki,we subiria Azam bahati nzuri wawasapraizi mtwara utaona mtakavyoreact
 
Sema mashindano ya CAF kombe la waliofeli aka vilaza
Kuna watu waligikia mpaka hatua ya kuroga, ili wafuzu hatua inayofuata! Na mwisho wa siku waliishia tu kupigwa faini ya dola elfu 10, na pia kutolewa!

Halafu leo unaliita kombe la watu waliofeli aka vilaza!!
 
Nawapongeza sana wana lunyasi wotee kwa umoja huu mlioonyesha kwa timu yetu dhidi ya wydad hapo jana...
Kuna baadhi ya wana utopolo hawaamini macho yao..

Kwanza tulimfunga wydad kwa Mkapa japo wao wanamuogopa mnoo yani walimuona kama hafungiki na pia waliamini tungeoga magoli ila sio kwa mnyama Simba..kuna wehu wanahesabu zile penati wanajisahaulisha kwamba zilikua 4 kwa 3..yani wydad kwetu alisanda.

Pili walijua kwa kutoka kwetu jana mtandaoni pasingekalika yani walitegemea matusi kwa kocha,matusi kwa kina Chama..Chama ambae ametuletea goli bora la wiki...Chama ambaye aliingia kwny mchezaji bora wa wiki..kisa tuu hakuperfom jana vzr tayari ngengaa..

Utopwox walitarajia vurugu kama sio leo basi kesho kocha atimuliwe..hilo halipo kocha huyu ni wa viwango vya juu sana bado yupo sanaa

Mwisho niwapongeze wachezaji wetu kwa kupambana sanaaa..hiii ilikua yetu ni bahati tuu haikuwa kwetu..
Viva Simba
Simba nguvu moja
Duuu! Jamaa unaroho ya ujasili sana. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyi tuseme mmesgakubali kubiduliwa kila mkifika quater final? Basi sawa hongera zenu.
Leteni hayo maua tumemwenyesha yule mnaemwogopa
Tabiri zenu za kufungwa dozens of goals zimeyeyuka
 
Kuna watu waligikia mpaka hatua ya kuroga, ili wafuzu hatua inayofuata! Na mwisho wa siku waliishia tu kupigwa faini ya dola elfu 10, na pia kutolewa!

Halafu leo unaliita kombe la watu waliofeli aka vilaza!!
Kwani Simba ndo walio liita kombe la loosers au ni msemaji wenu leo tena mnaikana kauli yenu wenyewe?
 
Back
Top Bottom