Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za hawa jamaa sjui ziko wapi?Hawajaamini mpk sasa hawaamini kweli ni Simba ndo imecheza na wydad tena bingwa mtetezi na kumuhenyesha vile?
Nani alianza kuliita kombe la losers??Kuna watu waligikia mpaka hatua ya kuroga, ili wafuzu hatua inayofuata! Na mwisho wa siku waliishia tu kupigwa faini ya dola elfu 10, na pia kutolewa!
Halafu leo unaliita kombe la watu waliofeli aka vilaza!!
Huchelewi kusema ni Haji Manara! Mimi nalitambua kama kombe la shirikisho.Nani alianza kuliita kombe la losers??
Yanga tuna ofisa habari, anayeitwa Ali Kamwe. Hatuna msemaji.Kwani Simba ndo walio liita kombe la loosers au ni msemaji wenu leo tena mnaikana kauli yenu wenyewe?
Ali kamwe kaajiliwa lini hapo yanga na manara katoa kauli hiyo lini?Yanga tuna ofisa habari, anayeitwa Ali Kamwe. Hatuna msemaji.
karibu kesho ushuhudie soka la kisasaMpk anywe mo zotee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mechi ikianza ntakutagHata kuangalia sitaangalia itanitolea ladha ya Ligi ya mabingwa [emoji38] [emoji38] wale Rivers wanaocheza kama wa mchangani...
Thread nzuri!Abee