Tajiri wa matajiri
Senior Member
- Apr 17, 2024
- 166
- 649
Dkt. Geodavie pongezi ziende kwakao aisee kwa kuchangia maendeleo kwa Wana kisongo na wana Arusha tunakupongeza Sana endelea na moyo huyo huyo baba.Geodavie wa kanisa la geodavie ministry mtu mwema sana na mpenda maendeleo watu habagui dini wala kabila mtu yoyote mwenye shida yeye anamsaidia, hongera sana mchungaji geodavie
Hivi mtu gani wa Arusha anaechangia maendeleo zaidi Arusha zaidi ya geodavie? Hayupo japo mchungaji geodavie ni tajiri lakini yeye habagui anaongea na mtu yoyote yule awe tajiri wala masikini yeye anaongea nae na kuwatatulia shida zao sio mayatima,wajane,na masikini wote anawasaidia aisee!
Hongera tajiri,Dr.na mchungaji geodavie....
Hivi mtu gani wa Arusha anaechangia maendeleo zaidi Arusha zaidi ya geodavie? Hayupo japo mchungaji geodavie ni tajiri lakini yeye habagui anaongea na mtu yoyote yule awe tajiri wala masikini yeye anaongea nae na kuwatatulia shida zao sio mayatima,wajane,na masikini wote anawasaidia aisee!
Hongera tajiri,Dr.na mchungaji geodavie....