kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
Aliyeandika hii lazima atakuwa ni mkenya anayeimudu vizuri sana lugha adhimu ya kiswahili au atakuwa ni mtanzania aliyepata kandarasi maalum ya kumuandika mzee raila(BABA) masuala yanayohitaji uwasilishaji wa lugha ya kiswahili.
na kama ni mkenya, basi labda atakuwa ni MK254. Kiswahili safi sana.
isome neno kwa neno.
na kama ni mkenya, basi labda atakuwa ni MK254. Kiswahili safi sana.
isome neno kwa neno.