Pongezi kwa Mkenya aliyemwandikia Raila hotuba hii

Pongezi kwa Mkenya aliyemwandikia Raila hotuba hii

Sio tete mkuu, sema kila mtu kuna lugha aliyozoea kuitumia!

Na je, ukiwa unaishi kwenye mazingira ambamo lugha yenyewe haizungumzwi katika uhalisia wake? Kwahivyo, sidhani ni mazoea, ni mazingira ya eneo ulikokulia.

Mtoto mtanzania mwenye umri wa miaka tano akija huku Kenya, itachukua miezi michache tu aanze kusahau ile Kiiswahili chake cha kibongo, vv for mtoto kutoka Kenya akihamishwa Tanzania.
 
Naomba nikusahihishe kitu kidogo!

Ukisema "Sisi tuna matatizo ya L na R, za na dha" sio sahihi! Ulitakiwa kusema baadhi yetu wana matatizo hayo (ambayo kiuhalisia sio matatizo).

Suala hilo linatokana na asili zetu ambapo baadhi ya makabila hawawezi kutamka vizuri herufi L badara yake wanatumia L.

Hata kenya japo kuna makabila machache lakini utofauti wa kimatamshi upo!
huo ndio ukweli tusudanganyane. call a sped a sped not a big spoon.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Boda boda" ndiyo Kiswahili safi?

Punguani wahed.
bmkubwa tangu siasa za makinikia na kasi ya jpm ikuache nyuma,umekuwa mpole sana siku hizi kama maji ya mtungini.

halafu "punguani wahed" ni tusi la kizamani sana,linanikumbusha utawala wa kucheka cheka hovyo na kutabasamu wa mzee JK.tusi lako halina madhara.

tafuta tusi jipya linaloendana na kasi ya JPM.[emoji23] [emoji23]
 
achana nae huyo mama....siasa za makinikia na kasi ya jmp vinamfanya atumie pumzi kubwa ku-catch up.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
moderators bhana....yaani mmeacha thread ime-trend karibia masaa kadhaa kwa original tittle niliyoanzishia mada, halafu baadae ndio mnakuja ku-change heading.

au ndio mlikuwa mnamuonea wivu MK254 ...lol
 
Na je, ukiwa unaishi kwenye mazingira ambamo lugha yenyewe haizungumzwi katika uhalisia wake? Kwahivyo, sidhani ni mazoea, ni mazingira ya eneo ulikokulia.

Mtoto mtanzania mwenye umri wa miaka tano akija huku Kenya, itachukua miezi michache tu aanze kusahau ile Kiiswahili chake cha kibongo, vv for mtoto kutoka Kenya akihamishwa Tanzania.
Nikisema inategemeana na ulivyozoea mantiki yake ni kuwa mazingira ndo yamechangia!

Hivyo wazo lako na langu yako sawa
 
Hongera MK254, Kiswahili safi sana hicho! Raila akishindwa kesi kwenye 'supreme court' mwandikie hotuba ya kikikuyu ila usimzingue! Tanataka wamsikie live bila bughudha kule Mlima Kenya akitangaza anarudi kule Bondo, home, retire! Teh teh!
 
moderators bhana....yaani mmeacha thread ime-trend karibia masaa kadhaa kwa original tittle niliyoanzishia mada, halafu baadae ndio mnakuja ku-change heading.

au ndio mlikuwa mnamuonea wivu MK254 ...lol

Kwanza hiyo title yao jinsi ilivyo hauna mnato kabisa kama ule wako. Haukuwa na haja ya kuibadili.
 
Back
Top Bottom