bado mkenya wa pwani hawezi kuandika kiswahili safi kama hiki.hapo lazima kutakuwa na mkono wa mtz au ni mkenya aliyeishi sana dar es salaam.[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
Hii hotuba nadhani aliitoa akiwa maeneo ya pwani ya Kenya
Hapo tu ulichokiandika ushachapia, spat picha ungepewa hiyo kazWakenya wengi tu wana uwezo wa kuandika kiswahili aina hicho, mimi nikiwemo mmoja wa magwiji wa lugha hili huku Kibera.
Wanasema hivyo maana wao wanafanya direct translation ya English to swahili!Ila wenyewe huwa wanasema kiswahili chetu ndi kina makosa.
Sioni kosa kwenye hilo sentensi.
Ha ha haaaaa wewe kwenye hiyo orodha haumo aseeh!Wakenya wengi tu wana uwezo wa kuandika kiswahili aina hicho, mimi nikiwemo mmoja wa magwiji wa lugha hili huku Kibera.
Huyu kweli kapata mafunzo tz, japo bado vijineno vichache vya kikenya havipotei!bado mkenya wa pwani hawezi kuandika kiswahili safi kama hiki.hapo lazima kutakuwa na mkono wa mtz au ni mkenya aliyeishi sana dar es salaam.[emoji23]
Sioni kosa kwenye hilo sentensi.
Mkuu kuna makosa mengi, hata hii umekosea pia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sioni kosa kwenye hilo sentensi.