Pongezi kwa Rais Samia na Dr Hussein Mwinyi Kuifanya Tanzania Bara na visiwani kuwa Salama na Tulivu na kutujengea Matumaini

Pongezi kwa Rais Samia na Dr Hussein Mwinyi Kuifanya Tanzania Bara na visiwani kuwa Salama na Tulivu na kutujengea Matumaini

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu ,muunganiko wa Mh mama Samia suluhu Hassani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania pamoja na Dr Hussein Ali Mwinyi Rais wa Zanzibar umejenga Taswira ya kipekeee ya kiuongozi na namna ya kuongoza kwao,

Ndugu zangu, kwanza wote wawili Ni viongozi wanaoamini katika Maridhiano na mshikamano, Hii ndio sababu utaona namna pande zote mbili yaani Bara na visiwani kukiwa salama na tulivu, Ni viongozi wanaoamini kuwa watanzania wote Wana nafasi sawa katika ujenzi wa Taifa Hili na Wana haki sawa katika nchi yetu,

Viongozi wetu Hawa wote wanaamini kuwa tunaweza tukawa tunatofauti zetu za kisiasa katika nchi lakini tukawa wamoja katika ujenzi wa Taifa letu na tukamkabili kwa pamoja adui yoyote Yule na kumshinda na ushindi ukawa wetu sote

Ni viongozi wenye kutumia hekima na busara kubwa Sana katika kauli zao na hata matendo yao, huwaoni wakimuumiza mtu kwa kauli au matendo ili wajipatie sifa binafsi, Ni viongozi wenye utulivu wa kifikra na kimaamuzi, Ni viongozi wanaopenda kuelekeza na kufuatilia utekelezaji wa maelekezo yao

Ni viongozi wanaoamini katika umoja wa kitaifa na mshikamano wa watanzania, ndio maana kwao kukaa na mpinzani meza moja siyo shida Wala ajabu, Jambo hili limewasaidia katika kuongoza Taifa letu, kwa kuwa Hali hii imepelekea kupandwa mbegu ya kuaminiana na kusikilizana, ndio maana huoni mavurugu Wala makauli mazito mazito ya kuombea mabaya nchi yetu toka kwa viongozi wa upinzani

Hii inatokana na ukweli kwamba hata viongozi wa upinzani wamejenga Imani kubwa na kuwa na matumaini makubwa wa kauli zitokazo katika ndimi za viongozi Hawa

Ni viongozi wenye hofu kubwa Sana ya Mwenyezi Mungu na wamejawa na mioyo ya huruma na upendo kwa wananchi, Ni viongozi wenye macho ya huruma na wanaotamani kumgusa kila mwananchi mwenye shida ili waweze kumsaidia, siyo viongozi wenye uchu wa madaraka Bali madaraka na uongozi huwafuata wao kutokanaa na kibali walichokipata kutoka kwa Mwenyezi Mungu,

Mimi Lucas Mwashambwa naweza kusema Hawa viongozi wetu wameinuliwa na Mwenyezi Mungu ili kuja kutuinua sisi watanzania,wametuunganisha Kama Taifa, wametujengea matumaini makubwa Sana Kama nchi

Rai yangu kwa watu wanaotamani siku moja kuwa viongozi, Wana mengi Sana ya kujifunza kutoka kwa viongozi wetu hawa, kuwa unaweza kuwa kiongozi bila kuumiza wengine, unaweza kupendwa na kuheshimika na watu bila kuwadhalilisha wengine, unaweza kuinuliwa bila hata kuwashusha wengine, unaweza kukaa katika ofisi kuu bila kufunga ofisi za watu wengine na unaweza kufanikiwa kiuongozi bila kukwamishwa wengine, inua walioanguka maana wanaweza kuja kukusaidia utakapoelemewa na mzigo kuliko ukiwaacha nyuma kwa kutamani kuwahi mbele

Hakika Tanzania itakuja kusimulia kwa vizazi vijavyo juu ya muunganiko huu wa Mh mama Samia suluhu Hassani pamoja na Dr Hussein Ali Mwinyi kwa namna walivyo ituliza nchi yetu na kujenga umoja na mshikamano wetu

Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki Sana, azidi kuwajalia Afya njema na nguvu za kututumikia watanzania, Najuwa wapo wachachee wasio penda namna wanavyoendelea kuungwa mkono na watanzania, maana unaweza kuta wapo wanaoombea waone wakihalibu na kuchukiwa na watanzania , Lakini kwa bahati nzuri maombi ya mamillioni ya watanzania yamekuwa makubwa Sana kwa viongozi wetu Hawa na Mungu amekuwa upande Wao muda na wakati wote, Ndio maana unaona utulivu na Amani iliyo Tamalaki katika nchi yetu, Asante
 
Ndugu zangu ,muunganiko wa Mh mama Samia suluhu Hassani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania pamoja na Dr Hussein Ali Mwinyi Rais wa Zanzibar umejenga Taswira ya kipekeee ya kiuongozi na namna ya kuongoza kwao,

Ndugu zangu, kwanza wote wawili Ni viongozi wanaoamini katika Maridhiano na mshikamano, Hii ndio sababu utaona namna pande zote mbili yaani Bara na visiwani kukiwa salama na tulivu, Ni viongozi wanaoamini kuwa watanzania wote Wana nafasi sawa katika ujenzi wa Taifa Hili na Wana haki sawa katika nchi yetu,

Viongozi wetu Hawa wote wanaamini kuwa tunaweza tukawa tunatofauti zetu za kisiasa katika nchi lakini tukawa wamoja katika ujenzi wa Taifa letu na tukamkabili kwa pamoja adui yoyote Yule na kumshinda na ushindi ukawa wetu sote

Ni viongozi wenye kutumia hekima na busara kubwa Sana katika kauli zao na hata matendo yao, huwaoni wakimuumiza mtu kwa kauli au matendo ili wajipatie sifa binafsi, Ni viongozi wenye utulivu wa kifikra na kimaamuzi, Ni viongozi wanaopenda kuelekeza na kufuatilia utekelezaji wa maelekezo yao

Ni viongozi wanaoamini katika umoja wa kitaifa na mshikamano wa watanzania, ndio maana kwao kukaa na mpinzani meza moja siyo shida Wala ajabu, Jambo hili limewasaidia katika kuongoza Taifa letu, kwa kuwa Hali hii imepelekea kupandwa mbegu ya kuaminiana na kusikilizana, ndio maana huoni mavurugu Wala makauli mazito mazito ya kuombea mabaya nchi yetu toka kwa viongozi wa upinzani

Hii inatokana na ukweli kwamba hata viongozi wa upinzani wamejenga Imani kubwa na kuwa na matumaini makubwa wa kauli zitokazo katika ndimi za viongozi Hawa

Ni viongozi wenye hofu kubwa Sana ya Mwenyezi Mungu na wamejawa na mioyo ya huruma na upendo kwa wananchi, Ni viongozi wenye macho ya huruma na wanaotamani kumgusa kila mwananchi mwenye shida ili waweze kumsaidia, siyo viongozi wenye uchu wa madaraka Bali madaraka na uongozi huwafuata wao kutokanaa na kibali walichokipata kutoka kwa Mwenyezi Mungu,

Mimi Lucas Mwashambwa naweza kusema Hawa viongozi wetu wameinuliwa na Mwenyezi Mungu ili kuja kutuinua sisi watanzania,wametuunganisha Kama Taifa, wametujengea matumaini makubwa Sana Kama nchi


Rai yangu kwa watu wanaotamani siku moja kuwa viongozi, Wana mengi Sana ya kujifunza kutoka kwa viongozi wetu hawa, kuwa unaweza kuwa kiongozi bila kuumiza wengine, unaweza kupendwa na kuheshimika na watu bila kuwadhalilisha wengine, unaweza kuinuliwa bila hata kuwashusha wengine, unaweza kukaa katika ofisi kuu bila kufunga ofisi za watu wengine na unaweza kufanikiwa kiuongozi bila kukwamishwa wengine, inua walioanguka maana wanaweza kuja kukusaidia utakapoelemewa na mzigo kuliko ukiwaacha nyuma kwa kutamani kuwahi mbele

Hakika Tanzania itakuja kusimulia kwa vizazi vijavyo juu ya muunganiko huu wa Mh mama Samia suluhu Hassani pamoja na Dr Hussein Ali Mwinyi kwa namna walivyo ituliza nchi yetu na kujenga umoja na mshikamano wetu

Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki Sana, azidi kuwajalia Afya njema na nguvu za kututumikia watanzania, Najuwa wapo wachachee wasio penda namna wanavyoendelea kuungwa mkono na watanzania, maana unaweza kuta wapo wanaoombea waone wakihalibu na kuchukiwa na watanzania , Lakini kwa bahati nzuri maombi ya mamillioni ya watanzania yamekuwa makubwa Sana kwa viongozi wetu Hawa na Mungu amekuwa upande Wao muda na wakati wote, Ndio maana unaona utulivu na Amani iliyo Tamalaki katika nchi yetu, Asante

Chawa katika ubora wako. Halafu utakuta ni mwanaume mzima unamwaga hizi sifa za kijinga hapa jf!
 
Ndugu zangu ,muunganiko wa Mh mama Samia suluhu Hassani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania pamoja na Dr Hussein Ali Mwinyi Rais wa Zanzibar umejenga Taswira ya kipekeee ya kiuongozi na namna ya kuongoza kwao,

Ndugu zangu, kwanza wote wawili Ni viongozi wanaoamini katika Maridhiano na mshikamano, Hii ndio sababu utaona namna pande zote mbili yaani Bara na visiwani kukiwa salama na tulivu, Ni viongozi wanaoamini kuwa watanzania wote Wana nafasi sawa katika ujenzi wa Taifa Hili na Wana haki sawa katika nchi yetu,

Viongozi wetu Hawa wote wanaamini kuwa tunaweza tukawa tunatofauti zetu za kisiasa katika nchi lakini tukawa wamoja katika ujenzi wa Taifa letu na tukamkabili kwa pamoja adui yoyote Yule na kumshinda na ushindi ukawa wetu sote

Ni viongozi wenye kutumia hekima na busara kubwa Sana katika kauli zao na hata matendo yao, huwaoni wakimuumiza mtu kwa kauli au matendo ili wajipatie sifa binafsi, Ni viongozi wenye utulivu wa kifikra na kimaamuzi, Ni viongozi wanaopenda kuelekeza na kufuatilia utekelezaji wa maelekezo yao

Ni viongozi wanaoamini katika umoja wa kitaifa na mshikamano wa watanzania, ndio maana kwao kukaa na mpinzani meza moja siyo shida Wala ajabu, Jambo hili limewasaidia katika kuongoza Taifa letu, kwa kuwa Hali hii imepelekea kupandwa mbegu ya kuaminiana na kusikilizana, ndio maana huoni mavurugu Wala makauli mazito mazito ya kuombea mabaya nchi yetu toka kwa viongozi wa upinzani

Hii inatokana na ukweli kwamba hata viongozi wa upinzani wamejenga Imani kubwa na kuwa na matumaini makubwa wa kauli zitokazo katika ndimi za viongozi Hawa

Ni viongozi wenye hofu kubwa Sana ya Mwenyezi Mungu na wamejawa na mioyo ya huruma na upendo kwa wananchi, Ni viongozi wenye macho ya huruma na wanaotamani kumgusa kila mwananchi mwenye shida ili waweze kumsaidia, siyo viongozi wenye uchu wa madaraka Bali madaraka na uongozi huwafuata wao kutokanaa na kibali walichokipata kutoka kwa Mwenyezi Mungu,

Mimi Lucas Mwashambwa naweza kusema Hawa viongozi wetu wameinuliwa na Mwenyezi Mungu ili kuja kutuinua sisi watanzania,wametuunganisha Kama Taifa, wametujengea matumaini makubwa Sana Kama nchi


Rai yangu kwa watu wanaotamani siku moja kuwa viongozi, Wana mengi Sana ya kujifunza kutoka kwa viongozi wetu hawa, kuwa unaweza kuwa kiongozi bila kuumiza wengine, unaweza kupendwa na kuheshimika na watu bila kuwadhalilisha wengine, unaweza kuinuliwa bila hata kuwashusha wengine, unaweza kukaa katika ofisi kuu bila kufunga ofisi za watu wengine na unaweza kufanikiwa kiuongozi bila kukwamishwa wengine, inua walioanguka maana wanaweza kuja kukusaidia utakapoelemewa na mzigo kuliko ukiwaacha nyuma kwa kutamani kuwahi mbele

Hakika Tanzania itakuja kusimulia kwa vizazi vijavyo juu ya muunganiko huu wa Mh mama Samia suluhu Hassani pamoja na Dr Hussein Ali Mwinyi kwa namna walivyo ituliza nchi yetu na kujenga umoja na mshikamano wetu

Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki Sana, azidi kuwajalia Afya njema na nguvu za kututumikia watanzania, Najuwa wapo wachachee wasio penda namna wanavyoendelea kuungwa mkono na watanzania, maana unaweza kuta wapo wanaoombea waone wakihalibu na kuchukiwa na watanzania , Lakini kwa bahati nzuri maombi ya mamillioni ya watanzania yamekuwa makubwa Sana kwa viongozi wetu Hawa na Mungu amekuwa upande Wao muda na wakati wote, Ndio maana unaona utulivu na Amani iliyo Tamalaki katika nchi yetu, Asante
Mkuu sasa umezidi kuwa chawa!
 
Ndugu zangu ,muunganiko wa Mh mama Samia suluhu Hassani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania pamoja na Dr Hussein Ali Mwinyi Rais wa Zanzibar umejenga Taswira ya kipekeee ya kiuongozi na namna ya kuongoza kwao,

Ndugu zangu, kwanza wote wawili Ni viongozi wanaoamini katika Maridhiano na mshikamano, Hii ndio sababu utaona namna pande zote mbili yaani Bara na visiwani kukiwa salama na tulivu, Ni viongozi wanaoamini kuwa watanzania wote Wana nafasi sawa katika ujenzi wa Taifa Hili na Wana haki sawa katika nchi yetu,

Viongozi wetu Hawa wote wanaamini kuwa tunaweza tukawa tunatofauti zetu za kisiasa katika nchi lakini tukawa wamoja katika ujenzi wa Taifa letu na tukamkabili kwa pamoja adui yoyote Yule na kumshinda na ushindi ukawa wetu sote

Ni viongozi wenye kutumia hekima na busara kubwa Sana katika kauli zao na hata matendo yao, huwaoni wakimuumiza mtu kwa kauli au matendo ili wajipatie sifa binafsi, Ni viongozi wenye utulivu wa kifikra na kimaamuzi, Ni viongozi wanaopenda kuelekeza na kufuatilia utekelezaji wa maelekezo yao

Ni viongozi wanaoamini katika umoja wa kitaifa na mshikamano wa watanzania, ndio maana kwao kukaa na mpinzani meza moja siyo shida Wala ajabu, Jambo hili limewasaidia katika kuongoza Taifa letu, kwa kuwa Hali hii imepelekea kupandwa mbegu ya kuaminiana na kusikilizana, ndio maana huoni mavurugu Wala makauli mazito mazito ya kuombea mabaya nchi yetu toka kwa viongozi wa upinzani

Hii inatokana na ukweli kwamba hata viongozi wa upinzani wamejenga Imani kubwa na kuwa na matumaini makubwa wa kauli zitokazo katika ndimi za viongozi Hawa

Ni viongozi wenye hofu kubwa Sana ya Mwenyezi Mungu na wamejawa na mioyo ya huruma na upendo kwa wananchi, Ni viongozi wenye macho ya huruma na wanaotamani kumgusa kila mwananchi mwenye shida ili waweze kumsaidia, siyo viongozi wenye uchu wa madaraka Bali madaraka na uongozi huwafuata wao kutokanaa na kibali walichokipata kutoka kwa Mwenyezi Mungu,

Mimi Lucas Mwashambwa naweza kusema Hawa viongozi wetu wameinuliwa na Mwenyezi Mungu ili kuja kutuinua sisi watanzania,wametuunganisha Kama Taifa, wametujengea matumaini makubwa Sana Kama nchi


Rai yangu kwa watu wanaotamani siku moja kuwa viongozi, Wana mengi Sana ya kujifunza kutoka kwa viongozi wetu hawa, kuwa unaweza kuwa kiongozi bila kuumiza wengine, unaweza kupendwa na kuheshimika na watu bila kuwadhalilisha wengine, unaweza kuinuliwa bila hata kuwashusha wengine, unaweza kukaa katika ofisi kuu bila kufunga ofisi za watu wengine na unaweza kufanikiwa kiuongozi bila kukwamishwa wengine, inua walioanguka maana wanaweza kuja kukusaidia utakapoelemewa na mzigo kuliko ukiwaacha nyuma kwa kutamani kuwahi mbele

Hakika Tanzania itakuja kusimulia kwa vizazi vijavyo juu ya muunganiko huu wa Mh mama Samia suluhu Hassani pamoja na Dr Hussein Ali Mwinyi kwa namna walivyo ituliza nchi yetu na kujenga umoja na mshikamano wetu

Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki Sana, azidi kuwajalia Afya njema na nguvu za kututumikia watanzania, Najuwa wapo wachachee wasio penda namna wanavyoendelea kuungwa mkono na watanzania, maana unaweza kuta wapo wanaoombea waone wakihalibu na kuchukiwa na watanzania , Lakini kwa bahati nzuri maombi ya mamillioni ya watanzania yamekuwa makubwa Sana kwa viongozi wetu Hawa na Mungu amekuwa upande Wao muda na wakati wote, Ndio maana unaona utulivu na Amani iliyo Tamalaki katika nchi yetu, Asante
[emoji1787][emoji115][emoji1787][emoji115][emoji1787][emoji115][emoji117][emoji90][emoji117][emoji1787][emoji117][emoji1787][emoji117][emoji90][emoji1787][emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Hizo Ni sifa halisia walizonazo Hawa viongozi wetu, hata Hayati maalim selfu amewahi kusema kuwa alikubalii kuingia na kuungana na mh Hussein Ali Mwinyi katika serikali ya umoja wa kitaifa baada ya kuona dhamira ya dhati ya kuijenga Zanzibar aliyokuwa nayo mh Hussein Ali Mwinyi, Dhamira hiyo naweza kusema bado ipo ndani ya moyo wake ndio maana unaona Zanzibar ikiwa Tulivu na iliyoshikamana
Chawa katika ubora wako. Halafu utakuta ni mwanaume mzima unamwaga hizi sifa za kijinga hapa jf!
 
Bado sana Usipobadilisha mbinu utaendlea kuona uchawa haulipi , mikeka yote itakuwa inachanika ndg Lucas
Mimi naelezea uhalisia niuonao Kama kijana na mtanzania maana nilipiga kura na hivyo Nina haki ya kutoa tathimini yangu juu ya viongozi wangu, hivyo napenda kusema na kuungana na watu wengi huku mtaani kwangu wanaosema wameridhishwa na uongozi wa awamu ya sita
 
Hizo Ni sifa halisia walizonazo Hawa viongozi wetu, hata Hayati maalim selfu amewahi kusema kuwa alikubalii kuingia na kuungana na mh Hussein Ali Mwinyi katika serikali ya umoja wa kitaifa baada ya kuona dhamira ya dhati ya kuijenga Zanzibar aliyokuwa nayo mh Hussein Ali Mwinyi, Dhamira hiyo naweza kusema bado ipo ndani ya moyo wake ndio maana unaona Zanzibar ikiwa Tulivu na iliyoshikamana

Sifa halisia za wezi wa kura, Maalim Seif ndio nani? Ulitegemea aseme maneno tofauti na hayo kwenye mlo?
 
Uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu, Kama haikupangwa uwe kiongozi fulani utafika mwisho wa maisha yako na kusononeka ukiwa bado haujaupata uongozi

Usiwe mjinga kwa kukariri mistari ya vitabu vya dini na kuja kupotosha hapa, hakuna Mungu anasimamia wizi wa kura na mauaji.
 
Sifa halisia za wezi wa kura, Maalim Seif ndio nani? Ulitegemea aseme maneno tofauti na hayo kwenye mlo?
Ulipiga kura ukaambiwa haikuhesabiwa? Lazima ukubali ukweli wa kuwa Hawa viongozi wetu wametujengea umoja wa kitaifa ambapo Sasa watanzania tunajiona tuna nafasi katika kuijenga nchi yetu

Lakini pia kila kipatikanancho na kufanikiwa tunaona Ni chetu sote, kwa kuwa tunashirikishwa katika kuijenga nchi yetu na hatua mbalimbali zinazochikuliwa na serikali yetu kwa manufaa yetu sote

Hakuna anayeachwa nyuma katika uongozi wa Hawa viongozi wetu, Hakuna anayesahaulika Wala kubaguliwa, wote tunasonga mbele kwa pamoja na tunajuwa tunaelekea wapi Kama Taifa
 
Usiwe mjinga kwa kukariri mistari ya vitabu vya dini na kuja kupotosha hapa, hakuna Mungu anasimamia wizi wa kura na mauaji.
Ni wapi mh mama Samia suluhu Hassani pamoja na Dr Hussein Ali Mwinyi walisimamia mauaji unayoyasema wewe hapa? Hawa Ni viongozi ambao hawawezi kufanya dhambi hiyo, Ni viongozi wenye hofu ya Mwenyezi Mungu na wanaopenda maridhiano pale tulipoumizana au kukoseana, ndio maana unaona Ikulu Ni ya watanzania wote na milango yake ipo wazi
 
Naona unakiwazia kile kiti cha meneje wa TRC aliyetumbuliwa kwa mimkashifu mama
 
Back
Top Bottom