Benjamin10
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 409
- 598
Sasa wanaenda kwenye kanda zao.. imekua nafuu kidogo..Watu walikua wanaenda Dodoma tu
Majina
Kwa English hii hao PSRS Wanawakati mgumu sana.Japo ni wajibu wao, it is expected people in authorities to be smarter and use space outside the box to do the unexpected tricky stuffs, better late than never
Kwa utaratibu huu ulio orodhesha bado haijakaa vyema ndugu.Sasa wanaenda kwenye kanda zao.. imekua nafuu kidogo..
Wa kagera,kigoma shinyanga simiyu katavi wakutane mwanza..
Arusha singida kilimanjaro moro manyara iringa.. karibuni dodoma..
Ruvuma songwe.. rukwa katavi wakutane mbeya...
Sisi watu wa Moro Dodoma tukafanye nini,tunakwenda Dar,ndio karibu zaidi bloangu,ππππSasa wanaenda kwenye kanda zao.. imekua nafuu kidogo..
Wa kagera,kigoma shinyanga simiyu katavi wakutane mwanza..
Arusha singida kilimanjaro moro manyara iringa.. karibuni dodoma..
Ruvuma songwe.. rukwa katavi wakutane mbeya...
Nmepita Leo asubuhi nimeshangazwa sana.Habarini za usiku wadau,
Ninapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza PSRS kwa hatua ambazo wamechukua juu ya maoni yetu sisi wasaka tonge.
Kwan jion ya leo nimejaribu kuingia kwenye tovuti yao nikakutana na PDF za kutosha kwa watu walioitwa kwenye usahili.
Kwani nimekuta utofauti kidogo.
Majina wameyagawa kwa kanda nne..
1. Zanzibar
2. Dar es Salaam
3.Dodoma
4. Mwanza
5. Mbeya
Na wamewapangia wasailiwa maeneo ya kufanyia usahili kulingana na postal addres yako ilielekeza unatokea maeneo gani.
Naomba niwapongeze kwa hilo
Kale kaupepo ukikataka.. tumia adress ya dodoma yaan P.O Box.... dodoma.Daahh, kwa hiyo kale kaupepo cha CIVE ndio basi tena....!
Hatua nzuri
Kale kaupepo ukikataka.. tumia adress ya dodoma yaan P.O Box.... dodoma.Daahh, kwa hiyo kale kaupepo cha CIVE ndio basi tena....!
Hatua nzuri
Saanaa hili suala la grammer ni suala la kitaifa labda awe ameomba kaz ya kufundisha english.Kwa English hii hao PSRS Wanawakati mgumu sana.
Yaani Grammer ni zero
Huu ni mwanzo tu.. naimani wataliona hilo na watalifanyia kazNa kanda ya kaskazini watukumbuke, Arusha pia tuwekewe usaili wetu.
Arusha mpk Dodoma ni parefu ikumbukwe Arusha pia ni jiji.
Nauli ya chuga to dom 25k times 2, mbali lodge siku 3 mpk nne, mbali kula.
Aisee wangetufikiria na sisi.
Yeah.. nadhani itakua hivyo.. mimi nilitolea kama mfanoKwa utaratibu huu ulio orodhesha bado haijakaa vyema ndugu.
Singida, manyara wafanye Dodoma.
Tanga, kilimanjaro wafanye Arusha
Nyengine nafikiri zipo sawa
Morogoro huichukulia kama ipo kanda ya kati.. maana dodoma to moro ni kama km 256 hiviSisi watu wa Moro Dodoma tukafanye nini,tunakwenda Dar,ndio karibu zaidi bloangu,ππππ
Watu wa Lindi, mtwara, ,mara,kigoma, KAZI wanayoHabarini za usiku wadau,
Ninapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza PSRS kwa hatua ambazo wamechukua juu ya maoni yetu sisi wasaka tonge.
Kwan jion ya leo nimejaribu kuingia kwenye tovuti yao nikakutana na PDF za kutosha kwa watu walioitwa kwenye usahili.
Kwani nimekuta utofauti kidogo.
Majina wameyagawa kwa kanda nne..
1. Zanzibar
2. Dar es Salaam
3.Dodoma
4. Mwanza
5. Mbeya
Na wamewapangia wasailiwa maeneo ya kufanyia usahili kulingana na postal addres yako ilielekeza unatokea maeneo gani.
Naomba niwapongeze kwa hilo
Watasogezewa kituoWatu wa Lindi, mtwara, ,mara,kigoma, KAZI wanayo
Dah umeongea kweli mkuuNaona mnapongeza labda tu hamjapitia documents vizuri mkaona
Bado kuna shida naomba mpitie ile KANDA YA MBEYA angalieni walicho kifanya kwenye sehemu ya usahili wa MAHOJIANO kwa baadhi ya kada, wameweka kituo cha usahili wa mahojiano kwamba ni DODOMA
Sasa kwa akili ya kawaida wamewasaidia nini hao watu wa mbeya, hamuoni kwamba bado ni shida? Mtu atoke katavi aende mbeya akae siku 2 baadae ndani ya siku 1 aende dodoma, huo ni utaratibu wa kijinga sana tena ni usumbufu