Benjamin10
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 409
- 598
Habarini za usiku wadau,
Ninapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza PSRS kwa hatua ambazo wamechukua juu ya maoni yetu sisi wasaka tonge.
Kwan jion ya leo nimejaribu kuingia kwenye tovuti yao nikakutana na PDF za kutosha kwa watu walioitwa kwenye usahili.
Kwani nimekuta utofauti kidogo.
Majina wameyagawa kwa kanda nne..
1. Zanzibar
2. Dar es Salaam
3.Dodoma
4. Mwanza
5. Mbeya
Na wamewapangia wasailiwa maeneo ya kufanyia usahili kulingana na postal addres yako ilielekeza unatokea maeneo gani.
Naomba niwapongeze kwa hilo
Ninapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza PSRS kwa hatua ambazo wamechukua juu ya maoni yetu sisi wasaka tonge.
Kwan jion ya leo nimejaribu kuingia kwenye tovuti yao nikakutana na PDF za kutosha kwa watu walioitwa kwenye usahili.
Kwani nimekuta utofauti kidogo.
Majina wameyagawa kwa kanda nne..
1. Zanzibar
2. Dar es Salaam
3.Dodoma
4. Mwanza
5. Mbeya
Na wamewapangia wasailiwa maeneo ya kufanyia usahili kulingana na postal addres yako ilielekeza unatokea maeneo gani.
Naomba niwapongeze kwa hilo