Pongezi kwake Mange Kimambi

Pongezi kwake Mange Kimambi

Mange kwenye kampeni alimpigia sana Magufuri 2015, kwa hali ilivo na anamvomsakama Magu 2020, nadhani Magu aifunge mitandao natabiri hatazuilika!!
 
Mange kwenye kampeni alimpigia sana Magufuri 2015, kwa hali ilivo na anamvomsakama Magu 2020, nadhani Magu aifunge mitandao natabiri hatazuilika!!
Kufunga haiwezekani kwa sababu alishatoa somo la kutumia VPN kama mtandao ukileta mushkeli
 
Fact ni wewe inabidi umtaje Mange ku boost ratings zako.Watanzania wameshakustukia una kiss the devils ass hili uendelee kuishi mjini

- Na nilipokwua ninaishi majuu ilikuwaje? hahahahaa nilikuwa namtegemea nani? Na nilipokuwa baharini ilikuwaje? na kabla sijaondoka bongo ilikuwaje? Je wewe na Mange hamuwakiss kina Mbowe kuishi mlipo? hahahahahha

le Mutuz
 
Kutoa Ni moyo wakuu tuchangie Ata km Una 1usd we toa tu umchangie kamanda lissu
 
Mbona hukuyasema haya alipokuwa anamtukana Lowasa wakati wa kampeni? Kawa mbaya baada ya kuvua kijani??????
Huyo kaha.ba cjawahi kumuunga mkono hata siku moja kwa matusi yake
 
Huyo kaha.ba cjawahi kumuunga mkono hata siku moja kwa matusi yake
Kumuunga nani mkona hata awe kahaba. Kumbuka huyu ndiye alikuwa kindakindaki wa kumtukana Lowasa unless hufuatilii siasa za nchi yako. She just changed her game recently kama akina Wema baada ya kuona wamecheza mchezo usio sawa. Dig deep and find out.
 
Binafsi nimependezwa na juhudi zake. Binafsi nililazamika kuungana na watanzania wenzangu kufanya kitu.

Kampeini kama hizi zikiendelezwa kwa manufaa ya taifa tutafika mbali sana.

Big up [HASHTAG]#mangekimambi[/HASHTAG] na [HASHTAG]#wemasepetu[/HASHTAG]
 
Ili akamilishe hizo ' Sifa ' zako zote ulizompa hapo inambidi pia awe ' Mzalendo ' wa kweli kwa nchi yake ya Tanzania kwa kuitangaza vyema pia huko huko alipo na siyo ' kutegea ' tu mambo ' negative ' yanayotokea huku ' Bongo Land ' kisha anayatumia kwa ' maslahi ' yake ya Kiharakati na Kisiasa CHADEMA zaidi.

Yes ni ' Mwerevu ' na ni mfano mzuri wa ' Kuigwa ' hasa kwa Watu wanaopenda kufikiri outside the box ila ana mapungufu ya Kimsingi ya kutokuwa Mzalendo, Mvumilivu, hana Staha na amewekeza sana kwa kupenda kuwa emotional hata katika mambo ambayo hayahitaji nguvu au akili nyingi kuyakabili.

Mwisho mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni na kama kawaida yangu sijaumbwa kuwa ' Mnafiki ' na huwa ' nanyooshaga ' tu maelezo ni kwamba pamoja na hayo ' mapungufu ' yake ila Mange Kimambi amesaidia sana kuwafanya ' Watendaji ' wengi kuwa makini na 'Utendaji ' wao, amesaidia kuwafanya Watanzania wawe na uwezo wa Kuhoji, Kutathmini na Kuchambua mambo kwa mapana yake lakini pia amesaidia kutufanya Sisi wana Jamii tuishi kwa nidhamu na uangalifu mkubwa ili tusije kuharibu ' Heshima ' zetu katika Jamii.

Mtazamo wangu Kwake ni kwamba Mange Kimambi ana faida nyingi kuliko hasara na ni ' mtaji ' mzuri sana kwa Serikali au Jamii inayohitaji ' maendeleo ' hasa yanayoanzia katika ' Fikra ' na kwenda katika ' Utekelezaji ' na kama akitumika kama ngazi ya kuipeleka Tanzania katika ' mafanikio ' itapendeza mno kuliko kuonekana kama ' adui ' namba moja wa nchi / taifa / Serikali.

Yangu ni hayo tu Mkuu.
mzuri sana kwa Serikali au Jamii inayohitaji
Hata kuandika hujui polee hebu tuliza mshono huko ujifunze uandishi
 
Huyu dada anakubalika sana! Tz mpk Ulaya,America nk
 
Back
Top Bottom