Write your reply...kula nyama kula beer,
usije sema hukuambiwa..
 
Anakaa mkoa gani asije kuwa shem wangu, mfupi black beaut hv, na mtoto wake ni wa kike wa. Miaka 2 hv
 
well said mkuu kwa kweli hili jambo gumu
 
Mimi na single mothers damu damu
(siri yako hii!)
 
NItauza na mang'ombe [emoji23][emoji23]
 
Hizo sifa zifanye kuwa maswali ujijibu mwenyewe
1. Asingekuwa amezaa angekupenda kama ilivyo sasa au kacheza na fursa?

2. Anavojibidua kwenye ngono sasa hivi, angekuwa hajazaa bado nyonyo imesimama angekubidulia?

3. Mawazo anayokupa sasa hiv unayaona productive na unafanikiwa kweli, ingekuwa kipind hana mtoto angekupa uyafanyie kazi ama ni yeye anajiweka safe side zaidi kiuchumi?

4. Sikufundishi namna ya kuishi na mpenzio ila nikushauri tu, Usijimwage hivyo ukijiaminisha kuwa dunia ya mapenzi imeishia hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…