Mkuu mbona inaonekana umependa sana then kwa kasi ya 4G, kiwango cha upendo ulichonacho kwa sasa je na uyo singo maza wako amefikia kiwango cha upendo ulichonacho ww kwa sasa isije ukachukua maamuz ya haraka alaf mwenzako yupo 2G, utateseka

Namuelewa vizuri mkuu. Ananiskiliza ile mbaya hata nikimwambia jambo gani anafanya, juzi ametoka kunambia tuchange pesa tunnue kiwanja cha kujengea nyumba. Kiufupi ni wife material
 
Thats exactly my point.

Kama being single sio ubaya, then 'single mother' sio mbaya pia.
Ushawah kumtambua mtu kwa relationship status yake hata siku moja?

Au ndugu yako ambae hana mahusiano ushawa kumuita we single boy/girl as their name?
 
Then why usimuite single parent? Do u real need to describe her as single mother?
 

Kwa mtu mwenye malezi mazuri hawezi kukurupuka kupenda kwa sababu ya sifa za nje. Wako wanawake wengo warembo lakini si kila mwanamke ni wife material, wengine wameumbwa kuipamba dunia tu.


Ama ulikuwa umelewa, ama hujui mke w ndoa anapatikanaje.


Hujui kuwa thamani ya mwanamke ni bikira yake? Sasa huyo aliyezalishwa akaachwa unadhani anajiona mwenye thamani tena? Mbona hata wahuni husema mwanamke akijidai mjanja mzalishe tu, ndio mwisho wa kuringa?

Halafu unaomba namba tu hapo ulevini anakupa!! Wife materiak hawi cheap namna hiyo mkuu, hapo wewe ndio dhaifu wala si yeye. Kacheza na saikolojia yako tu, kakumaliza. Ushahidi ni hapo unaposema ulipojilinganisha naye ulijiona sio wa hadhi yako, tena uliishiwa hata pumzi ya kutongoza, hivyo hukusimama kwenye nafasi yako kama mwanamume.

Hakukataa wala hakunambia chochote ila akasema ntakujibu siku nyingine. Nikaona 'Sawa.' mazungumzo yakaendelea ila sasa katika mazungumzo yake alikuwa mwepesi sana kusema maneno fulani yakuonesha kuwa yeye ni mtu wa dini.

Huyo alishakubali, ila alihitaji kukufanyia hivyo baada ya kukuona ni mgeni wa mapenzi. Hakuna jipya hapo. Hiyo kutaja taja mistari ya kidini ilikufanya uamini ni mcha Mungu, lakini kuna tatizo kubwa. Mcha Mungu asingekubali kukutana nawe baa!! Afu huyo Mungu alimjua kabla ama baada ya kupata mimba? Huyo alikuwa desperate wa kupata ndoa, alikuwa akitafuta mwanamume yeyote amuoe.

Lakini pia alikuwa mwenye ushauri chanya sana na kuonesha uzoefu mkubwa wa maisha jambo ambalo lilinifanya nione huyu ni 'wife material.' Istoshe hakuaguza pombe wala soda ila maji tu na akanambia atalipia yeye, nikasema mke si ndo huyu sasa.

Ni hatari kubwa kuoa mke mwenye uzoefu wa maisha. Aliupata wapi huo uzoefu? Halafu kukulipia bia ndio sifa ya mke wa ndoa?


Yaani baada ya kuonana wiki moja tu, unapangandoa!! Nadhani tatizo lakk ni kubwa zaidi. Wewe ni dhaifu wa mapenzi. Wife material haswaa kwa mahusiano ya wiki moja, hujajua hata habari zake mwenyewe, alipataje huyo mtoto, kwa nini baba wa mtoto alimtosa, wazazi wake ni kin nani, anafanya shughuli gani haoo mjini n.k. Wife material unamwita saa nane usiku anakuja, hii ni zaidi ya hatari!! Halafu hiyo shape ya Wema ndio uchafu gani? Ni heri basi ungemsaka wema tu awe mkeo, yaani wewe umedata kwa Wema kuliko huyo mkeo, jitafakari utagundua hilo. Unampima mkeo kwa kupitia Wema, yaani huyo ndio SI unit yako!!


Miaka mitatu single mama alikuwa anasubiri mwanamume wa aina yako, hongera mkuu. Hakika umepata mke, nikutakie maisha marefu kwenye ndoa yako.


Huko ni kukurupuka kwenye mapenzi kwa kiwango cha SG, bado unahitaji mwongozo zaidi kujua mapenzi ni nini. Ama umri wako ni mdogo bado, ama hukuwa na maelekezo mazuri kuhusu maisha.


Asiyejua maana haambiwi maana, hongera kwa kutoka kwenye upumbavu na kuingia kwenye daraja la werevu. Hongera pia kwa mtoto wa nyongeza, uzazi mgumu siku hizi.


Jifunze kuyatawala mapenzi, usiwe mtumwa wa papuchi. Hapo hakuna cha mapenzi wala nini, ni tamaa tu ama lust. Unahitaji msaada kabla hujapotea kabisa.

Singo maza wote jamani nyie watu mna mbinu sana maana leo nimejikuta nakana nilichokishikilia kwa mda mrefu.

Na hizo mbinu ndio zimekunasa, umepoteza hadhi yako kama mwanamume sasa wewe ndio unaolewa hapa.


Story yako wala haisadifu hoja, ingawa unajitahidi kujenga mazingira ya kuoa single mother. Jaribu utunzi wenye ubunifuzaidi ya hiki kituko ulichoandika. Hakuna anayekashifu single mother ila ukweli utasemwa. Nakushauri usome thread inayosema wanaume walioharibika akili, itakupa mwanga kidogo.
 

1. Yuko hai.

2. Hawana mawasiliano kwa sababu huyu msichana alimuacha yule mzazi mwenzio kwa kuwa msichana hakutaka kutoa mimba.

3. Sababu ya kuzaa kabla ya kuolewa ni uzinzi tu huwa inajulikana hivyo.
 
utakuja kuijutia hii kauli tena unatuponda na kututenga wanaume wenzako tupo hapa ngoja tusubiri mrejesho
Inaonekana unaongozwa na mihemko

Nijutie nini tena mkuu. Huyu ni wife material kabisa tena kitabia anawazidi wanawake wengi sana wasio na watoto
 
Asante kwa ushauri ila mkuu huyu msichana ni wife material kabisa yani
 
Ni kweli si neno zuri hata kidogo. Pia tuwe wastaarabu na wenye kujiheshimu kwa kutowazalilisha wanawake wote wenye kulea watoto bila baba wa watoto(bila mzazi mwenzake).
Heshima inaanzia kwa kwako kujitambua na kujiheshimu, kwa mawazo yako, na maneno yako unayoyatamka au kuyaandika, au kuyaongea.
Huko ndiyo kunatwa kuwa na "utu".

Jina au neno "single mother " nashauri lisitumike, Bali jina la mhusika itapendeza zaidi na kuleta heshima kwa kila mmoja wetu.
Niwe mkwel silipend hili neno "Single Mother" nahis kama ni kuwapa ulemavu usiostahili.
 
Asante kwa ushauri ila mkuu huyu msichana ni wife material kabisa yani
 
Kwa upande wangu naona upo sahihi kupendana na huyo single mama,ila ushauri wangu umefanya mapema sana kutangaza ndoa

Ni kweli mkuu. Ila sina wasi wasi nae kabisa, anajitambua sana. Huwa ananambia wanaume wengi wanatuogopa kwa sababu wanahisi tutawacheat na ma x wetu jambo ambalo linategemea na akili na utashi wa mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…